Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

"Mbona wenzako huwa wanafanya vizuri"
 
Daah, aisee, kuna takataka iliniambiaga nimeamua tuu kuwa single kwa sasa hadi baadae so niachane nae and i had to promise her that i will be okey, after a month ananitafuta ananiambia eti ameamua arudi kwenye mahusiano anaomba nimsamehe turudiane, nilimtafutia wayahudi watano wamfire sema pesa ilipelea hawakuja, makalio yake huyu mbwa wa kiiraqw
 
Mkoa gani Boss
 
Oooh nimekusoma ndio yule ulieenda nae babati akiwa anakunywa juicy huku anawaangalia watu wengine kama hawana maisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Faza una matukio!! Fain umelipa!?
 
Aisee...
 
Mimi napitia situation km yako
Nilichofanya ni kumdanganya nimepata dharula mkoa hivyo ameenda kwao halafu nikafunga nyumba

Now nishamwambia simtaki japo ana mimba , ndio najipanga nikirudi nimkabili vipi.....ni mkorifi balaa
 
Mimi napitia situation km yako
Nilichofanya ni kumdanganya nimepata dharula mkoa hivyo ameenda kwao halafu nikafunga nyumba

Now nishamwambia simtaki japo ana mimba , ndio najipanga nikirudi nimkabili vipi.....ni mkorifi balaa

Pole kwa maswahibu mkuu.. Naomba nikuulize, Je wakati wa uchumba kabla hamjaanza kuishi wote hukuonaga dalili zozote za hizo tabia kwa mwanamke wako ? Au ulizionaga ukahisi atabadilika ? @Bitoz
 

Pole kwa maswahibu mkuu.. Naomba nikuulize, Je wakati wa uchumba kabla hamjaanza kuishi wote hukuonaga dalili zozote za hizo tabia kwa mwanamke wako ? Au ulizionaga ukahisi atabadilika ? Au ulikuwa unamuonya ? @faustincheyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…