COMORIENNE
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 923
- 1,054
Mkuu niliwahi tamkiwa " MASKINI WAKUBWA NYIE"Mkuu, mimi niliwahi kutamkiwa hiyo ya mwisho, nafikiri inahitaji uvumilivu tu kuishi na wanawake.
Safi sanaMkuu niliwahi tamkiwa " MASKINI WAKUBWA NYIE"
Siku iliyofuata nikatafuta dalali nikauza gari niliyomnunulia.
Nikamsafirisha akasalimie wazazi wake, halafu nikauza salon na wafanyakazi wake
Aliporudi kawa mama wa nyumbani apike apakue ale na watoto wake.
Tajikistan mkubwa hata genre la nyanya kashindwa kufungua
huyo mzazi mwezio atakua ni police, maana ndo tabia zao, na police wanagongeka sana na police wenzao, nimekaa nao sana, na ninawajua vizuri na nimewala sana, tena wakiwa wameolewa, hawanaga aibu kushea bwana.
AiseeIt works a lot. A lot.... naona raha nikipitia status. At first i saw him pretending hajali. Laters status zimebadilika for some hope themes[emoji23][emoji23][emoji23][emoji111] ila it hurts a lot
Ahahaha eti jini kubeti ahahaha Gianis bwana daaahUmempa jina makata au jini kubeti [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Huna wa kumlaumu ulistahili kwakweliMi mwanamke flani nilimpenda kwa moyo mmoja pamoja na kumpa time yangu.Lakini hakuyaona nimezaa naye mtoto mmoja.Keshanicheat sana vya kutosha na wanaume tofauti pamoja na kukuta naked photo anawatumia wanaume wengine.Lakini basi kwa vile nilikuwa namuheshim sikumtukana wala kujibishana naye niliamuwa kumuacha kimya kimya,Basi kakaa akaamuwa kujirudi na kuomba msamaha usiku na mchana na kusema amebadilika anajutia yote,basi nikarudisha moyo nikamsamehe.Akanialika niende kwake nimtembelee pia mi mwenyew nilikuwa nimmis mwanangu kumuona nikasahau yote nikaenda ni mkoani.
Basi ile kufika mkoani kanikaribisha na maisha yakaendelea,tukiwa happy mwanangu akafurahi kuniona.Hata siku moja sikugusia wala kuongelea yale makosa aliyofanya,nikaona ni kurudisha mambo nyuma na kuzua migogoro upya sikugusia kabisa, ki ukweli mi sipendi tafrani kwa kuwa huko nyuma nshapata matafrani nusura yantoe roho ya maisha lakini.
Ile tunaendelea kuishi nkaona mwenzangu kama anabadilika akanza kununa bila sababu, ye kutwa mzima ni simu na tv tu.Mnakaa sebuleni unachoomuuliza ndo anachojibu hamna siku mkae hata muongelee mustakabali ya maisha yetu.
Basi siku moja mi nkaenda mjini make huko tulipo ni kijinini nilienda kununua mahitaji,ile kurudi mida ya saa moja jioni nakuta staff wenzie wapo sebuleni wanatazama mpira afu wa kiume.Sasa mi nikamuuliza mbona una ujasiri wa kuleta wanaume nyumbani kwako huoni hata haya kwa nini hata hukunifahamisha.
Alichonijibu ni kuwa sasa mi ningefanyeje watu wamekuja kutazama mpira ningewafukuza mi nkamjibu hichi so kibanda umiza basi kanununa.Hao jama wameoa na wana tv makwao.
Sasa mi nkajiuliza mfano jamaa mmoja niache ye kaenda mjini mi niende kwa mkewe nimwambie shem hebu washa tv nikae nijitanue kwe sofa mmewe akija atanifikira vipi.
Basi mi nkaondoka kuna kuna mtu alikuwa kaniagizishia vitu vyake nimpelekee.Ile narejea sijawakuta kumbe kawaambia mme wangu hataki kuwaona na hataki mje hapa mi wala sijuwi.Kesho yake kanuna balaa,ilivo fika usiku kaenda lala mi kuna movie nabaki naifatilia kufika saa 4nne usiku nkasema ngoja nkalale mtume!!! kanifungia mlango wa chumbani gonga! mlango wapi nikaamuwa nilale sebuleni.
Usiku mida ya saa kumi na moja kajiamsha anajifanya kushangaa eti ananiplz nikalale chumbani.Mi nkamjibu hapa pia ni pazuri we kalale tu.Akaenda kulala kumekucha yupo mkavu hata kuomba msamaha wala kujutia hamna yupo happy tu.Kuna kipindi Sexy ananijibu hajiskii,mara nimechoka hayupo romantic kabisa mda mwingine nkawa najihisi nimelala brother hata swala la usafi ni Zero .Nikaamuwa kuondoka now nasikia karudia kudanga tena.
Pole sanaAlinitukania mamaangu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
💯💯💯😁Pole sana
🤣🤣🤣🤣🤣Ety alinambia nina kichwa kama ubuyu.Huwa napenda kufananisha uhusiano na business life cycle kama kitu ambacho huwa na stages tofauti. Introduction, growth, maturity and decline stage
Katika mahusiano kunakuwaga na point ikifika mahusiano huwa tena sio raha bali karaha tu na hapa ndipo hekima hutakiwa ku kick in. Hii ni kutokana na mmoja kuacha kuweka efforts to make it work au kupuuza hisia za mwenzie.
Hali hii huambatana na kauli za kukaraisha nafsi ambazo mmojawapo huzitoa just to make the situation worse. Lets share zile kauli zilizowahi kuchafua nafsi zetu! Nakumbuka hizi:
"We mbona hauko smart kama vijana wenzio"
"Una gubu sana we mwanaume hadi unaboa"
"Sa utapigia wanaume wenzio simu hadi lini?"
"Yani mwanaume umezubaa tu upo upo tu kama lizoba"
"Sasa kama mtu humuamini unakuwa nae wa nini..si umuache tu!"
Dah wana wanapokea za uso balaaa 😆Kmmmk dah ni balaa zito
Aliniambia "I am not including you in my plans" and i was like what?? popote ulipo ulishajenga ghorofa?? [emoji119][emoji119]Huwa napenda kufananisha uhusiano na business life cycle kama kitu ambacho huwa na stages tofauti. Introduction, growth, maturity and decline stage
Katika mahusiano kunakuwaga na point ikifika mahusiano huwa tena sio raha bali karaha tu na hapa ndipo hekima hutakiwa ku kick in. Hii ni kutokana na mmoja kuacha kuweka efforts to make it work au kupuuza hisia za mwenzie.
Hali hii huambatana na kauli za kukaraisha nafsi ambazo mmojawapo huzitoa just to make the situation worse. Lets share zile kauli zilizowahi kuchafua nafsi zetu! Nakumbuka hizi:
"We mbona hauko smart kama vijana wenzio"
"Una gubu sana we mwanaume hadi unaboa"
"Sa utapigia wanaume wenzio simu hadi lini?"
"Yani mwanaume umezubaa tu upo upo tu kama lizoba"
"Sasa kama mtu humuamini unakuwa nae wa nini..si umuache tu!"