Hahahah kumbe ulikuwa hujapiga goli ata moko.Kwakweli bahari imetulia kwa ss na life Lina move on, imagine Sasa hivi maji napelekewa bafuni bila kuulizwa, mbususu napewa 24/7.
Yaani kiufupi amejirudi na amekuwa mpole balaa, sema nn ajiandae kulea ka halfcast kangu ambako kapo on the way[emoji123]
Ngoja adake tena mshiko, utayamba mpepo. Usimpe Chansi hiyo tena.Kwakweli bahari imetulia kwa ss na life Lina move on, imagine Sasa hivi maji napelekewa bafuni bila kuulizwa, mbususu napewa 24/7.
Yaani kiufupi amejirudi na amekuwa mpole balaa, sema nn ajiandae kulea ka halfcast kangu ambako kapo on the way[emoji123]
Yani half cast ni dili unavoona? Full cast ni chini ya half cast au? Ndio maana wazungu na ngozi nyeupe inatutawala mpaka kiama. Hatujiamini na hatujipendi.Kwakweli bahari imetulia kwa ss na life Lina move on, imagine Sasa hivi maji napelekewa bafuni bila kuulizwa, mbususu napewa 24/7.
Yaani kiufupi amejirudi na amekuwa mpole balaa, sema nn ajiandae kulea ka halfcast kangu ambako kapo on the way[emoji123]
Mi mwanamke flani nilimpenda kwa moyo mmoja pamoja na kumpa time yangu.Lakini hakuyaona nimezaa naye mtoto
Usijibu kitu mzee,piga kimyaView attachment 2610934muda huu wakuu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣...siku mojamoja upendeze na wewe..eeh
Nkabaki na maswali mengi kichwani..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jamani nimechekaAlikuwa anaongea na simu huku akifoka.. nikamuuliza vipi mama unaongea na nani mbona unamfokea ivo akaniambia ni mtu wangu wa zamani bado ananililia lia hapa.. nikasema duu.. akajibu..
" wakati wake ulishapita , sahizi ni wakati wako bhana, ukitoka wewe utakuja wakati wa mwingine pia , ndo maisha yenyewe"..
Nimepiga kimya mkuuUsijibu kitu mzee,piga kimya
Goli anazo mbili huyu mulattos ni wa huyo mswidish mkuu.Hahahah kumbe ulikuwa hujapiga goli ata moko.
Nipo makini ss hv kuimarisha ngome. Hawezi Tena leta jeuri, Hawa wanawake jeuri yao ni kumiliki mkwanja tu hawapinduiNgoja adake tena mshiko, utayamba mpepo. Usimpe Chansi hiyo tena.
Hayo mawazo yako tu mkuu, me nipo hapy tu kwakuwa bb again sema huyu msweed ananikubali kishua[emoji123]Yani half cast ni dili unavoona? Full cast ni chini ya half cast au? Ndio maana wazungu na ngozi nyeupe inatutawala mpaka kiama. Hatujiamini na hatujipendi.
" Aisse, mama pendo na mme wake ndio wanakula laifu, sisi wengine ni wasindikizaji tu " Hilo nilirushiwa na bidada kipindi ndio Kwanza tuna anza anza maisha...!!! sikumsemesha kwa pale, ila siku ya pili katoka kwenye mishe zake akakuta kitasa kipya, aliponipigia simu nikamwambia atizame kwenye simu nimemtumia hela ya nauli ya kwao, na mabegi nimeshayatanguliza na basi. Kisha nikabadilisha laini na kuhama mtaa kwa miezi minne. Nilipomrudisha na kumueleza kosa lake, alibaki anashangaa tu, ila ninaishi nae mpaka sasa, watoto 3, nikikohoa tu, anaruka, Na akitaka kuongea anaomba ruhusa, Kisha anaongea taratibu kwa kuchagua maneno...[emoji41][emoji41][emoji41] !!!!
hahahaha hahahaha hahahahaKuna mmoja miaka kadhaa iliyopita aliniambia "I don't want to disappoint my parents ". Ile kauli mpaka leo nikiikumbuka napata hasira
Acha tu ndugu unajiona mtu kumbe unaonekana ni a disappointment aiseehahahaha hahahaha hahahaha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Amekuuaaa..View attachment 2611326 Jana hiyo nimemkaukia mpaka now....
Eeeebana tena Pumbavu ile ya sana.Pumbavu tena aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]