Distant Relatives
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 415
- 731
Alikua na hoja ya msingi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu hawataacha kumchagua Rais wa jamhuri hata kama hawamjui mgombea mwenza wake. So mgombea mwenza anabebwa na mgombea... Huwezi kujustify uhalali wake...Kama nimemuelewa vizuri mwandishi wa uzi hu (kama ni kweli huo ndio msimamo wa Nyerere ) ni hivi; yule rais wa Zanzibar, Watanganyika hatukushiriki kumchagua (though still is too theoretical cause rais wa Zanzibar anachaguliwa na Dodoma) kachaguliwa na Wapemba na Waunguja, huyu makamo wa rais wa muungano anachaguliwa pamoja na rais aliyeko madarakani; Ingawa tuombe Mungu apishilie mbali mawazo ya wachangiaji wengi, Mungu atuepushe kabisa.
Halua.Umakamu wa Mgombea mwenza ni halua, ambapo si rahisi tena kwa mgombea Urais wa JMT Kutokea Zanzibar.
Cha muhimu ni kuelewekaNimekuelewa.
Narudia tena kuwa nimekuelewa.
Swala la nimekuelewaje linabaki kuwa mali yangu.
Hakika wazanzi Bara watanuelewa mwalimu.
Nyerere na Bomani waliku right kabisa. Katiba ya tanzania haijawahi kuwa wazi kuhusu kupokeana madaraka wakati Rais akifa; kwa mfano wakati Karume alipofariki, Makamu wa wa pili wa Rais wakati huo alikuwa Kawawa, lakini yeye hakuwa promoted kuwa makamu wa kwanza wa Rais, badala yake aliletwa Jumbe ambaye alikuwa waziri wa nchi kwenye ofisi ya Makamu wa kwanza Rais wakati huo.
Halafu Nyerere alipostaafu, Mwinyi hakuwa automatic choice bali kulikuwa kampeini kubwa sana ya "huyu ni mwenzetu" iliyofanywa na Nyerere ili kumkubali Mwinyi kama mrithi wa Nyerere, kulikuwa na uwezekano mkubwa sana wa watu wengine kuiwania nafasi hiyo.
Bado kulikuwa na woga wa "Treason Act 1351" kuhusu kuongelea uwezekano wa rais kufia madarakani.
Ninajua kuwa baada ya mauaji ya Karume mwaka 1972, Nyerere aliunda baraza jipya la mawaziri na katika reshuffle ile ndipo nafasi ya makamu wa pili wa Rais ilipoondolewa na kuundwa kwa nafasi ya waziri mkuu. Nisahihishe kama una taarifa zaidi ya hapo.Wakati Karume anafariki choe cha makamu wa pili cha Kawawa kilishafutwa miezi miwili kabla na Kawawa alishakuwa Waziri Mkuu.
Ninajua kuwa baada ya mauaji ya Karume mwaka 1972, Nyerere aliunda baraza jipya la mawaziri na katika reshuffle ile ndipo nafasi ya makamu wa pili wa rais ilipoondolewa na kuundwa kwa nafasi ya waziri mkuu. Nisahihishe kama una taarifa zaidi ya hapo.
Hili bandiko ni kama linatanua uwanja wa fikra wa rejea ya mambo kadha wa kadha yanayoendeleaKabla ya vyama vingi kuja Rais wa Zanzibar alikuwa moja kwa moja ni makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Vilipoanza vyama vingi ilibidi kubadili katiba tume ya Bomani (RIP) ikapendekeza kuwe na makamu wawili na wagombee pamoja uchaguzini na watoke chama kimoja.
Mapendekezo yakasema kwamba Rais wa Zanzibar asiwe tena makamu wa Rais kama ilivyokuwa.
CCM wakapokea mapendekezo hayo, wakayakubali na Julius Nyerere.
Lakini kumbe mapendekezo yale wana CCM wa Zanzibar hawakuyapenda. Sababu ni kwamba walitaka Rais wa Zanzibar aendelee kuwa Makamu wa Rais.
Wazanzibar walikasirika hadi wakashinikiza yasipitishwe na hayakupitishwa mwaka 1992.
Hatimaye Nyerere akakasirika hadi akaandika kitabu kiitwacho UONGOZI WETU NA HATIMA YA TANZANIA.
Katika kitabu kile alisema mfumo wa Rais wa Zanzibar akiwa moja kwa moja makamu wa Rais hata kwa wakati ule ingeweza kuleta shida.
Kwamba kazi ya makamu wa Rais ni kwamba Rais akiondoka madarakani kwa sababu yoyote kama kifo au kujiuzulu au ugonjwa basi makamu wa Rais anachukua Urais.
Sasa tungeendelea na mtindo wa Rais wa Zanzibar kuwa makamu basi siku Rais wa muungano akifa au lolote basi huyu makamu na Rais wa Zanzibar anarithi Urais.
Nyerere akasema hilo lilikuwa ni tatizo kwa sababu Rais wa Zanzibar anachaguliwa na wazanzibar tu.
Sasa huyu akiwa Rais wa muungano wakati watanganyika hawakumchagua itakuwa tatizo.
Hoja hii ya Nyerere ndiyo ilisababisha wazanzibari wakubali kwa shingo upande, hata hivyo Salmin Amour aligoma kuhudhuria baraza la mawaziri hadi anaondoka madarakani.
Hivyo iko siku tutaona ukweli wa alichosema Nyerere. Iko siku Rais wa muungano ataweza kupata tatizo ikabidi makamu wa Rais achukue Urais ndipo wazanzibari wenye akili ngumu waelewe.
Jadili
Kama Rais wa Zanzibar akiwa moja kwa moja Makamu wa Rais wa Jamhuri, itakuwaje kama Rais wa Jamhuri anatoka Zanzibar kama ilivyokuwa kwa Ali Hassan Mwinyi? Kwa sasa hakuna tatizo kwa kuwa Mgombea Mwenza lazima atoke upande mwingine: Mgombea urais akitoka Bara, Makamu lazima atoke Zanzibar. Hivi sasa ni Rais Magufuli wa Bara na Makamu ni Samia Suluhu wa Zanzibar. Makamu wa Rais Mwinyi (kutoka Zanzibar) alikuwa Malecela wa kutoka Bara. Hakuna tatizo.Kabla ya vyama vingi kuja Rais wa Zanzibar alikuwa moja kwa moja ni makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Vilipoanza vyama vingi ilibidi kubadili katiba tume ya Bomani (RIP) ikapendekeza kuwe na makamu wawili na wagombee pamoja uchaguzini na watoke chama kimoja.
Mapendekezo yakasema kwamba Rais wa Zanzibar asiwe tena makamu wa Rais kama ilivyokuwa.
CCM wakapokea mapendekezo hayo, wakayakubali na Julius Nyerere.
Lakini kumbe mapendekezo yale wana CCM wa Zanzibar hawakuyapenda. Sababu ni kwamba walitaka Rais wa Zanzibar aendelee kuwa Makamu wa Rais.
Wazanzibar walikasirika hadi wakashinikiza yasipitishwe na hayakupitishwa mwaka 1992.
Hatimaye Nyerere akakasirika hadi akaandika kitabu kiitwacho UONGOZI WETU NA HATIMA YA TANZANIA.
Katika kitabu kile alisema mfumo wa Rais wa Zanzibar akiwa moja kwa moja makamu wa Rais hata kwa wakati ule ingeweza kuleta shida.
Kwamba kazi ya makamu wa Rais ni kwamba Rais akiondoka madarakani kwa sababu yoyote kama kifo au kujiuzulu au ugonjwa basi makamu wa Rais anachukua Urais.
Sasa tungeendelea na mtindo wa Rais wa Zanzibar kuwa makamu basi siku Rais wa muungano akifa au lolote basi huyu makamu na Rais wa Zanzibar anarithi Urais.
Nyerere akasema hilo lilikuwa ni tatizo kwa sababu Rais wa Zanzibar anachaguliwa na wazanzibar tu.
Sasa huyu akiwa Rais wa muungano wakati watanganyika hawakumchagua itakuwa tatizo.
Hoja hii ya Nyerere ndiyo ilisababisha wazanzibari wakubali kwa shingo upande, hata hivyo Salmin Amour aligoma kuhudhuria baraza la mawaziri hadi anaondoka madarakani.
Hivyo iko siku tutaona ukweli wa alichosema Nyerere. Iko siku Rais wa muungano ataweza kupata tatizo ikabidi makamu wa Rais achukue Urais ndipo wazanzibari wenye akili ngumu waelewe.
Jadili
Kaka mbonA mi i'm black.!??Kero za Muungano hazijaisha bado
Nyerere alifahamu kua Rais ni binadamu ana nyama na damu.Kabla ya vyama vingi kuja Rais wa Zanzibar alikuwa moja kwa moja ni makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Vilipoanza vyama vingi ilibidi kubadili katiba tume ya Bomani (RIP) ikapendekeza kuwe na makamu wawili na wagombee pamoja uchaguzini na watoke chama kimoja.
Mapendekezo yakasema kwamba Rais wa Zanzibar asiwe tena makamu wa Rais kama ilivyokuwa.
CCM wakapokea mapendekezo hayo, wakayakubali na Julius Nyerere.
Lakini kumbe mapendekezo yale wana CCM wa Zanzibar hawakuyapenda. Sababu ni kwamba walitaka Rais wa Zanzibar aendelee kuwa Makamu wa Rais.
Wazanzibar walikasirika hadi wakashinikiza yasipitishwe na hayakupitishwa mwaka 1992.
Hatimaye Nyerere akakasirika hadi akaandika kitabu kiitwacho UONGOZI WETU NA HATIMA YA TANZANIA.
Katika kitabu kile alisema mfumo wa Rais wa Zanzibar akiwa moja kwa moja makamu wa Rais hata kwa wakati ule ingeweza kuleta shida.
Kwamba kazi ya makamu wa Rais ni kwamba Rais akiondoka madarakani kwa sababu yoyote kama kifo au kujiuzulu au ugonjwa basi makamu wa Rais anachukua Urais.
Sasa tungeendelea na mtindo wa Rais wa Zanzibar kuwa makamu basi siku Rais wa muungano akifa au lolote basi huyu makamu na Rais wa Zanzibar anarithi Urais.
Nyerere akasema hilo lilikuwa ni tatizo kwa sababu Rais wa Zanzibar anachaguliwa na wazanzibar tu.
Sasa huyu akiwa Rais wa muungano wakati watanganyika hawakumchagua itakuwa tatizo.
Hoja hii ya Nyerere ndiyo ilisababisha wazanzibari wakubali kwa shingo upande, hata hivyo Salmin Amour aligoma kuhudhuria baraza la mawaziri hadi anaondoka madarakani.
Hivyo iko siku tutaona ukweli wa alichosema Nyerere. Iko siku Rais wa muungano ataweza kupata tatizo ikabidi makamu wa Rais achukue Urais ndipo wazanzibari wenye akili ngumu waelewe.
Jadili
Hivyo iko siku tutaona ukweli wa alichosema Nyerere. Iko siku Rais wa muungano ataweza kupata tatizo ikabidi makamu wa Rais achukue Urais ndipo wazanzibari wenye akili ngumu waelewe.Kabla ya vyama vingi kuja Rais wa Zanzibar alikuwa moja kwa moja ni makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Vilipoanza vyama vingi ilibidi kubadili katiba tume ya Bomani (RIP) ikapendekeza kuwe na makamu wawili na wagombee pamoja uchaguzini na watoke chama kimoja.
Mapendekezo yakasema kwamba Rais wa Zanzibar asiwe tena makamu wa Rais kama ilivyokuwa.
CCM wakapokea mapendekezo hayo, wakayakubali na Julius Nyerere.
Lakini kumbe mapendekezo yale wana CCM wa Zanzibar hawakuyapenda. Sababu ni kwamba walitaka Rais wa Zanzibar aendelee kuwa Makamu wa Rais.
Wazanzibar walikasirika hadi wakashinikiza yasipitishwe na hayakupitishwa mwaka 1992.
Hatimaye Nyerere akakasirika hadi akaandika kitabu kiitwacho UONGOZI WETU NA HATIMA YA TANZANIA.
Katika kitabu kile alisema mfumo wa Rais wa Zanzibar akiwa moja kwa moja makamu wa Rais hata kwa wakati ule ingeweza kuleta shida.
Kwamba kazi ya makamu wa Rais ni kwamba Rais akiondoka madarakani kwa sababu yoyote kama kifo au kujiuzulu au ugonjwa basi makamu wa Rais anachukua Urais.
Sasa tungeendelea na mtindo wa Rais wa Zanzibar kuwa makamu basi siku Rais wa muungano akifa au lolote basi huyu makamu na Rais wa Zanzibar anarithi Urais.
Nyerere akasema hilo lilikuwa ni tatizo kwa sababu Rais wa Zanzibar anachaguliwa na wazanzibar tu.
Sasa huyu akiwa Rais wa muungano wakati watanganyika hawakumchagua itakuwa tatizo.
Hoja hii ya Nyerere ndiyo ilisababisha wazanzibari wakubali kwa shingo upande, hata hivyo Salmin Amour aligoma kuhudhuria baraza la mawaziri hadi anaondoka madarakani.
Hivyo iko siku tutaona ukweli wa alichosema Nyerere. Iko siku Rais wa muungano ataweza kupata tatizo ikabidi makamu wa Rais achukue Urais ndipo wazanzibari wenye akili ngumu waelewe.
Jadili
Ukweli haswa na sababu ya hili ilikuwa ni kukimbia makamu kutoka upinzani Zanzibar😉