Unakumbuka nini enzi za kuandikiana barua za mapenzi?

Unakumbuka nini enzi za kuandikiana barua za mapenzi?

FURY BORN

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2020
Posts
638
Reaction score
1,150
Miaka inaenda kasi sana, leo hii watu wanatumiana sms, emoji nk. Lakini miaka yetu wakati tunaanza kutafuta wapenzi tuliandika barua kwani haikuwa si rahisi kusimama na binti na ukaongea naye njiani.

Hivo ilikubidi uandike barua na kuvizia alafu unaitumbukiza ndani ya daftari lake au kupitia rafiki yake.

Lakini wakati huo roho ikidunda endapo itatokea asikubaliane nawe na kuipeleka kwa mwalimu. Na bahati mbaya sana ukute teacher ni Jarkata au JKT naye alikuwa ananyemelea.

Barua ingeanza hivi:-

Anuani
Sanduku la Posta
Moyoni Mwangu


Pokea salaam zisizo na kifani toka moyoni mwangu la azizi, natumai ubuheri wa afya kama ...... Mwenzio sipati hata lepe la usingizi kila ninapokuwaza, usiku kucha silali nakuota wewe.
.................
Wako akupendaye kwa dhati
FURY born
 
Mimi barua yangu ilikamatwa na kaka yake!

Kwa hiyo niliamua face to face tu
 
Dah me ni domo zege tokea wayback. Nadhani kilichonicost ni haya mashule ya boiz haya.

Sasa likizo moja nikaenda Songea kwa bro. Nikawa nakaa kota. Kuna pisi moja nikaielewa hafu mdogo wake wa iyo pisi akawa anapenda sana kuja ghetto kucheki movie, music na game.

Kumbe yule pisi nae ananielewa sema ndio ivo. Dogo akaniambia dada uwa anakuulizia kinoma kila siku. Basi nimajaa upepo.

Nikaandika barua. Nikaenda nunua kabisa makaratasi flani special yana maua maua kwa mbaali background. Kijana niliandika punchline izo sio za nchi hii. Nikampa dogo akaeleka.

Jioni yake sasa, naenda kuchota maji coz tunashare bomba familia kadhaa. Ninavoenda napita nje ya kwao akawa anapika ila nikajifanya sijamuona. Demu akaacha kupika akazuga na yeye anakuja kuchota maji.

Yule demu sijui confidence alizipata wapi. Aliniambia man to man ombi lako nimelikataa. Aisse nilisahau hadi ndoo ya maji. Haikupita wiki niliomba nirudi home. Aisee kuendelea kumuona ilikua aibu nikahisi mtaa mzima wanajua.
 
Dah me ni domo zege tokea wayback. Nadhani kilichonicost ni haya mashule ya boiz haya.

Sasa likizo moja nikaenda Songea kwa bro. Nikawa nakaa kota. Kuna pisi moja nikaielewa hafu mdogo wake wa iyo pisi akawa anapenda sana kuja ghetto kucheki movie, music na game.

Kumbe yule pisi nae ananielewa sema ndio ivo. Dogo akaniambia dada uwa anakuulizia kinoma kila siku. Basi nimajaa upepo.

Nikaandika barua. Nikaenda nunua kabisa makaratasi flani special yana maua maua kwa mbaali background. Kijana niliandika punchline izo sio za nchi hii. Nikampa dogo akaeleka.

Jioni yake sasa, naenda kuchota maji coz tunashare bomba familia kadhaa. Ninavoenda napita nje ya kwao akawa anapika ila nikajifanya sijamuona. Demu akaacha kupika akazuga na yeye anakuja kuchota maji.

Yule demu sijui confidence alizipata wapi. Aliniambia man to man ombi lako nimelikataa. Aisse nilisahau hadi ndoo ya maji. Haikupita wiki niliomba nirudi home. Aisee kuendelea kumuona ilikua aibu nikahisi mtaa mzima wanajua.
Ulikata tamaa kirahisi sana Mkuu, ungekomaa pole pole japo hata ungekua unamsaidia kubeba maji siku moja moja, mambo mazuri hayahitaji haraka.
 
Miaka inaenda kasi sana, leo hii watu wanatumiana sms, emoji nk. Lakini miaka yetu wakati tunaanza kutafuta wapenzi tuliandika barua kwani haikuwa si rahisi kusimama na binti na ukaongea naye njiani. Hivo ilikubidi uandike barua na kuvizia alafu unaitumbukiza ndani ya daftari lake au kupitia rafiki yake. Lakini wakati huo roho ikidunda endapo itatokea asikubaliane nawe na kuipeleka kwa mwalimu. Na bahati mbaya sana ukute teacher ni Jarkata au JKT naye alikuwa ananyemelea.

Barua ingeanza hivi:-

Anuani
Sanduku la Posta
Moyoni Mwangu


Pokea salaam zisizo na kifani toka moyoni mwangu la azizi, natumai ubuheri wa afya kama . Mwenzio sipati hata lepe la usingizi kila ninapokuwaza, usiku kucha silali nakuota wewe.
.................
Wako akupendaye kwa dhati
FURY born
Daaahh.. niliandikiwa barua nikaombwa daftari, ikawekwa kwenye daftari langu wakati mwalimu yupo darasani, Mwl akaona jambo hilo, weeeee.....!! ilisomwa mstarini TULICHAPWA VIBOKO VYA KUTOSHA. Hatukuacha, nikaandika barua ikakamatwa home na mother, aiseee...!!! wamama wa zamani na kukatwa jicho... Nilichapwa home ile yenyewe
 
Miaka inaenda kasi sana, leo hii watu wanatumiana sms, emoji nk. Lakini miaka yetu wakati tunaanza kutafuta wapenzi tuliandika barua kwani haikuwa si rahisi kusimama na binti na ukaongea naye njiani.

Hivo ilikubidi uandike barua na kuvizia alafu unaitumbukiza ndani ya daftari lake au kupitia rafiki yake.

Lakini wakati huo roho ikidunda endapo itatokea asikubaliane nawe na kuipeleka kwa mwalimu. Na bahati mbaya sana ukute teacher ni Jarkata au JKT naye alikuwa ananyemelea.

Barua ingeanza hivi:-

Anuani
Sanduku la Posta
Moyoni Mwangu


Pokea salaam zisizo na kifani toka moyoni mwangu la azizi, natumai ubuheri wa afya kama . Mwenzio sipati hata lepe la usingizi kila ninapokuwaza, usiku kucha silali nakuota wewe.
.................
Wako akupendaye kwa dhati
FURY born
NAKUMBUKA ILE BARUA YA MESENJA KALETA BARAAA
 
Dah me ni domo zege tokea wayback. Nadhani kilichonicost ni haya mashule ya boiz haya.

Sasa likizo moja nikaenda Songea kwa bro. Nikawa nakaa kota. Kuna pisi moja nikaielewa hafu mdogo wake wa iyo pisi akawa anapenda sana kuja ghetto kucheki movie, music na game.

Kumbe yule pisi nae ananielewa sema ndio ivo. Dogo akaniambia dada uwa anakuulizia kinoma kila siku. Basi nimajaa upepo.

Nikaandika barua. Nikaenda nunua kabisa makaratasi flani special yana maua maua kwa mbaali background. Kijana niliandika punchline izo sio za nchi hii. Nikampa dogo akaeleka.

Jioni yake sasa, naenda kuchota maji coz tunashare bomba familia kadhaa. Ninavoenda napita nje ya kwao akawa anapika ila nikajifanya sijamuona. Demu akaacha kupika akazuga na yeye anakuja kuchota maji.

Yule demu sijui confidence alizipata wapi. Aliniambia man to man ombi lako nimelikataa. Aisse nilisahau hadi ndoo ya maji. Haikupita wiki niliomba nirudi home. Aisee kuendelea kumuona ilikua aibu nikahisi mtaa mzima wanajua.
Poleeeeeh sanaa. [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Daaahh.. niliandikiwa barua nikaombwa daftari, ikawekwa kwenye daftari langu wakati mwalimu yupo darasani, Mwl akaona jambo hilo, weeeee.....!! ilisomwa mstarini TULICHAPWA VIBOKO VYA KUTOSHA. Hatukuacha, nikaandika barua ikakamatwa home na mother, aiseee...!!! wamama wa zamani na kukatwa jicho... Nilichapwa home ile yenyewe
[emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeh
 
Duh. ENzi hizo wasichana walikua kitu adimu sana.
Sasa leo hii hapa Mboka huku yako na maongezi yapo.
 
Afu wenga, kudongosi vakakukamwi lepa..!?
Nene namanyi he mambu ga barua za mapenzi, muda woa nawazahi kusoma tu, ila nakalokwiti barua za vanafunzi vangi, si nikawanza kupepeta umbea wene, mwee muhusika cha amanyi genago, akanibula hadi hamu yaki yoa fyaaa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nene namanyi he mambu ga barua za mapenzi, muda woa nawazahi kusoma tu, ila nakalokwiti barua za vanafunzi vangi, si nikawanza kupepeta umbea wene, mwee muhusika cha amanyi genago, akanibula hadi hamu yaki yoa fyaaa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ahahahaaa... Poliiiii....
 
Mimi bado natafuta watu wa kuandikiana barua ... SLP limekaa bila kazi ... Nilienda posta kuwauliza nitafanyaje niwe napata barua... Kwa kweli mimi bado ni muathirika wa kusoma barua.. Kama kuna mtu ana idea za namna kupata barua , pls ashee uzoefu wake,, unawesaidia kwa situation yangu.
 
Kuna boya mmoja alikuaga hajui kusoma alaf ni mtoto wa mwalimu na tuko darasa la 5, akawa amempenda demu anaitwa mariam ambae na mimi pia nampenda demu huyo huyo.

Bas jamaa akanichana kuwa nimsaidie kuandika barua ya kumpelekea Mariam kwakua anampenda sana huku akiniahidi atanilipa kwa kazi hiyo[emoji3]

Niakaona nikikataa hili dili naweza kukosa demu pamoja na kukosa na hiyo hela , Sasa nilicho kifanya nikawa naandika barua ambayo mimi ndo namtongoza Mariam, nikimaliza kuiandika namsomea tofauti kama yeye ndo muhusika, pimbi ikawa inafurahi kinoma akawa ananipa na jero ya kuweka kwenye barua , alaf na mimi ananipa miatatu yangu naweka mfukoni, nikawa nampa yeye yeye ndo aipeleke ile barua huku nikimsisitiza asimpe mtu yoyote wala asimuonyeshe mtu yoyote kwakua ile ni noma iwe Siri yetu tu[emoji16][emoji16],,, demu alinikubalia ombi langu sasa yule boya alivyoona jibu haliji kwakwe akanifata tena kuomba tuandike barua ya kukumbushia huku akinipa na hela nyingine ya kuweka ndani ya barua, yan ndo nikapata nafasi ya kupalilia njia yangu kabisa.

Mwishoni ilikuja kuwa ugomvi maana jamaa alikua ni mkubwa kuliko mm inaonekana alirudiaga shule alikua ananifua kinoma lakin mariam alizimika kwangu jumla na akawa anamchukia Sana jamaa siku aliyo gundua Jamaa kaniwekea bifu[emoji3][emoji3]
 
Dah me ni domo zege tokea wayback. Nadhani kilichonicost ni haya mashule ya boiz haya.

Sasa likizo moja nikaenda Songea kwa bro. Nikawa nakaa kota. Kuna pisi moja nikaielewa hafu mdogo wake wa iyo pisi akawa anapenda sana kuja ghetto kucheki movie, music na game.

Kumbe yule pisi nae ananielewa sema ndio ivo. Dogo akaniambia dada uwa anakuulizia kinoma kila siku. Basi nimajaa upepo.

Nikaandika barua. Nikaenda nunua kabisa makaratasi flani special yana maua maua kwa mbaali background. Kijana niliandika punchline izo sio za nchi hii. Nikampa dogo akaeleka.

Jioni yake sasa, naenda kuchota maji coz tunashare bomba familia kadhaa. Ninavoenda napita nje ya kwao akawa anapika ila nikajifanya sijamuona. Demu akaacha kupika akazuga na yeye anakuja kuchota maji.

Yule demu sijui confidence alizipata wapi. Aliniambia man to man ombi lako nimelikataa. Aisse nilisahau hadi ndoo ya maji. Haikupita wiki niliomba nirudi home. Aisee kuendelea kumuona ilikua aibu nikahisi mtaa mzima wanajua.
🤣🤣🤣 ombi lako nimelikataa. Hiyo aibu haielezeki
 
Nilimuandikiaga kademu cha jirani tu
Kalivyo kajinga kakaiacha barua mezani mama ake akaona na dingi ake akaiona
Kilichoniokoa sikuandika jina..
 
Kalamu za 'biki' (BIC) zilikuwa bahasha salama sana, unaviringisha barua kisha unampea kama zawadi... imeisha hiyoo!!

Achana na hizi Obama zenu sijui Nataraj, wape salaaaam.
 
Back
Top Bottom