Unakumbuka nini enzi za kuandikiana barua za mapenzi?

Aisee nilikuwa Advance.
Nyumbani alikuwa anakaa mtoto wa mamamkubwa. Nilimuelewa sana. Nilimwandikia barua ikanaswa dah. Ilikuwa fedheha
[emoji3][emoji3][emoji3] Duhh!! Ulitaka kumla Dada yako !?
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mimi nahivi Visa vya barua ninavyo Kama 50 yaani hapa mmenikumbusha kitambo kinyama yaani ,,Nimejikuta nacheka Sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Achana na hiyooo
Nlikua na kademu kangu science
Siku ya valentine nkanunua kadi zangu 2 nkazifunga vizuriii
Nkatimba nazo sconga[emoji23][emoji23]
Ili mida yakutudi nmbane kwenye mianzi nimpe

Mida ya saatano waalimu wakatimba class

(WEKENI MADAFTATI NA MABEGI YENU JUU!)
Wakawa wanapita kukagua
Nkazibana kwenye counter book la math

Wakakaguaaaaaaaaaaaaa akaenda mbele
Nablile daftal aliangalia zaidi ya mala moja
 
Nilikamatwa redhanded na ngozi nilichofanya ni kuitafuna mdomoni nakapigwa sachi nikakutwa na nyingine ambazo baada ya kuzihariri ndo iliipata moja niloitafuna barua zilifika staff nilipelekewa moto kama Kawa madam mmoja akawa ananiuliza umetolea wapi maneno ya kikubwa kidemu kikawa kinachekelea tuu mateso yangu nimekutana nacho ukubwani kimekuwa kibaya
 
Mimi nakumbuka niliwahi kuandika barua ya mapenzi kama naandika ya maombi ya kazi,pale kwenye signature nilipiga sahihi kama najaribu pen inaandika au imeisha wino.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…