Magembe R. Malima
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 233
- 214
We acha tu mkuu yaani ilikuwa raha sana, nilikuwa nalipenda sana hili jarida, kitu tapeli Ndumilakuwili huyu jamaa zake ni mazabe tu, pale kuna dr love Pimbi huyu jamaa ana lugha tamu sana ya kukamata mademu lakini hafanikiwi kuduu nao!
Mmenikumbusha mbali...Chino alikuwa amejaza balaa....bila kusahau mapenzi ya Linda na Obi
Mambo ya John Kaduma (r.i.p)
Mzee Mwinyimpeku alikua hapitwi na story ya kitaa