Naomba mwenye hii dawa ani pm ninashida kuna wezi wananisumbua sana shambani kwangu.
Hahahaaaa!! Mie nilikuwa nampenda mzee wa kifimbo cheza, ugomvi wa zena na betina
Unamkumbuka 'hondohondo' au 'mapung'o'mimi nayatafuta majina ya wachezaji wa bush star dah!