Unakumbuka nini siku ya kwanza kufanya mapenzi?

Nilkua first year weekend watu wameenda makwao wengine kwenye bata hostel tumebak wahuni wa maisha magumi , mwamba mmoja akatoa wazo tuchange hela tununue malaya ikapigwa donee bukubuku likapatikana buku ten mwamba mmoja machachari akakabidhiwa aende kuwinda kwa niaba ya family, mara paap mchiz karud na pisi imenyoa pank alafu ina makovu usoni akaipanga sisi tumechanga bukubuku imefika tunaomba huduma manzi akasema unyama akafunhua pochi akafungua pochi lake akatoa bonge moja la mkanda la kondomu za msd akampatia kila mmoja pakit yake ila akatuamuru tusifungue mchiz akazama nae geto dakika mbili nyingi mwamba akatoka akazama mwingine nae dakika mbil hazijaisha akatoka anachekacheka nikazama mimi aloo yule manzi anakuvalisha kondom kimkakati hadi ikifika kwenye shina la ududu ushakojoa anakuvua ndomu anakwambia nenda kaita mwingine .
Ndani ya dakika 30 foleni ishakata watu wamechil ata story zimekata , mimi nikamuita chemba room mate wangu alikua ni mwanangu sana nikwamwambia bro mimi sijapiga kabisa nimepigishwa punyeto ya buku, mchizi akaniambia ata mimi bro nimepigishwa punyeto, tukaanza kucheka bhana kumbe clique nzima ya wakwale imepigishwa punyere na pisi flan yenye panki la kiaskari na makovu ya kijambazi , hio ndio mara yangu ya kwanza kushiriki ngono.
 
πŸ˜‚πŸ’©πŸ˜‚πŸ˜‚ Aseee
 

Attachments

  • 105417c.jpg
    49.7 KB · Views: 23
Mkuu hii chai , haiwezekani wote mkojoe wakati wakuvalishwa kondomu.Ina maana nyie wote mnamakuzi sawa?
 
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Akili hamnazo kabisa[emoji2][emoji2]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo dada huna mawasiliano nae?? Khaaaaa
Huyo jambaziii kuuu
 
Siku ya kwanza mashine haikusimama nikaenda kuazima sim nikacheki xx ndio mashine ikasimama kila dakk 1 wazungu nilimwaga mala 3 Dem alichukia ndo tukapotezana kuja kukutana akasema ulinichafua tu
 
Nimecheka sanaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Sema huyo mdada anastahili tuzo aiseee

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…