Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,271
- 2,903
Kiukweli miaka hiyo kulikuwa na ushindani mkubwa sana kati ya Matajiri hawa wawil na Simba na Yanga. Sijui ni nini kiliwatoa kwenye Ule Ushindani.
Mechi zao zilikuwa zikitabiria na watabiri akina Majura na mtabiri mwingine nmemsahau katika magazeti ya Mfanyakazi.
Nawakumbuka wachezaji kama akina abedi mziba,fred minziro,hussein marsha, george masatu, mtwa kihwelu,itutu kigi,nonda shaban,said mwamba kizota,fumo felician,danny mhoja,twaha hamidu,zamoyoni na method mogella,salum kabunda ninja, athuman china,idd paz n.k
Miaka hiyo wachezaji walikuwa wanajituma sana. Wanacheza kwa nguvu na akili. Mpira ulikuwa unasakatwa hasa.
Huku azim dewj na abbas gulamali wakitambiana ile mbaya.
Mechi zao zilikuwa zikitabiria na watabiri akina Majura na mtabiri mwingine nmemsahau katika magazeti ya Mfanyakazi.
Nawakumbuka wachezaji kama akina abedi mziba,fred minziro,hussein marsha, george masatu, mtwa kihwelu,itutu kigi,nonda shaban,said mwamba kizota,fumo felician,danny mhoja,twaha hamidu,zamoyoni na method mogella,salum kabunda ninja, athuman china,idd paz n.k
Miaka hiyo wachezaji walikuwa wanajituma sana. Wanacheza kwa nguvu na akili. Mpira ulikuwa unasakatwa hasa.
Huku azim dewj na abbas gulamali wakitambiana ile mbaya.