Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitunguu sawumu vinatibu bacteria wabaya ukeni
Una picha tuone hapo?Hivi kuhama bongo unabonyeza ngapi vile?
According to Mama terry siku hizi wanaweka vitunguu
Yaani kitunguu kinawekwa huko hadi kinatoka kimeiva kabisa
Hii ni hatari aiseee
Mimi sitaki kuongea sana maana vitunguu vitapanda bei[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
KITUNGUU MAJI AU SWAUMU??
km dada mzoefu kweli hutajua labda adi uhisi harufu flan amaziingUnakosaje kujua lakini? Kwani kuna fanana?
Hivi kinavowasha ni kweli anauthubutu wa kukiweka huko?
Ndo maana unaipiga yeye anatumbua macho tuu kama ana sikikizia sindano kuingia vile.
Na wabaya wapoMbona wanasemaga humo Kuna bakteria wazuri tuu (normal flora) ?
Tena kwa juujuu tu maana ukisafisha sana hainogi alafu ile harufu nzuri ya asili inapunguaUkeni hakuna bacteria wabaya, wanaweka weka mavitu yasiyostahili kuwekwa huko. Huko kunatakiwa kupitwe maji masafi tu na si vinginevyo.
Haya nayo makubwa! Hili la vitunguu ndo nalisikia leo.
SawaSi ndio vitunguu vyenyewe, unataka maarifa gani aisee?
Kilimanjaro ama dasani,period.Ukeni hakuna bacteria wabaya, wanaweka weka mavitu yasiyostahili kuwekwa huko. Huko kunatakiwa kupitwe maji masafi tu na si vinginevyo.
Haya nayo makubwa! Hili la vitunguu ndo nalisikia leo.
Umekula naniliuuu bila kujijua😂😂😂Hii tabiya yangu ya kuokota vitunguu barabarani na kula