Unakuta BUS limeandikwa VIP/VVIP lakini likifika mahali linapandisha abiria wasiokuwa na Seat (wanasimama)

Unakuta BUS limeandikwa VIP/VVIP lakini likifika mahali linapandisha abiria wasiokuwa na Seat (wanasimama)

Wafanyabiashara wakubwa wa mabasi wanawaza faida tu
 
BM ys dar Arusha hiyo, unalipa bei kubwaa, ikifika moshi ishakuwa daladala..alafu VVIP
 
Unakuta BUS limeandikwa VIP/VVIP lakini likifika mahali linapandisha abiria wasio na siti

Kuanzia Ally stars BUS wanaoisifia , katarama BUS na Bus zingine nyingi hali hii inafanyia abiria wake.

Unakuta umepanda bus kila abiria amekaa katika seat yake ikifika mahali Bus linaruhusu kupakiza abiria wengine wanaanza kusimama pembeni ya seats za abiria wengine wanakaa katika njia za kupita.

Nini maana ya Bus kuipa Hadhi ya VIP/VVIP?

Wamiliki wa Bus suala hili mnalifahamu?

- Ni bus gani haina tabia hizi?
Lilinikuta hili kwenye basi la superfeo toka Mtwara kwenda Mbeya..!! Yaani kabla ya kufika Makambako walisimamisha watu wa kutosha. Polisi pale stendi ya Makambako waligoma kuruhusu gari kuondoka likiwa vile..!! Lakini mwisho wa siku sijui walipewa TAKRIMA wakachiwa huku watu wakiwa wamesimama..!!
 
Unapenda Bus la VIP Una kaguliwa ticket kila saa utazani una taka kuiba viti
 
Kiukweli Bora treni ilivyokuja, unapanda basi mnapitishwa hotel uchwara Moro choo kimoja mnapanga foleni, chakula Michele wavitumbua, mchuzi unaongezwa maji na mafuta, Bora ABC anawapeleka hotelin kwake
 
Unakuta BUS limeandikwa VIP/VVIP lakini likifika mahali linapandisha abiria wasio na siti

Kuanzia Ally stars BUS wanaoisifia , katarama BUS na Bus zingine nyingi hali hii inafanyia abiria wake.

Unakuta umepanda bus kila abiria amekaa katika seat yake ikifika mahali Bus linaruhusu kupakiza abiria wengine wanaanza kusimama pembeni ya seats za abiria wengine wanakaa katika njia za kupita.

Nini maana ya Bus kuipa Hadhi ya VIP/VVIP?

Wamiliki wa Bus suala hili mnalifahamu?

- Ni bus gani haina tabia hizi?
Tukisema Tz hakuna luxury buses tunashambuliwa, tukisema LATRA ni kijiwe cha wahuni wasiojua majukumu yao tunashambuliwa

Bora umeyashuhudia ndugu
 
Unakuta umepanda bus kila abiria amekaa katika seat yake ikifika mahali Bus linaruhusu kupakiza abiria wengine wanaanza kusimama pembeni ya seats za abiria wengine wanakaa katika njia za kupita.

Nini maana ya Bus kuipa Hadhi ya VIP/VVIP?

Wamiliki wa Bus suala hili mnalifahamu?

- Ni bus gani haina tabia hizi?
Magari ya Mwanza yakifika Dodoma, Manyoni, Singida na kuendelea ni kero tupu
Magari ya Arusha yakifika Same na kuendelea ni kero tupu
UVIP wao upo stand wanapoondoka
 
Back
Top Bottom