Umesoma jukwaa linasemaje na linataka Nini, ndo kama nilichoandika kama walivyosemaHili nalo ni janga Serikali iangalie
Umesoma jukwaa linasemaje na linataka Nini, ndo kama nilichoandika kama walivyosemaHakika serikali iongeze juhudu za kuzuia ushoga, mwanaume kamili mwenye malinda yasiyotatuliwa hawezi kuongea upupu kama huu.
Umesoma jukwaa linasemaje na linataka Nini, ndo kama nilichoandika kama walivyosemaNamuomba Mungu tu wanangu wasiwe ana akili kama zako
Umenikumbusha yule dogo aliyekua kajichora tatoo ya diamond alivyoitwa jukwaani na diamond yaani kalalia kifua analia alafu kajilegeza balaa, diamond anamuuliza unataka nikisaidie Nini, mtoto wa kiume huku analia anajibu 'mi nakutaka wewe' mpaka diamond akashtuka, nikawaza huyu akiombwa hata rinda hawezi kuchomoa!!!
Umesoma jukwaa linasemaje na linataka Nini, ndo kama nilichoandika kama walivyosemaUmeshapona mkuu?
Kwani hiyo ni pumzi kwamba ukikosa utakata moto?!!Unakuta Kuna mtu Anazaidi ya miaka 22 na hajawahi kumuona diamond live!?
Anaumwa akili?Umeshapona mkuu?
Na Mimi nimejibu kama jukwaa linavyotakaUmesoma jukwaa linasemaje na linataka Nini, ndo kama nilichoandika kama walivyosema