Unakuta Kuna mtu Anazaidi ya miaka 22 na hajawahi kumuona diamond live!?

Unakuta Kuna mtu Anazaidi ya miaka 22 na hajawahi kumuona diamond live!?

Namuomba Mungu tu wanangu wasiwe ana akili kama zako


Umenikumbusha yule dogo aliyekua kajichora tatoo ya diamond alivyoitwa jukwaani na diamond yaani kalalia kifua analia alafu kajilegeza balaa, diamond anamuuliza unataka nikisaidie Nini, mtoto wa kiume huku analia anajibu 'mi nakutaka wewe' mpaka diamond akashtuka, nikawaza huyu akiombwa hata rinda hawezi kuchomoa!!!
Malezi mabaya na akili za kurithi
Ndio maana tunasisitizwa kuchagua wenza wenye akili timamu wa kuzaa nao
Huyu Toto mol kanisikitisha saaanaaaa tokea nijiunge jf huu ni uzi mbovu kuliko wote🚮
 
Jamaa amelala usingizi wa mang'amung'amu akiwaza namna gani atapandisha uzi bora kabisa wa mwaka.
 
Namuomba Mungu tu wanangu wasiwe ana akili kama zako


Umenikumbusha yule dogo aliyekua kajichora tatoo ya diamond alivyoitwa jukwaani na diamond yaani kalalia kifua analia alafu kajilegeza balaa, diamond anamuuliza unataka nikisaidie Nini, mtoto wa kiume huku analia anajibu 'mi nakutaka wewe' mpaka diamond akashtuka, nikawaza huyu akiombwa hata rinda hawezi kuchomoa!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom