Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaumwa akili?
Kwa akili hizi we unaona kapona huyu kweli?Umeshapona mkuu?
Hapana wahamiaji haramu wanatufanya tudharaulike .Watu wa Dar mna vioja sana
Malezi mabaya na akili za kurithiNamuomba Mungu tu wanangu wasiwe ana akili kama zako
Umenikumbusha yule dogo aliyekua kajichora tatoo ya diamond alivyoitwa jukwaani na diamond yaani kalalia kifua analia alafu kajilegeza balaa, diamond anamuuliza unataka nikisaidie Nini, mtoto wa kiume huku analia anajibu 'mi nakutaka wewe' mpaka diamond akashtuka, nikawaza huyu akiombwa hata rinda hawezi kuchomoa!!!
Eeeeeh si bora pesaEbu wabongo kuweni seriously kidogo na maisha jamani khaa🤣🤣🤣
Otikii otikiii hii imeenda
Amepona wapi, ukiona hivi ujue kasahau kuneza dawaUmeshapona mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namuomba Mungu tu wanangu wasiwe ana akili kama zako
Umenikumbusha yule dogo aliyekua kajichora tatoo ya diamond alivyoitwa jukwaani na diamond yaani kalalia kifua analia alafu kajilegeza balaa, diamond anamuuliza unataka nikisaidie Nini, mtoto wa kiume huku analia anajibu 'mi nakutaka wewe' mpaka diamond akashtuka, nikawaza huyu akiombwa hata rinda hawezi kuchomoa!!!