Unakuta Kuna mtu Anazaidi ya miaka 22 na hajawahi kumuona diamond live!?

Malezi mabaya na akili za kurithi
Ndio maana tunasisitizwa kuchagua wenza wenye akili timamu wa kuzaa nao
Huyu Toto mol kanisikitisha saaanaaaa tokea nijiunge jf huu ni uzi mbovu kuliko wote🚮
 
Jamaa amelala usingizi wa mang'amung'amu akiwaza namna gani atapandisha uzi bora kabisa wa mwaka.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…