Unakuta Mwanaume anavuta shuka muda huu, Wenzie tunaponda maisha bar

Unakuta Mwanaume anavuta shuka muda huu, Wenzie tunaponda maisha bar

Nshomile wa Muleba

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2015
Posts
2,166
Reaction score
5,620
Jambo Jambo?

Yani unakuta mwanaume ana midevu, mwili mkubwa ila Mke wake kamwambia USITOKE anamtii mke wake na anatetemeka kabisa.

Watu sasa hvi tuko vyombo.

Wanaume Tunaojitambua tuko bar tunakata bapa kubwa, Vant, Serengenti na kadhalika huku supu ya kuku na mbuzi katoliki tukisindikizwa na mabusu mazito kutoka kwa Mademu pemben yetu.

Wewe mwanaume Uko ndani unajifanya unachati na mchepuko mkutane kesho wakati mchepuko wako tuko nao huku.

Sisi tumeoa ila wake zetu wanajua kuwa “AN AFRICAN MAN IS ALWAYS UNPREDICTABLE WHEN IT COMES TO PUSSIES”

Eti wewe umekaa hapo kitandani na mechi wife kakunyima unanuuunaaa.

Wengine eti wanawahi kurudi kisa mke wake asimshutukie alivyotoka kwa mchepuko anasahau kuwa

“A BLACK MAN SI ALWAYS SUSPECTED”

Wengine wanajifanya magentlemen eti huwa hatoki usiku anaspend muda na wife na watoto, Sikiliza na sisi tuna familia, nawapa time monday to friday this 2 days are mine.

Aya vuta shuka ukojoe ulale sawa?


Cheers kwa wale ambao mko viwanja mida hii lets enjoy guys life is too short.

e070c8db-b113-4fad-b165-e184805f0c3c.jpg


Nshomile
Nikiripoti kutoka
Choma zone,Kahama Tanzania
 
Jambo Jambo?

Yani unakuta mwanaume ana midevu, mwili mkubwa ila Mke wake kamwambia USITOKE anamtii mke wake na anatetemeka kabisa.
Watu sasa hvi tuko vyombo.

Wanaume Tunaojitambua tuko bar tunakata bapa kubwa, Vant, Serengenti na kadhalika huku supu ya kuku na mbuzi katoliki tukisindikizwa na mabusu mazito kutoka kwa Mademu pemben yetu.

Wewe mwanaume Uko ndani unajifanya unachati na mchepuko mkutane kesho wakati mchepuko wako tuko nao huku.

Sisi tumeoa ila wake zetu wanajua kuwa “AN AFRICAN MAN IS ALWAYS UNPREDICTABLE WHEN IT COMES TO PUSSIES”

Eti wewe umekaa hapo kitandani na mechi wife kakunyima unanuuunaaa.

Wengine eti wanawahi kurudi kisa mke wake asimshutukie alivyotoka kwa mchepuko anasahau kuwa

“A BLACK MAN SI ALWAYS SUSPECTED”

Wengine wanajifanya magentlemen eti huwa hatoki usiku anaspend muda na wife na watoto, Sikiliza na sisi tuna familia, nawapa time monday to friday this 2 days are mine.

Aya vuta shuka ukojoe ulale sawa?


Cheers kwa wale ambao mko viwanja mida hii lets enjoy guys life is too short.



Nshomile

nikiripoti kutoka
Choma zone,Kahama Tanzania
Mkeo nae siku zake ni zipi za kwenda viwanja?
 
Jambo Jambo?

Yani unakuta mwanaume ana midevu, mwili mkubwa ila Mke wake kamwambia USITOKE anamtii mke wake na anatetemeka kabisa.
Watu sasa hvi tuko vyombo.

Wanaume Tunaojitambua tuko bar tunakata bapa kubwa, Vant, Serengenti na kadhalika huku supu ya kuku na mbuzi katoliki tukisindikizwa na mabusu mazito kutoka kwa Mademu pemben yetu.

Wewe mwanaume Uko ndani unajifanya unachati na mchepuko mkutane kesho wakati mchepuko wako tuko nao huku.

Sisi tumeoa ila wake zetu wanajua kuwa “AN AFRICAN MAN IS ALWAYS UNPREDICTABLE WHEN IT COMES TO PUSSIES”

Eti wewe umekaa hapo kitandani na mechi wife kakunyima unanuuunaaa.

Wengine eti wanawahi kurudi kisa mke wake asimshutukie alivyotoka kwa mchepuko anasahau kuwa

“A BLACK MAN SI ALWAYS SUSPECTED”

Wengine wanajifanya magentlemen eti huwa hatoki usiku anaspend muda na wife na watoto, Sikiliza na sisi tuna familia, nawapa time monday to friday this 2 days are mine.

Aya vuta shuka ukojoe ulale sawa?


Cheers kwa wale ambao mko viwanja mida hii lets enjoy guys life is too short.



Nshomile

nikiripoti kutoka
Choma zone,Kahama Tanzania

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani wewe jamaa uko bush uko kahama na bado unatofokea[emoji23][emoji23][emoji23] hatuna muda wakupoteza tuache tulale na wake zetu tafazali!!! Ukishakuja mjini utagundua hayo ni mambo ya kawaida tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani wewe jamaa uko bush uko kahama na bado unatofokea[emoji23][emoji23][emoji23] hatuna muda wakupoteza tuache tulale na wake zetu tafazali!!! Ukishakuja mjini utagundua hayo ni mambo ya kawaida tu

Huwez kutoka hapo, wife kakubana.

nyie ndo mnapelekeshwa na wake zenu
 
Back
Top Bottom