Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,166
- 5,620
- Thread starter
- #41
Kuna tofauti kubwa kati ya kijana na mwanaume
Kijana amelala na mke wake na amekatazwa asitoke, mwanaume yuko nje anakula life
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna tofauti kubwa kati ya kijana na mwanaume
Utoto raha
Haya maisha acha tu, leo nilikuwa na maboss wanoko... Unaona kazi ya Moto... Sidhani hata kuna kuoga, ukisikia kulala na mabuti ndio leo.. nikikutana na uzi kamaa huu natabasamu najipiga kifuaUtoto raha
Jipakulie minyama ya kutoshaMadam hata mlinzi wa kampuni yetu anakunja mshahara kuliko mumeo.
Nikisema niko kahama, ujue shughuli ni nzito.
Watu wa madini hatutaniagi kwa starehe.Achna na kimume chako hiko ki mwalimu cha primary njoo ule bata huku
Pole sana mkuuHaya maisha acha tu, leo nilikuwa na maboss wanoko... Unaona kazi ya Moto... Sidhani hata kuna kuoga, ukisikia kulala na mabuti ndio leo.. nikikutana na uzi kamaa huu natabasamu najipiga kifua
Hapana sikuonei wivu hata kidogo...! Enjoy mkuuTatizo una makasiriko.
Kwani mtu akijichana na maisha kuna ubaya gani.
Mwanaume niko nakula maisha watoto wako ndani wanalinda wake zao
Kusema kahama kua na premio nyingi ni ushamba??kumbe we jamaa ni mshamba aisee.
Kahama pekee kuna ndinga za kufa mtu, unadhani hizo premio za walimu na madaktari wa huko dar..... Mzeee kahama kuna hela
Hivi live band zimezuiwa? Ndiyo maana kumekuwa kimya. Hakuna makelele kabisa, ila sehemu nyingi walizidi mpaka saa 11 alfajiri. Japo ni mpenzi wa live band bora tupumzike kidogo.Nipo home Budget leo hakuna live band NEMC wamewapiga pini. Niko najikumbushia mkanda wakomando john na tumaji tupo natuvuta kutoka freezer. Na mi mshamba?
Kuleni maisha wenye pesa zao. Mimi nimeshashiba mahindi mabichi nalala.sogea hapa Choma zone upate bia mkuu
"A black man is always suspected".. kweli kabisaJambo Jambo?
Yani unakuta mwanaume ana midevu, mwili mkubwa ila Mke wake kamwambia USITOKE anamtii mke wake na anatetemeka kabisa.
Watu sasa hvi tuko vyombo.
Wanaume Tunaojitambua tuko bar tunakata bapa kubwa, Vant, Serengenti na kadhalika huku supu ya kuku na mbuzi katoliki tukisindikizwa na mabusu mazito kutoka kwa Mademu pemben yetu.
Wewe mwanaume Uko ndani unajifanya unachati na mchepuko mkutane kesho wakati mchepuko wako tuko nao huku.
Sisi tumeoa ila wake zetu wanajua kuwa “AN AFRICAN MAN IS ALWAYS UNPREDICTABLE WHEN IT COMES TO PUSSIES”
Eti wewe umekaa hapo kitandani na mechi wife kakunyima unanuuunaaa.
Wengine eti wanawahi kurudi kisa mke wake asimshutukie alivyotoka kwa mchepuko anasahau kuwa
“A BLACK MAN SI ALWAYS SUSPECTED”
Wengine wanajifanya magentlemen eti huwa hatoki usiku anaspend muda na wife na watoto, Sikiliza na sisi tuna familia, nawapa time monday to friday this 2 days are mine.
Aya vuta shuka ukojoe ulale sawa?
Cheers kwa wale ambao mko viwanja mida hii lets enjoy guys life is too short.
View attachment 2612606
Nshomile
nikiripoti kutoka
Choma zone,Kahama Tanzania
😅😅😅jamaaumewachana. Walimu uwezo wa premio umewapa heshima hawana.kumbe we jamaa ni mshamba aisee.
Kahama pekee kuna ndinga za kufa mtu, unadhani hizo premio za walimu na madaktari wa huko dar..... Mzeee kahama kuna hela
Nyie mnaoongoza kupiga picha ndo wale wazee wa ofa kazi kujichekesha na kuibua stori za abunuwas ili anaekununulia asikuchoke
😀😀😀👐🏽👐🏽👐🏽
Na dodoma wamefungia bar 3...rainbow, chako ni chako..pamepoa...mwe!Hivi live band zimezuiwa? Ndiyo maana kumekuwa kimya. Hakuna makelele kabisa, ila sehemu nyingi walizidi mpaka saa 11 alfajiri. Japo ni mpenzi wa live band bora tupumzike kidogo.
Sawaaa npo na wana tunatoka kakolaaa tunatimba hapo mgodi umetema arifu ukuSijafika huko 101 nimetokea upande wa barabara ya isaka na kuzama direct choma.
Hivi live band zimezuiwa? Ndiyo maana kumekuwa kimya. Hakuna makelele kabisa, ila sehemu nyingi walizidi mpaka saa 11 alfajiri. Japo ni mpenzi wa live band bora tupumzike kidogo.
Bila kusahau walevi ndio wanaleta maendeleo nchini.wanywa soda Wana tabu kweli mkuuAsilimia 90 ya wabongo wanajua starehe ni kwenda bar tu hawajui starehe nyingine na bar zenyewe sasa muziki kelele hata haueleweki meza zimepauka pauka unajiuliza mtu kafuata starehe hapo au