Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,166
- 5,620
- Thread starter
- #61
"A black man is always suspected".. kweli kabisa
“A BLACK MAN IS ALWAYS SUSPECTED”
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"A black man is always suspected".. kweli kabisa
Yaani mji umepoa, huku Dar walizidi wanaoishi karibu na hizo sehemu wanasema hawalali.Na dodoma wamefungia bar 3...rainbow, chako ni chako..pamepoa...mwe!
Wenzie ndo we huyo 🤣🤣🤣🤣Jambo Jambo?
Yani unakuta mwanaume ana midevu, mwili mkubwa ila Mke wake kamwambia USITOKE anamtii mke wake na anatetemeka kabisa.
Watu sasa hvi tuko vyombo.
Wanaume Tunaojitambua tuko bar tunakata bapa kubwa, Vant, Serengenti na kadhalika huku supu ya kuku na mbuzi katoliki tukisindikizwa na mabusu mazito kutoka kwa Mademu pemben yetu.
Wewe mwanaume Uko ndani unajifanya unachati na mchepuko mkutane kesho wakati mchepuko wako tuko nao huku.
Sisi tumeoa ila wake zetu wanajua kuwa “AN AFRICAN MAN IS ALWAYS UNPREDICTABLE WHEN IT COMES TO PUSSIES”
Eti wewe umekaa hapo kitandani na mechi wife kakunyima unanuuunaaa.
Wengine eti wanawahi kurudi kisa mke wake asimshutukie alivyotoka kwa mchepuko anasahau kuwa
“A BLACK MAN SI ALWAYS SUSPECTED”
Wengine wanajifanya magentlemen eti huwa hatoki usiku anaspend muda na wife na watoto, Sikiliza na sisi tuna familia, nawapa time monday to friday this 2 days are mine.
Aya vuta shuka ukojoe ulale sawa?
Cheers kwa wale ambao mko viwanja mida hii lets enjoy guys life is too short.
View attachment 2612606
Nshomile
nikiripoti kutoka
Choma zone,Kahama Tanzania
Zimepigwa pini jana Mgosi ananambia NEMC wamewapiga stop. Nadhani open pubs zote ni wahangaHivi live band zimezuiwa? Ndiyo maana kumekuwa kimya. Hakuna makelele kabisa, ila sehemu nyingi walizidi mpaka saa 11 alfajiri. Japo ni mpenzi wa live band bora tupumzike kidogo.
finally uzeeeni
Kama uko baa saa hizi na unapata nafasi ya kuchati basi nyie ndio mnakwendaga baa na kuagiza juice ya azam enegy maana pesa ya bia huna maninaJambo Jambo?
Yani unakuta mwanaume ana midevu, mwili mkubwa ila Mke wake kamwambia USITOKE anamtii mke wake na anatetemeka kabisa.
Watu sasa hvi tuko vyombo.
Wanaume Tunaojitambua tuko bar tunakata bapa kubwa, Vant, Serengenti na kadhalika huku supu ya kuku na mbuzi katoliki tukisindikizwa na mabusu mazito kutoka kwa Mademu pemben yetu.
Wewe mwanaume Uko ndani unajifanya unachati na mchepuko mkutane kesho wakati mchepuko wako tuko nao huku.
Sisi tumeoa ila wake zetu wanajua kuwa “AN AFRICAN MAN IS ALWAYS UNPREDICTABLE WHEN IT COMES TO PUSSIES”
Eti wewe umekaa hapo kitandani na mechi wife kakunyima unanuuunaaa.
Wengine eti wanawahi kurudi kisa mke wake asimshutukie alivyotoka kwa mchepuko anasahau kuwa
“A BLACK MAN SI ALWAYS SUSPECTED”
Wengine wanajifanya magentlemen eti huwa hatoki usiku anaspend muda na wife na watoto, Sikiliza na sisi tuna familia, nawapa time monday to friday this 2 days are mine.
Aya vuta shuka ukojoe ulale sawa?
Cheers kwa wale ambao mko viwanja mida hii lets enjoy guys life is too short.
View attachment 2612606
Nshomile
nikiripoti kutoka
Choma zone,Kahama Tanzania
Sawaaa npo na wana tunatoka kakolaaa tunatimba hapo mgodi umetema arifu uku
Hasara sana aise..Zimepigwa pini jana Mgosi ananambia NEMC wamewapiga stop. Nadhani open pubs zote ni wahanga
Ni kawaida yenu mnaonunuliwa pombe za ofa kuwa na fujo unaweza hata kuvunja viti hapo barmzee mm siyo kama ww jobless,sawa?
Sina shida kama unavyo dhani badala ya kuleta makasiriko lete kende hizo hapa nkuchape na bia
Huwez kutoka hapo, wife kakubana.
nyie ndo mnapelekeshwa na wake zenu
Endelea kula bata kiongozi we vuruga maisha yenyewe mafupi.kwa wajinga na wavivu.
mimi nitastaafu kabla ya 60 na maisha yatasonga As long as GOD wishes
“THE END JUSTIFIES THE MEANS”
Kama uko baa saa hizi na unapata nafasi ya kuchati basi nyie ndio mnakwendaga baa na kuagiza juice ya azam enegy maana pesa ya bia huna manina
Asante kwa taarifa Mkuu. Nimeshangaa jana Ijumaa kimya, wakati ndiyo huwa weekend imepamba moto, leo pia kimya.Zimepigwa pini jana Mgosi ananambia NEMC wamewapiga stop. Nadhani open pubs zote ni wahanga
Ni kawaida yenu mnaonunuliwa pombe za ofa kuwa na fujo unaweza hata kuvunja viti hapo bar
Vipaombele tu ndugu yanguJambo Jambo?
Yani unakuta mwanaume ana midevu, mwili mkubwa ila Mke wake kamwambia USITOKE anamtii mke wake na anatetemeka kabisa.
Watu sasa hvi tuko vyombo.
Wanaume Tunaojitambua tuko bar tunakata bapa kubwa, Vant, Serengenti na kadhalika huku supu ya kuku na mbuzi katoliki tukisindikizwa na mabusu mazito kutoka kwa Mademu pemben yetu.
Wewe mwanaume Uko ndani unajifanya unachati na mchepuko mkutane kesho wakati mchepuko wako tuko nao huku.
Sisi tumeoa ila wake zetu wanajua kuwa “AN AFRICAN MAN IS ALWAYS UNPREDICTABLE WHEN IT COMES TO PUSSIES”
Eti wewe umekaa hapo kitandani na mechi wife kakunyima unanuuunaaa.
Wengine eti wanawahi kurudi kisa mke wake asimshutukie alivyotoka kwa mchepuko anasahau kuwa
“A BLACK MAN SI ALWAYS SUSPECTED”
Wengine wanajifanya magentlemen eti huwa hatoki usiku anaspend muda na wife na watoto, Sikiliza na sisi tuna familia, nawapa time monday to friday this 2 days are mine.
Aya vuta shuka ukojoe ulale sawa?
Cheers kwa wale ambao mko viwanja mida hii lets enjoy guys life is too short.
View attachment 2612606
Nshomile
nikiripoti kutoka
Choma zone,Kahama Tanzania
Hili kalitolea maelekezo PM NEMC naona wanatekeleza oda. Tweeter kule page ya PM nimesomaAsante kwa taarifa Mkuu. Nimeshangaa jana Ijumaa kimya, wakati ndiyo huwa weekend imepamba moto, leo pia kimya.
Ila wakipozwa tu yatarudi yaleyale.
Unakumbuka walishafanya hivi, mpaka wengi wakaweka soundproof. Baada ya muda wakarudi nje kelele kama kawa.
Haya!! endelea kulipa kodihapana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sawa tuache na wake zetu ila punguza ushamba mzee wa muleba!!! Huku mjini izo beer zipo ndani kwenye fridge
Nshomile urudi nyumbani sasa ndugu yetu usiku mno sasa. Huyu kesho mtumie mpesa laki hakujui huyu! Henesy mgawie mhudumuKaka mimi ni mtu wa madini, huwezi kunambia eti kutumia laki au zaidi ni sifa.
Wewe unaona ajabu kwasababu huna hela.
Umekaa home kwa dada ako umeshiba kiporo cha kande pumbavu.
Njoo Pm nkutumie 20k ya kukutoa tongotongo.
Watu wa madini nawajua sana nimezunguka kwenye migodi ya dhahabu Kanda ya ziwa yote wenye fujo huwa ni nyie mnaozama kwenye mashimo ya matajiri mnachimba mwezi mzima mshahara ugali dagaa ukiotea laki unaleta fujo barKaka mimi ni mtu wa madini, huwezi kunambia eti kutumia laki au zaidi ni sifa.
Wewe unaona ajabu kwasababu huna hela.
Umekaa home kwa dada ako umeshiba kiporo cha kande pumbavu.
Njoo Pm nkutumie 20k ya kukutoa tongotongo.