Unakuta Mwanaume anavuta shuka muda huu, Wenzie tunaponda maisha bar

Unakuta Mwanaume anavuta shuka muda huu, Wenzie tunaponda maisha bar

Ila Kahama vijana wanakula sana starehe hasa huo ukumbi wa 101.

Wanaapolo wakiotea tu shimo la hela, basi mzigo wote utaishia hapo Magic 101 🙌
 
Are you for real, or just trolling?

Watanzania wengi kama mtoa mada ni watu wa kuishi kwa kufuata mkumbo.

Yani hawana uwezo wa kufanya kitu kama kuheshimu individuality ya mtu. Wanaishi kama watu wote wanatakiwa wapende vitu vilevile.

Yani unakuta mtu kama mtoa mada yeye kafuata mkumbo wa kupenda kukaa bar, halafu hata haelewi kwamba watu tofauti wana interests tofauti.

Anafikiri kila mtu anatakiwa kupenda kukaa bar.

Yani hapo ndipo mawazo yake yalipoishia.

Ni ulimbukeni tu.
 
Are you for real, or just trolling?

Watanzania wengi kama mtoa mada ni watu wa kuishi kwa kufuata mkumbo.

Yani hawana uwezo wa kufanya kitu kama kuheshimu individuality ya mtu. Wanaishi kama watu wote wanatakiwa wapende vitu vilevile.

Yani unakuta mtu kama mtoa mada yeye kafuata mkumbo wa kupenda kukaa bar, halafu hata haelewi kwamba watu tofauti wana interests tofauti.

Anafikiri kila mtu anatakiwa kupenda kukaa bar.

Yani hapo ndipo mawazo yake yalipoishia.

Ni ulimbukeni tu.

sawa mchungaji nimekuelewa
 
TOKA NJE SASA HVI SIYO UNAJIFUNGIA NDANI KAMA KUKU

MWANAUME UNAMUOGOPA MKE WKO
 
Watu wanaopiga picha bia Huwa hawana hela.

Wazambia wana msemo wao unasema “Kulibonesha ni mahala”

wanaamanisha Kujionyesha ni bure/ sifa hazilipiwi.

wewe ambaye hupigi picha endelea kulala na mto hapo kwa dada ako
 
.......nakazia acha tuvute shuka kesho blue monday
 
Back
Top Bottom