Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha kwa hisani ya Google
Are you for real, or just trolling?
Watanzania wengi kama mtoa mada ni watu wa kuishi kwa kufuata mkumbo.
Yani hawana uwezo wa kufanya kitu kama kuheshimu individuality ya mtu. Wanaishi kama watu wote wanatakiwa wapende vitu vilevile.
Yani unakuta mtu kama mtoa mada yeye kafuata mkumbo wa kupenda kukaa bar, halafu hata haelewi kwamba watu tofauti wana interests tofauti.
Anafikiri kila mtu anatakiwa kupenda kukaa bar.
Yani hapo ndipo mawazo yake yalipoishia.
Ni ulimbukeni tu.
This is a logical fallacy called "logical non sequitur" in the form of a false dichotomy.sawa mchungaji nimekuelewa
Watu wanaopiga picha bia Huwa hawana hela.
Kapige mswaki kwanza na upunguze ushamba.
Watu wanaopiga picha bia Huwa hawana hela.
Mkuu Nshomile wa Muleba bado uko bar au umezidiwa na usingizi? Wenzio ndio kwanza tuko Sinza tunataka kuhamia Kidimbwi.
Endelea kumuogopa mke wako, wenzio tuko club 777. Mambo bado kabisa.niko chillers ya kahama, sema amna bendi nawaza nirudi home mana nkilala mje wife atagoma kunifungulia
Endelea kumuogopa mke wako, wenzio tuko club 777. Mambo bado kabisa.
.......nakazia acha tuvute shuka kesho blue monday
Angalia sana red bull so nzuri afya moyo wako[emoji23][emoji23] hapa nikifika home ni maji lita 1 usingizi saa 11 naamka maji lita 1 na red bull energy ili alchohol isisome