Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Tafuta hela masikini weweMwanafunzi wewe ndio mnakazna kusema tafta pesa, hivi Kuna binadamu hatufuti pesa dukani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta hela masikini weweMwanafunzi wewe ndio mnakazna kusema tafta pesa, hivi Kuna binadamu hatufuti pesa dukani
asalaleeeee! Mkuu kwa hichi ulichokiandika hapa wewe ndio mshamba wa pesa! fatilia kwa wenzetu dollar 500,300,200 ni pesa za kawaida tu sema inategemea unauchumi wakiwango gani!!.. usiseme hata mo hawezi sema wewe ndo hauwezi!.Hata Mo dewji hafanyi ujinga huo wa kukaa hoteli kwa gharama hizo , ni mara moja Moja zaidi ya hapo utakuwa mshamba wa pesa, na nahisi pesa huzijui
Hiyo ni Kwa wenzetu , vip Kwa Tanzania dollar mia Tano na maisha ya watanzania tulio wengi ukiwemo mimi na wewe , could you afford to spend those amount quoted hereabove for how long ,tusiigize tunazungumza maisha ya Tanzania na watanzania wengi except the few ambao wapo financially well-off and kazi zao zinawapa nafasi ya kusafiri mara kwa maraasalaleeeee! Mkuu kwa hichi ulichokiandika hapa wewe ndio mshamba wa pesa! fatilia kwa wenzetu dollar 500,300,200 ni pesa za kawaida tu sema inategemea unauchumi wakiwango gani!!.. usiseme hata mo hawezi sema wewe ndo hauwezi!.
sidhani hata kama ulishawahi kuona watu waki spend pesa wewe mtu anakaa hotel na analipa pesa hiyo kwa usiku mmoja na bado atanunua wine ya dollar 300 mpaka 700!.. na hanuni..🤣
usipoelewa sasahivi utakuja kuelewa hata kesho watu wanahela babu!.
Humu kwa kuigiza maisha hatujambo mkuu.Hata Mo dewji hafanyi ujinga huo wa kukaa hoteli kwa gharama hizo , ni mara moja Moja zaidi ya hapo utakuwa mshamba wa pesa, na nahisi pesa huzijui
Hii changamoto kwa watu wengi.Nimejikuta hivi vyakula ni sehemu ya mlo wangu karibu Kila siku, ukiwa nyumbani utakuta pamepikwa , uingie mtaani hadithi ni Ile Ile, nimevichoka ila sasa sielewei najinasuaje , vyakula hivi ni 1. Wali 2. Ugali 3. Chips 4. Chapati 5. Ndizi na mboga hizi 1. Nyama 2. Samaki( samaki na dagaa) 3. Maharage 4. Mboga a majani marufu kama Chinese, vip unatoboaje na unavikwepaje, je unaweza toboa wiki usikutane na hiyo menu hapo juu,. Nimefanikiwa kukata matumizi ya soda na beverages nyingine nyingi, natumia maji tu ila kuhusu vyakula imekuwa kazi ngumu ,nenda mgahawani kwa mama lishe to hotelini misosi ni hiyo hiyo
Najaribu kuzungumza mazingira ya Tanzania,ukubali ukatae tulio wengi safari ni Moja na tuna fanana sana kimaisha na kiuchumi, hebu fikiria hili kundi wafanyakazi wa serikali , wizara na Tamisemi , kundi la wafanya biashara walio wengi na wakulima unaowafahamu wewe wanaweza afford cost hizo za maisha, ukianza kuleta hadithi za marekani , sijui Canada utakuwa nje ya mada, unakwepaje hiii misosi maana ndiyo imejaa masokoni, otherwise ugeukie vyakula vya ajabu vya kizungu ambavyo ni hatar kwa afyaasalaleeeee! Mkuu kwa hichi ulichokiandika hapa wewe ndio mshamba wa pesa! fatilia kwa wenzetu dollar 500,300,200 ni pesa za kawaida tu sema inategemea unauchumi wakiwango gani!!.. usiseme hata mo hawezi sema wewe ndo hauwezi!.
sidhani hata kama ulishawahi kuona watu waki spend pesa wewe mtu anakaa hotel na analipa pesa hiyo kwa usiku mmoja na bado atanunua wine ya dollar 300 mpaka 700!.. na hanuni..🤣
usipoelewa sasahivi utakuja kuelewa hata kesho watu wanahela babu!.
mh! watu local usije ukafikiri hawana pesa wanazo isipokuwa tu watu local wanaenda sehemu local ili kubana matumizi!, let's say ni ngumu mtanzania kwenda hotelini sio kwasababu ya gharama ni vile haoni kama kuna jipya maana kwa wageni wanapenda waogelee na waote jua,sasa wewe kitu kama hicho unaweza kukipata kwa kwenda beach ambapo hautalipishwa chochote!..Hiyo ni Kwa wenzetu , vip Kwa Tanzania dollar mia Tano na maisha ya watanzania tulio wengi ukiwemo mimi na wewe , could you afford to spend those amount quoted hereabove for how long ,tusiigize tunazungumza maisha ya Tanzania na watanzania wengi except the few ambao wapo financially well-off and kazi zao zinawapa nafasi ya kusafiri mara kwa mara
Hotel unapata malazi na chakula. Mgahawa unapata chakula hakuna malazi.Kwa kibongo Hotelini hamna kupangiwa eti wali lazima upewe na nyama maharage na spinach huo ni mgahawa mkuu
swala lako la kuhusu watu na uchumi ndugu watu pesa wanazo! naomba niishie hapo tu!..Najaribu kuzungumza mazingira ya Tanzania,ukubali ukatae tulio wengi safari ni Moja na tuna fanana sana kimaisha na kiuchumi, hebu fikiria hili kundi wafanyakazi wa serikali , wizara na Tamisemi , kundi la wafanya biashara walio wengi na wakulima unaowafahamu wewe wanaweza afford cost hizo za maisha, ukianza kuleta hadithi za marekani , sijui Canada utakuwa nje ya mada, unakwepaje hiii misosi maana ndiyo imejaa masokoni, otherwise ugeukie vyakula vya ajabu vya kizungu ambavyo ni hatar kwa afya
Ukiwa na ela ukienda hotelini au nyumbani we ndo utaamua wapike niniNitafte Hela ziwe shilingi ngapi mzee ili nikwepe, sababu iwe hotelini wapi menu zinaishia humo
Sio kila siku..asalaleeeee! Mkuu kwa hichi ulichokiandika hapa wewe ndio mshamba wa pesa! fatilia kwa wenzetu dollar 500,300,200 ni pesa za kawaida tu sema inategemea unauchumi wakiwango gani!!.. usiseme hata mo hawezi sema wewe ndo hauwezi!.
sidhani hata kama ulishawahi kuona watu waki spend pesa wewe mtu anakaa hotel na analipa pesa hiyo kwa usiku mmoja na bado atanunua wine ya dollar 300 mpaka 700!.. na hanuni..🤣
usipoelewa sasahivi utakuja kuelewa hata kesho watu wanahela babu!.
Hakuna shida ya kula vyakula ulivyotaja ila tu;Nimejikuta hivi vyakula ni sehemu ya mlo wangu karibu Kila siku, ukiwa nyumbani utakuta pamepikwa , uingie mtaani hadithi ni Ile Ile, nimevichoka ila sasa sielewei najinasuaje , vyakula hivi ni 1. Wali 2. Ugali 3. Chips 4. Chapati 5. Ndizi na mboga hizi 1. Nyama 2. Samaki( samaki na dagaa) 3. Maharage 4. Mboga a majani marufu kama Chinese, vip unatoboaje na unavikwepaje, je unaweza toboa wiki usikutane na hiyo menu hapo juu,. Nimefanikiwa kukata matumizi ya soda na beverages nyingine nyingi, natumia maji tu ila kuhusu vyakula imekuwa kazi ngumu ,nenda mgahawani kwa mama lishe to hotelini misosi ni hiyo hiyo
Jifunze acha ubishi. Wengi mnafikiri mgahawa ni sehemu ya kula ya hali ya chini wakati migahawa ipo ya hali zote. Mnachanganya Restaurant na Hotel.Nazungumzia mgahawa unaopatikana hotelini
Soma tena