Okrap
JF-Expert Member
- Jul 13, 2022
- 1,112
- 2,311
Ikiwa una kusudi kubwa maishani, sio lazima uwe mtu wa kusukumwa sukumwa, bali shauku yako itakupeleka huko kwenye kusudi lako la kuishi.
Ikiwa una nguvu ya kujua kwa nini unaishi, utapata maana katika kila pambano utakalo pambana nalo maishani mwako.
Hukuzaliwa ili tu kula, kuzeeka na kufa. Kuna sababu ya kuwepo kwako duniani. Kazi yako ya kwanza duniani ni kujua kusudi lako. Mgawo wako wa pili ni kutimiza kusudi hilo.
Je, unalijua kusudi lako la kuishi duniani?
Ikiwa una nguvu ya kujua kwa nini unaishi, utapata maana katika kila pambano utakalo pambana nalo maishani mwako.
Hukuzaliwa ili tu kula, kuzeeka na kufa. Kuna sababu ya kuwepo kwako duniani. Kazi yako ya kwanza duniani ni kujua kusudi lako. Mgawo wako wa pili ni kutimiza kusudi hilo.
Je, unalijua kusudi lako la kuishi duniani?