Chawa mkubwa weweMimi kufurahi na kuwakels
Wewe usiniulize tena hilo swaliUnaondoka lini?
Angalia usije UKAJAZWA.Bado sijaijaza maana wanawake wa uzao huu ni wachoyo wachoyo balaa ila nitaijaza duniani kabla sijaondoka duniani
Kama kuna kujazwa basi Mungu asingetoa agizo la kuijaza, jitahidi kuelewa kwa nini uliletwa duniani.Angalia usije UKAJAZWA.
Sio kila mtu kaletwa kuzaa dunian[emoji23], na kusudi la mtu dunian sio kujazana, bali kutimiza mission maalum ambayo kila mtu anayo tofaut na mtu mwingine.Kusudi langu la kuwepo duniani ni kuzaa na kuijaza nchi, Mungu mwenyewe alitoa hilo agizo baada ya kuwaumba Adam na Hawa.
Kwa hiyo wewe umeletwa duniani kwa kusudi gani?Sio kila mtu kaletwa kuzaa dunian[emoji23], na kusudi la mtu dunian sio kujazana, bali kutimiza mission maalum ambayo kila mtu anayo tofaut na mtu mwingine.
.
Ingekuwa kujaza dunia basi Mungu angewahamishia malaika wake wote dunian wajazane, ama angewaumba akina adamu wengi sana duniani wajae haraka[emoji23][emoji23].
Tuamkeni bana msizao hovyo kama wanyama, fanyeni yaliyo wapaswa kufanywa
Hilo nalo ni kusudi?
Kusudi Kama kusudi.... πππβHilo nalo ni kusudi?
Aisee πKusudi Kama kusudi.... πππ
Tumpeleke binti kule kambi ya fisi. ππAisee π
Hembu mlete kambini leo leo πTumpeleke binti kule kambi ya fisi. ππ
Sawa mkuu, mapema Sana saa 4 usiku binti atafikishwa hapo. πHembu mlete kambini leo leo π