Vesuvius
JF-Expert Member
- Jun 27, 2021
- 2,478
- 5,102
Vishu Mtata ni mtata kwelikweliMichezo inawasaidia kuwakeep busy na baadhi yao kuacha tabia chafu na kujenga miili yao.
Ila mimi huwa siwapi kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vishu Mtata ni mtata kwelikweliMichezo inawasaidia kuwakeep busy na baadhi yao kuacha tabia chafu na kujenga miili yao.
Ila mimi huwa siwapi kitu.
Bora ujichange ununue mpira wa netiboli na futiboli na kugawia shule ya msingi ya serikali ya jirani na unapoishiWenzako wanaenda kuvutia bange we moyo unakuuma utoe zaidi
Vifaa vya michezo mkuuWalikuwa wanaomba mchango wa nini sasa wakat mazoezi ni afya?
Ushawahi pigwa ngeta? Au unakaa ushuani? Hao wahuni sio wa kuendekezaKwani hata wakivutia bangi pana shida gani? Ukishatoa umetoa kutoa ni moyo usimpangie matumizi unaempa! Watu wa humu mna maindi vitu vidogo aisee!
Ngeta sipigwi na sikai ushuani..Ushawahi pigwa ngeta? Au unakaa ushuani? Hao wahuni sio wa kuendekeza
Sasa hizo roba unataka wapigwe wengine baada ya kufadhiliwa bangi zao?Ngeta sipigwi na sikai ushuani..
Mbona kuna madogo tu ambao ni wadogo zetu tunawalea wanacheza mpira safi tu na wengine wako chuo! Hao wahuni wapo huko kwenuSasa hizo roba unataka wapigwe wengine baada ya kufadhiliwa bangi zao?
Bila shaka itakua ni daslam kama sio gomz, magomeni, basi mitaa ya mabibo au Kigogo ndo vijana wana hizi tabia za kuomba michangoLeo wakat naenda dukan kupata mahitaj nikakuta pembezon mwa duka kuna vijana wameva jez nikajua fika hawa ni wachezaji.
Wakat nikiendelea kufanya manunuz mmoja akanifuata akanambia; "...shekhe(nilikuwa nimevaa kanzu) sisi ni timu ya hapa mtaani kwetu, huwa tunafanya mazoezi hapo uwanja wa shule ya msingi, tunaomba mchango wako kwa kitu chochote..!
Mi kwakuwa sikuwa na hela ya kutosha nikawapa hela zilizobaki baada ya manunuz, ila bado moyon mwangu kuna roho inanambia nifanye zaidi ya hapa.
Hao madogo mtakua mnakaa nao ushuani most wanted...ila uswazi timu za mipira za kitaa ni za vibaka, siku wakikosa wa kumuibia wanakuibia mfadhili waoMbona kuna madogo tu ambao ni wadogo zetu tunawalea wanacheza mpira safi tu na wengine wako chuo! Hao wahuni wapo huko kwenu
Kwani hata wakivutia bangi pana shida gani? Ukishatoa umetoa kutoa ni moyo usimpangie matumizi unaempa! Watu wa humu mna maindi vitu vidogo aisee!
Na wewe unazingua sikuhizi🤣🤣 Dada
Huyu bangi anayoijua ni inayosimuliwa online, hajakutana na show za wandava wanapiga jogging, boxing na futiboli wakikuweka 18 unaona kiama hikiKwani hata wakivuta Bange pana shida gani?
We Mvuta Bange Unamjua ? Kama humjui usiombe Ukutane nae Vichochoroni...! ni balaa. Wanatembea na Viwembe, bisibisi na visu.
Kama unao ndugu Wanakaa mitaa ya Mwananyamala,Tandale,Manzese na buza waulize Wakujuze Wala mibange ni kina nani?
Niko nao hapa wanafunga Skanka nawaulizaKwani hata wakivuta Bange pana shida gani?
We Mvuta Bange Unamjua ? Kama humjui usiombe Ukutane nae Vichochoroni...! ni balaa. Wanatembea na Viwembe, bisibisi na visu.
Kama unao ndugu Wanakaa mitaa ya Mwananyamala,Tandale,Manzese na buza waulize Wakujuze Wala mibange ni kina nani?
Naomba usinichane hapa ,nitakimbia jukwaa 🤣Na wewe unazingua sikuhizi
🤣🤣🤣Haya sawa,nimesameheNaomba usinichane hapa ,nitakimbia jukwaa 🤣
🤝🤝🤣🤣🤣Haya sawa,nimesamehe