royal tourtz
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 255
- 326
Za jumapili wadau. iko hivi,
Unaweza kutana na mtu yeyote inaweza kuwa kwenye gari au njiani au kaja hapa hapo dukani au ofisini kwako kwa namna yoyote ile..
Ile katika kuongea ndani ya nusu saa ameshakuambaia kazi anayofanya, mshahara, wanawake aliopitia kama ana nyumba au gari.. au gharama ya nyumba aliyopanga. Kama ameshafirisika atakuambia kazi zote za nyuma alizowahi kufanya na ndoto zake.
Sasa mimi huwa najiuliza yote hayo unaniambia yanasaidia nini na ili iweje hali hatuna chochote cha kutuunganisha ni leo tu imetokea tumeonana.
Labda kuna wadau humu huwa mnawaelewa hawa watu wanataka nini ili nisiwe nawahukumu bure kumbe wana nia njema.
Unaweza kutana na mtu yeyote inaweza kuwa kwenye gari au njiani au kaja hapa hapo dukani au ofisini kwako kwa namna yoyote ile..
Ile katika kuongea ndani ya nusu saa ameshakuambaia kazi anayofanya, mshahara, wanawake aliopitia kama ana nyumba au gari.. au gharama ya nyumba aliyopanga. Kama ameshafirisika atakuambia kazi zote za nyuma alizowahi kufanya na ndoto zake.
Sasa mimi huwa najiuliza yote hayo unaniambia yanasaidia nini na ili iweje hali hatuna chochote cha kutuunganisha ni leo tu imetokea tumeonana.
Labda kuna wadau humu huwa mnawaelewa hawa watu wanataka nini ili nisiwe nawahukumu bure kumbe wana nia njema.