katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
Mbona hapa ni warefu ndio wanajinadiHuwa wanahitaji heshima ama antenttion anafaham Wala hakuna Cha kuwaunganisha ni vile tu anahitaj umtambue yey ni nani
Wengi wao huwa ni watu wafupi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hapa ni warefu ndio wanajinadiHuwa wanahitaji heshima ama antenttion anafaham Wala hakuna Cha kuwaunganisha ni vile tu anahitaj umtambue yey ni nani
Wengi wao huwa ni watu wafupi
Unamsamehe unaendelea na mambo yako.. Easy
KujikoshaZa jumapili wadau. iko hivi,
Unaweza kutana na mtu yeyote inaweza kuwa kwenye gari au njiani au kaja hapa hapo dukani au ofisini kwako kwa namna yoyote ile..
Ile katika kuongea ndani ya nusu saa ameshakuambaia kazi anayofanya, mshahara, wanawake aliopitia kama ana nyumba au gari.. au gharama ya nyumba aliyopanga. Kama ameshafirisika atakuambia kazi zote za nyuma alizowahi kufanya na ndoto zake.
Sasa mimi huwa najiuliza yote hayo unaniambia yanasaidia nini na ili iweje hali hatuna chochote cha kutuunganisha ni leo tu imetokea tumeonana.
Labda kuna wadau humu huwa mnawaelewa hawa watu wanataka nini ili nisiwe nawahukumu bure kumbe wana nia njema.
Nadhani wanasumbuliwa na insecurities, kusema hivyo inawasaidia (japo kwa muda) kurudisha kujiamini na kujihisi kukubalika na watu.Za jumapili wadau. iko hivi,
Unaweza kutana na mtu yeyote inaweza kuwa kwenye gari au njiani au kaja hapa hapo dukani au ofisini kwako kwa namna yoyote ile..
Ile katika kuongea ndani ya nusu saa ameshakuambaia kazi anayofanya, mshahara, wanawake aliopitia kama ana nyumba au gari.. au gharama ya nyumba aliyopanga. Kama ameshafirisika atakuambia kazi zote za nyuma alizowahi kufanya na ndoto zake.
Sasa mimi huwa najiuliza yote hayo unaniambia yanasaidia nini na ili iweje hali hatuna chochote cha kutuunganisha ni leo tu imetokea tumeonana.
Labda kuna wadau humu huwa mnawaelewa hawa watu wanataka nini ili nisiwe nawahukumu bure kumbe wana nia njema.
Jirani yangu huyoZa jumapili wadau. iko hivi,
Unaweza kutana na mtu yeyote inaweza kuwa kwenye gari au njiani au kaja hapa hapo dukani au ofisini kwako kwa namna yoyote ile..
Ile katika kuongea ndani ya nusu saa ameshakuambaia kazi anayofanya, mshahara, wanawake aliopitia kama ana nyumba au gari.. au gharama ya nyumba aliyopanga. Kama ameshafirisika atakuambia kazi zote za nyuma alizowahi kufanya na ndoto zake.
Sasa mimi huwa najiuliza yote hayo unaniambia yanasaidia nini na ili iweje hali hatuna chochote cha kutuunganisha ni leo tu imetokea tumeonana.
Labda kuna wadau humu huwa mnawaelewa hawa watu wanataka nini ili nisiwe nawahukumu bure kumbe wana nia njema.
ExtrovertedZa jumapili wadau. iko hivi,
Unaweza kutana na mtu yeyote inaweza kuwa kwenye gari au njiani au kaja hapa hapo dukani au ofisini kwako kwa namna yoyote ile..
Ile katika kuongea ndani ya nusu saa ameshakuambaia kazi anayofanya, mshahara, wanawake aliopitia kama ana nyumba au gari.. au gharama ya nyumba aliyopanga. Kama ameshafirisika atakuambia kazi zote za nyuma alizowahi kufanya na ndoto zake.
Sasa mimi huwa najiuliza yote hayo unaniambia yanasaidia nini na ili iweje hali hatuna chochote cha kutuunganisha ni leo tu imetokea tumeonana.
Labda kuna wadau humu huwa mnawaelewa hawa watu wanataka nini ili nisiwe nawahukumu bure kumbe wana nia njema.
"ameshafirisika" ndiyo umemaanisha nini?Za jumapili wadau. iko hivi,
Unaweza kutana na mtu yeyote inaweza kuwa kwenye gari au njiani au kaja hapa hapo dukani au ofisini kwako kwa namna yoyote ile..
Ile katika kuongea ndani ya nusu saa ameshakuambaia kazi anayofanya, mshahara, wanawake aliopitia kama ana nyumba au gari.. au gharama ya nyumba aliyopanga. Kama ameshafirisika atakuambia kazi zote za nyuma alizowahi kufanya na ndoto zake.
Sasa mimi huwa najiuliza yote hayo unaniambia yanasaidia nini na ili iweje hali hatuna chochote cha kutuunganisha ni leo tu imetokea tumeonana.
Labda kuna wadau humu huwa mnawaelewa hawa watu wanataka nini ili nisiwe nawahukumu bure kumbe wana nia njema.
MjingaZa jumapili wadau. iko hivi,
Unaweza kutana na mtu yeyote inaweza kuwa kwenye gari au njiani au kaja hapa hapo dukani au ofisini kwako kwa namna yoyote ile..
Ile katika kuongea ndani ya nusu saa ameshakuambaia kazi anayofanya, mshahara, wanawake aliopitia kama ana nyumba au gari.. au gharama ya nyumba aliyopanga. Kama ameshafirisika atakuambia kazi zote za nyuma alizowahi kufanya na ndoto zake.
Sasa mimi huwa najiuliza yote hayo unaniambia yanasaidia nini na ili iweje hali hatuna chochote cha kutuunganisha ni leo tu imetokea tumeonana.
Labda kuna wadau humu huwa mnawaelewa hawa watu wanataka nini ili nisiwe nawahukumu bure kumbe wana nia njema.
Most wafupi wanaongoza kweny his mamboMbona hapa ni warefu ndio wanajinadi
Mpaka aanze kujisanua hivyo kwko jua tatizo ni wewe mwenyeweZa jumapili wadau. iko hivi,
Unaweza kutana na mtu yeyote inaweza kuwa kwenye gari au njiani au kaja hapa hapo dukani au ofisini kwako kwa namna yoyote ile..
Ile katika kuongea ndani ya nusu saa ameshakuambaia kazi anayofanya, mshahara, wanawake aliopitia kama ana nyumba au gari.. au gharama ya nyumba aliyopanga. Kama ameshafirisika atakuambia kazi zote za nyuma alizowahi kufanya na ndoto zake.
Sasa mimi huwa najiuliza yote hayo unaniambia yanasaidia nini na ili iweje hali hatuna chochote cha kutuunganisha ni leo tu imetokea tumeonana.
Labda kuna wadau humu huwa mnawaelewa hawa watu wanataka nini ili nisiwe nawahukumu bure kumbe wana nia njema.