Unamchukuliaje mtu ambaye mnapokutana kwa muda mfupi tu, tayari ameshajinadi sifa zake zote?

Unamchukuliaje mtu ambaye mnapokutana kwa muda mfupi tu, tayari ameshajinadi sifa zake zote?

Za jumapili wadau. iko hivi,

Unaweza kutana na mtu yeyote inaweza kuwa kwenye gari au njiani au kaja hapa hapo dukani au ofisini kwako kwa namna yoyote ile..

Ile katika kuongea ndani ya nusu saa ameshakuambaia kazi anayofanya, mshahara, wanawake aliopitia kama ana nyumba au gari.. au gharama ya nyumba aliyopanga. Kama ameshafirisika atakuambia kazi zote za nyuma alizowahi kufanya na ndoto zake.

Sasa mimi huwa najiuliza yote hayo unaniambia yanasaidia nini na ili iweje hali hatuna chochote cha kutuunganisha ni leo tu imetokea tumeonana.

Labda kuna wadau humu huwa mnawaelewa hawa watu wanataka nini ili nisiwe nawahukumu bure kumbe wana nia njema.
Kujikosha
 
Za jumapili wadau. iko hivi,

Unaweza kutana na mtu yeyote inaweza kuwa kwenye gari au njiani au kaja hapa hapo dukani au ofisini kwako kwa namna yoyote ile..

Ile katika kuongea ndani ya nusu saa ameshakuambaia kazi anayofanya, mshahara, wanawake aliopitia kama ana nyumba au gari.. au gharama ya nyumba aliyopanga. Kama ameshafirisika atakuambia kazi zote za nyuma alizowahi kufanya na ndoto zake.

Sasa mimi huwa najiuliza yote hayo unaniambia yanasaidia nini na ili iweje hali hatuna chochote cha kutuunganisha ni leo tu imetokea tumeonana.

Labda kuna wadau humu huwa mnawaelewa hawa watu wanataka nini ili nisiwe nawahukumu bure kumbe wana nia njema.
Nadhani wanasumbuliwa na insecurities, kusema hivyo inawasaidia (japo kwa muda) kurudisha kujiamini na kujihisi kukubalika na watu.
 
Za jumapili wadau. iko hivi,

Unaweza kutana na mtu yeyote inaweza kuwa kwenye gari au njiani au kaja hapa hapo dukani au ofisini kwako kwa namna yoyote ile..

Ile katika kuongea ndani ya nusu saa ameshakuambaia kazi anayofanya, mshahara, wanawake aliopitia kama ana nyumba au gari.. au gharama ya nyumba aliyopanga. Kama ameshafirisika atakuambia kazi zote za nyuma alizowahi kufanya na ndoto zake.

Sasa mimi huwa najiuliza yote hayo unaniambia yanasaidia nini na ili iweje hali hatuna chochote cha kutuunganisha ni leo tu imetokea tumeonana.

Labda kuna wadau humu huwa mnawaelewa hawa watu wanataka nini ili nisiwe nawahukumu bure kumbe wana nia njema.
Jirani yangu huyo
 
Za jumapili wadau. iko hivi,

Unaweza kutana na mtu yeyote inaweza kuwa kwenye gari au njiani au kaja hapa hapo dukani au ofisini kwako kwa namna yoyote ile..

Ile katika kuongea ndani ya nusu saa ameshakuambaia kazi anayofanya, mshahara, wanawake aliopitia kama ana nyumba au gari.. au gharama ya nyumba aliyopanga. Kama ameshafirisika atakuambia kazi zote za nyuma alizowahi kufanya na ndoto zake.

Sasa mimi huwa najiuliza yote hayo unaniambia yanasaidia nini na ili iweje hali hatuna chochote cha kutuunganisha ni leo tu imetokea tumeonana.

Labda kuna wadau humu huwa mnawaelewa hawa watu wanataka nini ili nisiwe nawahukumu bure kumbe wana nia njema.
Extroverted

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Za jumapili wadau. iko hivi,

Unaweza kutana na mtu yeyote inaweza kuwa kwenye gari au njiani au kaja hapa hapo dukani au ofisini kwako kwa namna yoyote ile..

Ile katika kuongea ndani ya nusu saa ameshakuambaia kazi anayofanya, mshahara, wanawake aliopitia kama ana nyumba au gari.. au gharama ya nyumba aliyopanga. Kama ameshafirisika atakuambia kazi zote za nyuma alizowahi kufanya na ndoto zake.

Sasa mimi huwa najiuliza yote hayo unaniambia yanasaidia nini na ili iweje hali hatuna chochote cha kutuunganisha ni leo tu imetokea tumeonana.

Labda kuna wadau humu huwa mnawaelewa hawa watu wanataka nini ili nisiwe nawahukumu bure kumbe wana nia njema.
"ameshafirisika" ndiyo umemaanisha nini?

"Great minds discuss ideas, average minds discuss events, poor minds discuss people". Kwa falsafa hii, jikumbushe upo kundi lipi, kati ya hayo matatu, kwa kutaka tuongelee watu.
 
Ni upweke tu unawasumbua. Hivi unaja mtu anaweza kuwa anaishi na watu ila akawa mpweke.

Inakuwa hivi mfano:

"mimi tangu mwaka juzi mwishoni sijasafiri kabisa, korona imenipotezea dili nyingi, yani kipato kimeshuka sana embu fikiria nmepeleka mtoto shule ya laki sita sijui kama atafanya vizuri mtihani wa darasa la nne.

Ila nimegundua mke wangu ana akili sana kaanzisha vimradi anafuga kuku kwa mwezi hakisi milioni mbili, nmewaza huu mwaka mwishoni nimuongezee mtaji akuze kuze biashara."

Wewe ukikutana na mtu wa hivyo jua upweke ndio tatizo. Wewe muitikie tu isiwe tabu zaidi.
 
Za jumapili wadau. iko hivi,

Unaweza kutana na mtu yeyote inaweza kuwa kwenye gari au njiani au kaja hapa hapo dukani au ofisini kwako kwa namna yoyote ile..

Ile katika kuongea ndani ya nusu saa ameshakuambaia kazi anayofanya, mshahara, wanawake aliopitia kama ana nyumba au gari.. au gharama ya nyumba aliyopanga. Kama ameshafirisika atakuambia kazi zote za nyuma alizowahi kufanya na ndoto zake.

Sasa mimi huwa najiuliza yote hayo unaniambia yanasaidia nini na ili iweje hali hatuna chochote cha kutuunganisha ni leo tu imetokea tumeonana.

Labda kuna wadau humu huwa mnawaelewa hawa watu wanataka nini ili nisiwe nawahukumu bure kumbe wana nia njema.
Mjinga
 
Hawa watu I put my hands up🙌
Juzi I met mdada wa makamo hivi kaolewa na mzee ambae amemzidi 31 years coincidence happened basi akaanza kuelezea how they met, her parents reactions, how other people take their relationship, how he lives with her husband's kids basi Kila kitu hapo tumekutana nusu saa Tu.
To me these people are very innocent lakini Huwa napigwa na butwaa ki ukweli ni vyema wakayasoma mazingira kwanza before they feel comfortable to express themselves.
 
Na ole wake mbadilishane namba unaombwa pesa soon,
 
Ila binadamu tumetofautiana sana mimi kama hatujuani tutazamana tu kama majogoo yaliyochoka kupigana,no story zaidi ya salamu ukiniletea story za kiutopolo nakukata jicho moja matata hurudii tena
 
Nashikaga tama tu namuangalia machoni na kuitikia eeeh, mmmmh ni kweli , eeh ni sawa

Masawe mletee huyu ndugu yangu nachokunywa...Halafu maisha yanaendelea.
Binadamu hatufanani , let him be
 
Za jumapili wadau. iko hivi,

Unaweza kutana na mtu yeyote inaweza kuwa kwenye gari au njiani au kaja hapa hapo dukani au ofisini kwako kwa namna yoyote ile..

Ile katika kuongea ndani ya nusu saa ameshakuambaia kazi anayofanya, mshahara, wanawake aliopitia kama ana nyumba au gari.. au gharama ya nyumba aliyopanga. Kama ameshafirisika atakuambia kazi zote za nyuma alizowahi kufanya na ndoto zake.

Sasa mimi huwa najiuliza yote hayo unaniambia yanasaidia nini na ili iweje hali hatuna chochote cha kutuunganisha ni leo tu imetokea tumeonana.

Labda kuna wadau humu huwa mnawaelewa hawa watu wanataka nini ili nisiwe nawahukumu bure kumbe wana nia njema.
Mpaka aanze kujisanua hivyo kwko jua tatizo ni wewe mwenyewe
 
Kuna konda kasimulia vita ya urusi na ukraine tokea USSR mpaka itakavyokuwa badae,toka mikumi hadi dar,kesho atamuelezea rais wa korea kaskazin bwana kiduku,

Dizaini ya hawa watu nao vip tutawasema leo au kesho
 
Back
Top Bottom