Mimi nafahamu alipo na anachofanya ila sikwambii mpaka na wewe utoe picha yako tukujue na tujue unafanya kazi gani
Mmmmmh
Umeileta hadi huku....
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hah swali ulilouliza ni zuri sana. subiri jibu lako kutoka kwa mhusika
Hahahaaahaaa joe5 thanks.
Wengine umbea kipaji so lazima tufiatilie habari.
Pita hiviiiiiiiiiii sio kila mtu wa kuzoea na si kila uzi wa kucomment
na kama una kipaji kwa nini ufe na njaa
Punguza hasira binti
Au kwa vile kule walikwambia kuwa unachokifanya sio? Ndio nishakoment
Hasira hasara pole yako
Sent from my iPhone using JamiiForums
Direction to reach there plz!!!!"
Punguza hasira binti
Au kwa vile kule walikwambia kuwa unachokifanya sio? Ndio nishakoment
Hasira hasara pole yako
Sent from my iPhone using JamiiForums