Kwa kweli hata mimi wine sio rafiki kabisa inachukuliwa moja kwa moja kwenye damu....kuna yale ya dodoma halafu kuna yale ya SA yanalewesha bwanaHivi kuna pombe inalewesha vibaya kama wine? Mimi ni mlevi wa pombe kali mchanganyiko lakini sikukuu ya mwaka mpya nilikunywa pombe zangu kiasi nikaenda nyumbani nikanywa wine glass 1½ nikalewa vibaya mpaka kesho yake asubuh nikaamka hovyo
😹😹😹 uzi gani?Kuna jamaa kwenye Uzi mmoja alikuletea shobo nilipenda jinsi ulivyo mpiga spana mpaka jamaa aka toka nduki
😊🙌
Wawe wanasoma maandiko wasitusumbue 😹😹😹Imagine ndio muujiza wa kwanza hapa ulimwenguni wa bwana wetu maji kuwa divai,sisi ni kina nani tusinywe😂,
Kabisa😂Wawe wanasoma maandiko wasitusumbue 😹😹😹
Ilikua Jana Uzi sikumbuki lakini nilifuatilia mtanange kimya kimya.. your so strong nili kukubali Sanaa☺️😊😹😹😹 uzi gani?
Mana mimi humu kila siku wananiletea shobo..!!
Nouma sana 😹😹Ilikua Jana Uzi sikumbuki lakini nilifuatilia mtanange kimya kimya.. your so strong nili kukubali Sanaa☺️😊
It shows kwamba huyo mdada sio waifu matirioSa kwenda disco na kucheza kuna shida gani jamani 😅
Kuna lile la kwenye dumu nilileta kwaajili ya familia nikajisahau nikanywa kama jueceKwa kweli hata mimi wine sio rafiki kabisa inachukuliwa moja kwa moja kwenye damu....kuna yale ya dodoma halafu kuna yale ya SA yanalewesha bwana
Basi pombe kali unaiogopa tu mdomoni ila ukinywa utaifurahia kuliko wine.Duh basi mwili wako upo tofauti na wengine. Pombe kali mimi sithubutu. Wine hata chupa mbili nakunywa na nipo vzr
Utakuja kugundua kupiga chini ni rahisi na bora kuliko kupigania unachopigania, you are just wasting your time and life unnecessaryMkuu kupiga Chini ni simple like that et...?
Pombe kali kama unakunywa sumu ladha yake, hapana kwa kweli..bora ninywe beerBasi pombe kali unaiogopa tu mdomoni ila ukinywa utaifurahia kuliko wine.
Mimi pombe kali inanipa starehe na kutamani kuendelea na Viber ila hizi wine nakua kama zezeta na uchovu mwingi
😅😅 kubambiwa lazima ni mtindo wa kudance. Ungeenda nae wewe ungembambiaSio issue disco kwann abambiwe
Why unasimama upande wake as if wewe unafanya hayo mambo
Kwani wakati unamtongoza hakuwa hivyo? Au ulijua atabadilika kwaajili yako?Hey Demi ujaelewa kitu kimoja..
Even mi nafanya ujinga wangu but this is too much .
Hv ushawahi angalia nyimbo za visingeli.
Yupo na wahuni sijui mashisha yale anapuliza an anashikwa shikwa then useme anavumilia mm navyokua na mashangaz wakat hajawahi ni shika on target..
Still enough anatuma mpaka status..
Juzi naongea nae anasema anaenda tandika kwa mdogo wake kumbe ndo siku hiyo kaenda kulewa kumalija kule...
Mtu unamchukulia smart unapanga nae mengi tuu demi hii isikie tuu inauma huyu mtu nimewekeza sana kwake is not about money ila tu mentally nimeweka vingi kwake
Sijakosa mume😀Ulikosa mume😉..why mnapost vimiminika🤣
Si unaona anasema alikata stimu.you never know 🥴Sijakosa mume😀
Bia nayo ni nzuri ila ukizidisha unaamka kichwa kizito kama vile kina mimba😁Pombe kali kama unakunywa sumu ladha yake, hapana kwa kweli..bora ninywe beer
Yes ukinywa kwa kiasi ina mzuka mzuriBia nayo ni nzuri ila ukizidisha unaamka kichwa kizito kama vile kina mimba😁