Hey Demi ujaelewa kitu kimoja..
Even mi nafanya ujinga wangu but this is too much .
Hv ushawahi angalia nyimbo za visingeli.
Yupo na wahuni sijui mashisha yale anapuliza an anashikwa shikwa then useme anavumilia mm navyokua na mashangaz wakat hajawahi ni shika on target..
Still enough anatuma mpaka status..
Juzi naongea nae anasema anaenda tandika kwa mdogo wake kumbe ndo siku hiyo kaenda kulewa kumalija kule...
Mtu unamchukulia smart unapanga nae mengi tuu demi hii isikie tuu inauma huyu mtu nimewekeza sana kwake is not about money ila tu mentally nimeweka vingi kwake