my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo mzigo huo bdo ni new brand?Mi sikuanza 😉
Kiburi toka kwa muhusika...bwana hawa watoto wa kike wakishaambiwa wao wazuri ndani ya nyumba hashikiki.Tungojee majibu ya Prof. mzabzab
Inaonekana umelelewa pasipo na maadili,tegemea na huyo unayetaka asianze,atakua kashaanza.Mi ata sikumbuki
Kiburi na usafi(kujipodoa) uliopitilizaIvi unawezaje kumtambua binti alieanza michezo ya kikubwa au alieanza sex? Namanisha binti ambae ypo kwenye teenage.
Ndugu yangu [emoji23]Tungojee majibu ya Prof. mzabzab
Nani kakudanganya hayo... baba ?Pombe si nzuri kwa fya yako acha mara moja 😂
elezea mabadiliko uliyo ya ona. ana umri gani. tabia zake za zamani na sasa. mabadiliko kwenye mavazi na kujijali. fafanua mkuuHivi unawezaje kumtambua binti alieanza michezo ya kikubwa au alieanza sex? Namaanisha binti ambaye yupo kwenye teenage.
Yuko level gan ya Elimu?Ni mdogo angu nahofia wauni wasiwe wameanza kumuaribia future yke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah.Asa mbona uyu toka zamani macho yke makavu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie lol.Siku binti yako akirudi nyumbani amechangamka sana na kiaibu fulani halafu anajidai mwema kila kazi ndio mstari wa mbele na kujipendekeza sana siku hiyo jua tayari.
Kama ndio wamempa ngumu sana atajidai anaumwa mapema sana siku hiyo kitandani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu khaaaah.Muulize huyo binti yako acha kumuhisi ohooo utakuja kushtuka ana mimba
Unayemuuliza ni katoto ka juzi. Alianza kupost humu katoto sijui ka form ngp..rudi nyuma kwenye post zake wkt anaingia jf ...huyu now yuko chuo...wala sio mkubwaMkuu watu washaanza kula tunda la binti yako nini[emoji16][emoji16][emoji16]