Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Kitendo cha kusema fulani alikwenda kwa ugonjwa fulani, ni kinyume cha maadili, huko ni kutoa siri za mgonjwa!. Unless wewe ni mwanafamilia, ugonjwa wa mtu ni siri ya mgonjwa, dakitari wake na familia yake!.Maneti na Kida wote walikwenda kwa ngoma.
Acha uongo Kida Waziri yupo mzima tele anahubiri injili ya Yesu Kristo kwa Raha zake.Maneti na Kida wote walikwenda kwa ngoma.
Nimekutana na Kida Waziri anamtangaza Yesu Kristo.Kitendo cha kusema fulani alikwenda kwa ugonjwa fulani, ni kinyume cha maadili, huko ni kutoa siri za mgonjwa!. Unless wewe ni mwanafamilia, ugonjwa wa mtu ni siri ya mgonjwa, dakitari wake na familia yake!.
P
Kida is very healthy so far.Its true alivumishiwa hivyo, na kufuatia uvumi huo, Kida Waziri aliyekuwa mpenzi wake alianza kukonda kwa kunyooshewa vidole, kumbe alisingiziwa tuu.
P
Bwana Asifiwe sana...AmenNimekutana na Kida Waziri anamtangaza Yesu Kristo.
Ameokoka na amekuwa Mtumishi wa Mungu.
Hizo pia zaweza kuwa sababu lakini bado nafasi ya Hemedi ilikuwa kubwa kuliko Bendi.Nionavyo mimi, VIJANA JAZZ imeuliwa na CCM yenyewe hasa baada ya TOT kuangaliwa zaidi. Album yenye wimbo shoga siyo ya mwisho kwa vionjo vya Vijana JaZz. Album ya mwisho ya Vijana Jazz kwa vionjo hasa vya wana Saga Rhumba ni ile ya 1997 ambapo majina makubwa yalikuwepo: Fred Benjamin,Suleiman Mbwembwe, Shomar Ally,Abdallah Mghonazero, Mhina Panduka( Toto Tundu) Shakashia na wengine wengi
Album hii ilikuwa na nyimbo ya Album uitwao Bye Bye Umaskini. Nyimbo zingine ni Mama Samia, Mbuzi yake Kamba nk
Baada ya Album hiyo Vijana wakapotea wakajitutumua mwaka 1999/2000 na nyimbo za Mabaar Maid, I love you mpiga debe, lakini vionjo vyake havikuwa ile dansi ya Vijana Jazz per see! Haikufanya vizuri, tangu hapo hamna Vijana Jazz, wanajaribu kuimba nyimbo za zaman lakini sauti zao hazivutii pale wanamuziki wake wanapojaribu kurudia nyimbo za zamani
Kuna siku nilienda pale Chem chem bar Tabata miaka 3-5 iliyopita, nikakuta Vijana JaZz ya kisasa wakirudia nyimbo kama:
Janja ya nyani, kapu la mjanja, shoga, VIP, Top Queen,wifi, mwisho wa mwezi, ogopa tapeli, ngapulila, visa vya mume, thereza,mfitini,bujumbura, aza, mama wa kambo, nk, nilitokwa na machozi jinsi watu wale walivyokosea kuimba nyimbo hizi tamu!
Huu ni uzushi, huyo Kida Waziri yupo.Maneti na Kida wote walikwenda kwa ngoma.
kwa sound alizopiga Maneti kwenye wimbo huu, Maria alikuwa hachomoki... mwanzo kabisa kamuambia Maria hajawahi kupende toka azaliwe na hatopenda tena mpaka kufa.Maria wangu....I love you...