Unamkumbuka Hemed Maneti Ulaya"chiriku"?

Maneti na Kida wote walikwenda kwa ngoma.
Kitendo cha kusema fulani alikwenda kwa ugonjwa fulani, ni kinyume cha maadili, huko ni kutoa siri za mgonjwa!. Unless wewe ni mwanafamilia, ugonjwa wa mtu ni siri ya mgonjwa, dakitari wake na familia yake!.
P
 
Kitendo cha kusema fulani alikwenda kwa ugonjwa fulani, ni kinyume cha maadili, huko ni kutoa siri za mgonjwa!. Unless wewe ni mwanafamilia, ugonjwa wa mtu ni siri ya mgonjwa, dakitari wake na familia yake!.
P
Nimekutana na Kida Waziri anamtangaza Yesu Kristo.
Ameokoka na amekuwa Mtumishi wa Mungu.
 
Alishawahi sema "Dunia aikaliki, ahera hakuendeki nimepatwa na mfadhaiko" katiki wimbo wa V.I.P, hapa naona kama alikua anadhihaki uwezo wa Mungu na Akampeleka ahera ili akakujue vizuri.!!!
 
Hizo pia zaweza kuwa sababu lakini bado nafasi ya Hemedi ilikuwa kubwa kuliko Bendi.

Nikiwa bado mdogo kabisa wa shule ya Msingi uwanja wa Sheikh Amri Abeid kulikuwa na shughuli ya kiserikali (sikumbuki ni shughuli gani), nilikuwa mmoja wa Wahudhuriaji na kulikuwa na bendi...nakumbuka kuelekea mwishoni MC wa shughuli ile akatangaza wakati Bendi inaanza kutumbuiza "huyo ndio Chiriku Maneti"....nakumbuka iliibuka bonge la Shangwe na Watu waliokuwa wamezagaa wakaja kuizunguka bendi...sasa utaona kati ya Bendi na Maneti nani alikuwa na nguvu.

Uwepo wa Maneti ungeibakiza nguvu ya Bendi hata kama ingekuja TOT.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…