USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Kama unazo kumbukumbu ya jamaa mashuhuri hapa Tanzania kipindi hicho alikwapua mamilioni ya pesa na kutokomea kisha kudakwa na baadae kushinda kesi na sasa yupo kitaa baada ya kaka yake ambaye ni mwanasheria na kamishna wa jeshi la polisi akidaiwa kumsaidia kukwepa jela sasa ndio anachukua jimbo
James Kasusura mtoto wa Chief Kasusura wa kabila dogo la wasubi wa wilaya ya Biharamulo kwa aliteuliwa na Rais Magufuli kuwa mkurugenzi wa Jiji la Mbeya akitokea makao makuu ya jeshi la polisi analitaka jimbo la Biharamulo ambalo baba yake alikuwa mbunge wa kwanza wa jimbo hilo na kudaiwa kumlea Rais Magufuli kama mwanae enzi hizo akisomea seminari ya Katoke.
Inadaiwa Rais Magufuli alibarikiwa na Chief Kasusura kulichukua jimbo hilo lakini alishindwa na Marehemu Kabuye na kupata baadae baada ya jimbo kugawanywa kuwa Biharamulo Magharibi na Mashariki.
Aliyekuwa mbunge wa Biharamulo, Oscar Mukasa kwa sasa anapumulia mashine kwa kushundwa kupigania jimbo na hivyo kuna nafasi kubwa ya kamishna huyu wa polisi akitokea OCCID kuchukua nafasi kama mzawa wa Biharamulo .
USSR
James Kasusura mtoto wa Chief Kasusura wa kabila dogo la wasubi wa wilaya ya Biharamulo kwa aliteuliwa na Rais Magufuli kuwa mkurugenzi wa Jiji la Mbeya akitokea makao makuu ya jeshi la polisi analitaka jimbo la Biharamulo ambalo baba yake alikuwa mbunge wa kwanza wa jimbo hilo na kudaiwa kumlea Rais Magufuli kama mwanae enzi hizo akisomea seminari ya Katoke.
Inadaiwa Rais Magufuli alibarikiwa na Chief Kasusura kulichukua jimbo hilo lakini alishindwa na Marehemu Kabuye na kupata baadae baada ya jimbo kugawanywa kuwa Biharamulo Magharibi na Mashariki.
Aliyekuwa mbunge wa Biharamulo, Oscar Mukasa kwa sasa anapumulia mashine kwa kushundwa kupigania jimbo na hivyo kuna nafasi kubwa ya kamishna huyu wa polisi akitokea OCCID kuchukua nafasi kama mzawa wa Biharamulo .
USSR