Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine wamehamia pale watakaa muda mrefu ile misitu ni mikubwa tangu 2005 wengine wapo paleWajenge wakati wanahama kila msimu
Wasubi hawana ukabila sema wana ujinga mwingi huwa hawapendi kujiita wasubi wanafurahi kuitwa Wahaya hata watu wa Ngara wakiitwa Wahaya wanafurahi mno kuliko waitwe wahangaza au washubiWasubi nao wao ukabila tu kama wahaya sema hawakusoma na hupenda kujiita wahaya
Biharamulo haina uchumi wowote hata ikitokea fursa ya ajira, madini, kilimo, na ufugaji humezwa na wasukuma na Wahaya na kuacha wasubi katika lindi la umasikiniBiharamulo haijulikani uchumi wake umeenea wapi?
Mbasa yupo wapi?Wasubi ipo siku watajikomboa maana mbasa naye alikuwa garasa tu
Nimesoma katoke seminari miaka kama 24 iliyopita nawafahamu sana wasubi ni watu wa ajabu mno labda wapate mbunge kama Magufuli atakaye watafunia na kuwalisha vinginevyo wataendelea kuwa masikini wa kutupwaWasubi wanamatatizo ya ujuaji na ushamba
Nilivyomaliza kusoma comment imebidi nirudi juu kuangalia username. Nilijua fika nitakutana na jina la kihaya! Mna matatizo sana ninyi watuNi wilaya iliyo nyuma sana kimaendeleo kutokana na sababu kadha wa kadha ils kubwa ni 1. Muamko kwa wenyeji, wenyeji ni watu walio ridhika na hali zao za umasikini yaani wanafurahia maisha yao duni,ukitaka kujua watu wenye utapiamlo nenda Biharamulo.
2. Hakuna vyanzo vya kutosha vya kiuchumi/kipato hii ni kutokana hakuna zao kuu linaloeleweka linapatikana Biharamulo wankilimo mseto na ambacho ni small scale, hakuna ziwa n.k. Ngoja tuone utalii ukianza labda mambo yatakuwa vizuri labda uwekezaji kwenye utalii utainufaisha Biharamulo pia.
Kweli wasubi wanamatatizo ya asili na sumu kali ya wao kwa wao eti abhasubi twemanye kuwa wao kwa wao kwanzaNimesoma katoke seminari miaka kama 24 iliyopita nawafahamu sana wasubi ni watu wa ajabu mno labda wapate mbunge kama Magufuli atakaye watafunia na kuwalisha vinginevyo wataendelea kuwa masikini wa kutupwa
Nyakahura/Muzani palee uswahilii mwingii,, unakuta vijiwe vya kahawa kibaoo, kinachozungumzwa hapo ni kujadili watuu na sio kujikwamua kimaendeleo. Chaa ajabu wanaume na vijana wakiume ndio number 1 kwa umbeaa,, !! Wakija wageni wasukumaa wenye hela zao kwa ajili ya kuwekeza wanakutana na vikwazo kibao Tena kutoka kwa viongoz etii wanapata wap hizo hela, maraa wao ni majambaz etc...Kabisa Biharamulo na ngara ndio wilaya masikini katika mkoa wa Kagera
Ila Biharamulo imezidi ukifika nyakahula na Lusahunga kuna umasikini waliotopea
Ukweli wasubi bado wako mbali mno na kama hakuna juhudi za makusudi wataendelea kuwa nyuma zaidiNilivyomaliza kusoma comment imebidi nirudi juu kuangalia username. Nilijua fika nitakutana na jina la kihaya! Mna matatizo sana ninyi watu
Aisee!! Then likishatoweka?Huyu polisi alistaafu lini utumishi wa polosi? Waliozuiwa na katiba kuwa wanasiasa ni pamoja na polisi.
Nakutakia ubunge mwema, na ile nyumba yenu uikarabati boss.
Nusu ya wakazi Wa biharamulo mjini ni wanajeshi!
Wasubi mnapenda sana ukabila, kwa nini hadi uandike kabila?
Hili kabila waolewe na wasukuma ili miaka 50 mbele litoweke