Uchaguzi 2020 Unamkumbuka Kasusura? Kaka yake atia nia Biharamulo

Uchaguzi 2020 Unamkumbuka Kasusura? Kaka yake atia nia Biharamulo

Hahahah hilo lipo kotekote kihaya na kisubi
Kiasili wahaya, wasubi na wanyambo ni jamii moja iliyogawanyika makundi, lakini mhaya ana ujuaji na ubaguzi uliopitiliza ndo maana kwa mnyambo huwa anakumbana na mchuano mkali kwakuwa wanyambo ni jamii kubwa kidogo. Hivyo hasira zake huzimalizia kwa msubi ambaye ana jamii ndogo sana.

Zamani jamii ya kisubi ilikuwa vizuri sana, kuna sababu zilizochangia kuidunisha ikiwa ni pamoja na wahaya wenyewe lakini hawawezi kusema.
 
Nyakahura/Muzani palee uswahilii mwingii,, unakuta vijiwe vya kahawa kibaoo, kinachozungumzwa hapo ni kujadili watuu na sio kujikwamua kimaendeleo. Chaa ajabu wanaume na vijana wakiume ndio number 1 kwa umbeaa,, !! Wakija wageni wasukumaa wenye hela zao kwa ajili ya kuwekeza wanakutana na vikwazo kibao Tena kutoka kwa viongoz etii wanapata wap hizo hela, maraa wao ni majambaz etc...
Pale watu wakedumaa akili kiukweli ni ulevi na kuzaliana bila kujua hatima ya kesho vijana hawana mwamko wowote kimaendeleo hata vile vijumba vilivyo ezekwa bati ni wasukuma na Wahaya hata ukiona ng'ombe ni wasukuma wenyeji wa maeneo yale sijuiv
 
Kwasasa wameweka makazi ya kudumu na wanauwezo wa kiuchumi tatizo wamekosa akili kwa ng'ombe walionao wangeweza kujenga mashule na mazahanati wakapata huduma karibu


Kuna tofauti ndogo sana kati ya Msukuma na Ng'ombe au huenda wanafanana kabisaaa.

Hili halina ubishi 😏
 
Kiasili wahaya, wasubi na wanyambo ni jamii moja iliyogawanyika makundi, lakini mhaya ana ujuaji na ubaguzi uliopitiliza ndo maana kwa mnyambo huwa anakumbana na mchuano mkali kwakuwa wanyambo ni jamii kubwa kidogo. Hivyo hasira zake huzimalizia kwa msubi ambaye ana jamii ndogo sana.

Zamani jamii ya kisubi ilikuwa vizuri sana, kuna sababu zilizochangia kuidunisha ikiwa ni pamoja na wahaya wenyewe lakini hawawezi kusema.
Ni kweli Wahaya ndio chanzo cha umasikini wa Biharamulo na Ngara kwasababu
1.Walipora elimu za jamii hizo
Mfano: mtoto wa kisubi au ngara akishinda hapati matokeo na atapelekwa kusoma mhaya hawa hawaendi.
2.Mapadre na Wachungaji walikuwa Wahaya fursa zote wamepeleka kwao.
3.Walimu mashule walikuwa Wahaya na walikuwa wanakuja na ndg zao walio feri kurudia hata asiposhinda atasoma kwa namba ya mwenyeji
4. Fursa za ajira zote walijipa Wahaya na kukandamiza haya makabila.

Haya yote ni matokeo yaliyosababishwa na Wahaya
WASUBI AMKENI
 
Ni kweli Wahaya ndio chanzo cha umasikini wa Biharamulo na Ngara kwasababu
1.Walipora elimu za jamii hizo
Mfano: mtoto wa kisubi au ngara akishinda hapati matokeo na atapelekwa kusoma mhaya hawa hawaendi.
2.Mapadre na Wachungaji walikuwa Wahaya fursa zote wamepeleka kwao.
3.Walimu mashule walikuwa Wahaya na walikuwa wanakuja na ndg zao walio feri kurudia hata asiposhinda atasoma kwa namba ya mwenyeji
4. Fursa za ajira zote walijipa Wahaya na kukandamiza haya makabila.

Haya yote ni matokeo yaliyosababishwa na Wahaya
WASUBI AMKENI
Asante. Huu ndio ukweli. Sio wanaozungumzia utapiamlo bila kueleza chanzo, na bila kujua hata bukoba vijijini na muleba ukiingia ndani huko kuna magumu na huo utapiamlo upo sana tu.
 
2025 nachukua fomu. Biharamulo itakuwa kama Brunei Darusalaam
Biharamulo ki jiografia haipo vibaya sana ikipatikana mtu mwenye dhamira ya kweli itaendelea haraka kwasababu network za barabara ziko vizuri ni rahisi kufanya uwekezaji.
 
Asante. Huu ndio ukweli. Sio wanaozungumzia utapiamlo bila kueleza chanzo, na bila kujua hata bukoba vijijini na muleba ukiingia ndani huko kuna magumu na huo utapiamlo upo sana tu.
Wilaya yenye uwiano mzuri kwa wanainchi mkoa wa Kagera ni Karagwe
Lakini Muleba, Bukoba vijjini na Missenyi umaskini vijijini bado upo lakini siyo sana kama Biharamulo na Ngara
Lakini pia hali ya hewa ya Bukoba, Missenyi na Muleba mvua zipo karibia msimu wote ila ulevi na uvivu ni chanzo cha umasikini
 
Biharamulo ki jiografia haipo vibaya sana ikipatikana mtu mwenye dhamira ya kweli itaendelea haraka kwasababu network za barabara ziko vizuri ni rahisi kufanya uwekezaji.
Panahitaji wawakilishi wazalendo, sio akina Oscar Mkasa wanaochaguliwa na kuondoka, wanarudi kwenye kuchukua fomu.

Hata mzee magu ni miongoni mwa wazoroteshaji wa eneo hilo. Chuki zake kwa wazee wetu waliomnyima kura hadi anaendelea kulipiza kisasi.
 
Sasa kama hao kina kasusura wana tabia za wizi ipo siku huyo mbunge mtarajiwa atakuja kuuza ofisi za chama chenu na kukimbia,tabia huwa inarithiwa.
Kwanini asiuze ofisi za Polisi kama amerithi wizi? Au kwanini asiuze ofisi za Halamashauri za Jiji la Mbeya? ACHA BANGI MKUU
 
Panahitaji wawakilishi wazalendo, sio akina Oscar Mkasa wanaochaguliwa na kuondoka, wanarudi kwenye kuchukua fomu.

Hata mzee magu ni miongoni mwa wazoroteshaji wa eneo hilo. Chuki zake kwa wazee wetu waliomnyima kura hadi anaendelea kulipiza kisasi.
Mzee Fares Kabuye alikuwa na dhamira ya dhati alikosa support
Biharamulo ikipata kiongozi mwenye dhamira nia ya kweli itabadilika (ila msimupe mhaya)
Hivi yule mzee mkandarasi mwenye zile Robert hotel ni mhaya au Msubi?
 
Kwanini asiuze ofisi za Polisi kama amerithi wizi? Au kwanini asiuze ofisi za Halamashauri za Jiji la Mbeya? ACHA BANGI MKUU
Mkuu sema akina kasusura ni wabinafsi na jamii inayojiona wao ni bora kuliko wengine Biharamulo ila kuliko mmpe mhaya hapana bora kasusura hata kama ni mwizi
 
Mzee Fares Kabuye alikuwa na dhamira ya dhati alikosa support
Biharamulo ikipata kiongozi mwenye dhamira nia ya kweli itabadilika (ila msimupe mhaya)
Hivi yule mzee mkandarasi mwenye zile Robert hotel ni mhaya au Msubi?
Nasikia ni mhaya.
Mzee Phares alikuwa ni mzawa, ccm ikavurugavuruga akose ushirikiano.
 
Mkuu sema akina kasusura ni wabinafsi na jamii inayojiona wao ni bora kuliko wengine Biharamulo ila kuliko mmpe mhaya hapana bora kasusura hata kama ni mwizi
Inaonesha wewe unaijua kijujuu Biharamulo. Kwa vile ulikuwa Katoke 24 years ago! Ungejua wakati Chief Kasusura ambaye ni baba yake mdogo na Kolando - James Kasusura ungejua chimbuko la umaskini wa Biharamulo. Nyarubungo wakati huo ilikuwa ni Oysterbay ya B’mlo . Nitaendelea ukinipa ruksa
 
Back
Top Bottom