Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alimsaidia vipi? Sababu huyu jamaa alifungwa na alitumikia kifungo.Justin ndo mwizi na alisaidiwa na kaka yake James alipokua Police HQ na ndo huyu James katia Nia
Siasa za kiafrika ni kufa kupona kama hauna mikiki mikiki usijiingizeNoma sana siasa zimeharibika
Suala la wizi kila mTanzania ni fisadi akipata nafasi hakuna mzalendo hapa tuna uzalendo wa kuongea ila si katika uhalisiaAlimsaidia vipi? Sababu huyu jamaa alifungwa na alitumikia kifungo.
Huyo mhaya si unaona uandishi wa mbwembweImekuuma muhaya wewe
Nimetolea mfano CCM tu hapo awali ,huyo kasusura anaweza kuuza hata nyumba yenu mkuu!!Kwanini asiuze ofisi za Polisi kama amerithi wizi? Au kwanini asiuze ofisi za Halamashauri za Jiji la Mbeya? ACHA BANGI MKUU
Hapo umejibu nini? Unaulizwa alimsaidia vipi mtu aliyefungwa na kutumikia miaka 15, unaleta story za kipuuzi.Suala la wizi kila mTanzania ni fisadi akipata nafasi hakuna mzalendo hapa tuna uzalendo wa kuongea ila si katika uhalisia
AsanteHapo umejibu nini? Unaulizwa alimsaidia vipi mtu aliyefungwa na kutumikia miaka 15, unaleta story za kipuuzi.
Hii familia nawafahamu afadhali wao wataleta maendeleo kuliko Wahaya
Wahaya ni wabinafsi mno
(Ingawa hii familia nao wanadhani Biharamulo ni mali yao)
Noma sanaAkija mtu ambaye si Mhaya kwenye uzi huu atagundua kitu. Hii nchi bado sana yani.
Bia na mloKumbe hawa watu wana asili ya wizi,anatupiga kwenye ujenzi na kupandisha being ya cement.Biharamulo ni kubaya na jamaa alipindisha barabara kuelekea Chato.Biharamulo Ni kama shimoni hivi.
So sad remy alikuwa mchaga huyuPole kwa familia yake
Mzee alikuwa poa sana nakumbuka niliwahi lala Robert hotel kwa mwezi mzima akaniamini wakati hanijui Mungu amuweke anapostahili.