Mabaga Fresh wako wapi??Kwangu Mimi ni wengi mno...nikitaja mmoja naona kama ninajipunja.
Hashimu dogo-"Nakuacha mweupe ka'mkorogo chata ka'wagogo"
Geez mabovu.-
"kuwa na Heshima ili uheshimiwe"
Hard blasters.
"Nusu peponi nusu kuzimu ilimladi siku ipite"
Inspecta haroun babu.
John Mjema.
Solo thang.
Langa.
Roho 7.
LWP majitu.
Deplowmatz.
Mabaga fresh.
Kwanza unit.
Madonjo & domokaya
Mb Dogg dah
Mkuu, sina habari zao kwamba wangali hai au washatangulia kwetu pazuri,au wanafanya nini kwa Sasa.Mabaga Fresh wako wapi??
Fred SagandaFred zaganda.ni namna gani tutawin maishani mpaka siku tunasema buriani aaah ni jinsi gani
Asante kwa sahihisho.watu wengi sana hawajui mpaka Leo jina la jamaa ingawa nyimbo ilikua maarufu sana.akatoa nyingine Kilimanjaro kilimanjarooo ni mlima mrefu(in chaganian voice)Fred Saganda