Unamkumbuka mpenzi wako wa sekondari? Alikufanyia nini cha kukumbukwa?

Chai ya maziwa hii.
 
Daaah! Sikuwahi kuwa na mpenzi sekondari. Nilikuwa muoga sana, japo kuna huyo kaka alinipenda sana daah!!! Alinipatia pesa kumbe ilikuwa ya ada🤣🤣🤣
 
Chai ya maziwa hii.
Kama hujapitia huwezi amini, ila mi nilikua najiona cha mtoto kuna mwamba tulimaliza nae la saba alikua akimla mwalimu wetu wa kingereza tangu tukiwa la sita, mshikaji alikua na 17years na teacher 24years, na alimpa adi mimba mwamba akiwa form 1,

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Kama mtu Yuko form 2 ana 17yrs inawezekana kabisa. Ila wachangisji wengi humu wamesoma miaka 2000 ambapo mtoto wa form 2 ni mdogo sana.
 
Nikiikumbuka suraa yaaakeeee najioneaa kasheesheee(kata simu tuko site), alaaa alaaaa dear eeexiiiii[emoji23][emoji1787][emoji1787]

Nmekutana nae leo kachoka kachakaa kawa kimbilio la wazee na kipozeo cha madomo zege[emoji23].

Nkikumbuka kile kidada kiliniendesha kama bwege, nlkuwa napiga miles za kutosha kukifuata kila jioni baada ya masomo, ama hata kutoroka vipindi ili tu nikione tulikuwa tunapishana vipindi.

Nikikumbuka zaidi ni zile barua tulikuwa tunaandikiana na kuzificha katikati ya madaftari then tunabadirishana madaftari yenye jumbe/barua bila mtu yeyote kujua[emoji23][emoji23](old messaging styl).

Mwisho wetu haukuwa mzuri[emoji23][emoji23] baada ya mwehu yule kujifanya mjuaji sana

 
Alingombanisha na Mwalimu wa Math akapelekea niwe nakula fimbo nyingi kila wiki Mana test za Hesabu zilikuwa kila week na vile nilikuwa mutu ya below 45.
Jamaa alikuwa anatandika za mgongo na mapaja akiyaruka makalio.
Walimu okumanyoko
Mapenz shuleni yalinyima amani moyo wangu Mana sio kwa msako ule na tuta skulifaidi hata😎
 
X wako kazi anayo umeingia na studio kabisa😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…