Unamkumbuka mpenzi wako wa sekondari? Alikufanyia nini cha kukumbukwa?

Unamkumbuka mpenzi wako wa sekondari? Alikufanyia nini cha kukumbukwa?

Inawezekana form 2 kwanumri huo mwingine kashafika
Binafsi nilikuwa domo zege na wala sikuwahi kufanya mapenzi kipindi hicho Nilimpenda demu Moja anaanza na jina la G bahati mbaya huyo demu akaama shule niliyokuwa nasoma nae akaamia shule nyingine kutokana na jinsi nilivyokuwa nampenda nikawalazimisha Wazazi wangu waniamishe kwenda hiyo shule aliyooenda huyo demu na kweli nanikafanikiwa nikakatuna nae tulikuwa tunakimbizana kama vile shelikani na karen's kapoor, tulikuwa tunasaidiana kwenye chumba Cha kufanya mitihani maana mimi nilikuwa mkali wa hesabu mbovu kwenye somo la English alafu yeye alikuwa mzuri sana kwenye english mbovu kwenye math's.Baada ya kumaliza form iv nilikuwa naenda kila weekend nilikuwa naenda karibu na kwao kupiga Mingo ilimradi tu nimuone.

Pamoja na movement zangu zote kea huyo binti sijawahi kumla huyu binti zaidi ya kumpiga mate na kumchezea tu ingawa nilikuwa na position nzuri siku moja ya kufanya nae mapenzi lakini niliogopa kufanya nae mapenzi ila now days huyo manzi ameshaolewa.
Extrovert
Antonnia
Beesmom
Cillah
mzabzab
 
1. Alinilipia deni la vitabu viwili vilivyoibiwa nikiwa kidato cha pili mwezi wa 11 bila ya mimi kumfahamu. Nikiwa kidato cha tatu niliibiwa begi na vitabu ndani yake, wakati nimefikishwa staff natishiwa adhabu, alikuja na vitabu vipya viwili na kumkabidhi yule mwalimu. Mwalimu akamuuliza, "Tena! Unamlipia deni kwa mara nyingine! Kwani wewe na huyu ni ndugu?". Kesi ikaishia hapo. Wiki moja baadae alinifungukia, japo alikuwa anatetemeka na kutokwa jasho jingi huku akimung'unya maneno[emoji23][emoji23]

2. Kuna kipindi nilichelewa kufika shuleni kwenye zamu ya yule mwalimu aliyekosana na mkewe[emoji23][emoji23] Akanipatia adhabu ya kufanya usafi ofisi ya taaluma baada ya muda wa vipindi. Huyu kaka alinambia nikapumzike mahali, yeye atafanya peke yake. Na kweli alisafisha vyema mpaka walimu wakanisifia kesho yake

3. Kuna mwalimu mmoja hivi wa kiume alikuwa ni zoazoa, anatumia nafasi yake kulazimisha ngono. Baada ya kuona napingana nae alianza kunipatia adhabu za hapa na pale na vipigo. Kuna siku kanikata kibao cha nguvu darasani bila kosa, huyo kaka kainuka pale na kumpatia kipigo maskini[emoji23] mpaka mdomo wa yule mwalimu mshnz ukapasuka vipande viwili kama pazia la hekalu[emoji23] Akafukuzwa shule kwa kunitetea mimi

Nimeyakumbuka haya yote baada ya kukutana na profile yenye picha yake kwa mtandao wa facebook

We unamkumbuka yupi kwa yapi?
Alafu hapo ukute baada ya yote HAYO bado kuna siku ulimtema kwa kuona sio type yako
 
Sijui nimtaje[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] maeneo flan hivi ya walima parachichi tukuyu yeye yupo kayuki girls Mimi nipo Rungwe boys.likizo anapelekwa dar tuition basi anapandisha mashetani eti hayataki aishi dar kumbe amenimisi muhuni tulikuja kuachana kisa wivu wangu uliopitiliza
Mjukuu WA Mzee mwakamomola na bwana MBWANJI MBWAX
 
Sijui nimtaje[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] maeneo flan hivi ya walima parachichi tukuyu yeye yupo kayuki girls Mimi nipo Rungwe boys.likizo anapelekwa dar tuition basi anapandisha mashetani eti hayataki aishi dar kumbe amenimisi muhuni tulikuja kuachana kisa wivu wangu uliopitiliza
Kila sehemu wivu[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Inawezekana form 2 kwanumri huo mwingine kashafika
Binafsi nilikuwa domo zege na wala sikuwahi kufanya mapenzi kipindi hicho Nilimpenda demu Moja anaanza na jina la G bahati mbaya huyo demu akaama shule niliyokuwa nasoma nae akaamia shule nyingine kutokana na jinsi nilivyokuwa nampenda nikawalazimisha Wazazi wangu waniamishe kwenda hiyo shule aliyooenda huyo demu na kweli nanikafanikiwa nikakatuna nae tulikuwa tunakimbizana kama vile shelikani na karen's kapoor, tulikuwa tunasaidiana kwenye chumba Cha kufanya mitihani maana mimi nilikuwa mkali wa hesabu mbovu kwenye somo la English alafu yeye alikuwa mzuri sana kwenye english mbovu kwenye math's.Baada ya kumaliza form iv nilikuwa naenda kila weekend nilikuwa naenda karibu na kwao kupiga Mingo ilimradi tu nimuone.

Pamoja na movement zangu zote kea huyo binti sijawahi kumla huyu binti zaidi ya kumpiga mate na kumchezea tu ingawa nilikuwa na position nzuri siku moja ya kufanya nae mapenzi lakini niliogopa kufanya nae mapenzi ila now days huyo ma ameshaolewa
Nilikuwa naogopa wanawake kama kambi ya jeshi
Ulikuwa kama mimi mkuu
 
Tunasubiri
Nina hakika yupo humu apo nikiendelea zaidi atanijua.
Kuna siku alikuja kwangu nikamfuma akiperuzi humu japo sikufanikiwa kuona ID yake ila najua yupo humu.

Ila mjua kuwa humu JF tuna pisi Kali sana ukiziona huwezi amini aisee.
 
Nina hakika yupo humu apo nikiendelea zaidi atanijua.
Kuna siku alikuja kwangu nikamfuma akiperuzi humu japo sikufanikiwa kuona ID yake ila najua yupo humu.

Ila mjua kuwa humu JF tuna pisi Kali sana ukiziona huwezi amini aisee.
Aya poa
 
Binafsi nilikuwa domo zege na wala sikuwahi kufanya mapenzi kipindi hicho Nilimpenda demu Moja anaanza na jina la G bahati mbaya huyo demu akaama shule niliyokuwa nasoma nae akaamia shule nyingine kutokana na jinsi nilivyokuwa nampenda nikawalazimisha Wazazi wangu waniamishe kwenda hiyo shule aliyooenda huyo demu na kweli nanikafanikiwa nikakatuna nae tulikuwa tunakimbizana kama vile shelikani na karen's kapoor, tulikuwa tunasaidiana kwenye chumba Cha kufanya mitihani maana mimi nilikuwa mkali wa hesabu mbovu kwenye somo la English alafu yeye alikuwa mzuri sana kwenye english mbovu kwenye math's.Baada ya kumaliza form iv nilikuwa naenda kila weekend nilikuwa naenda karibu na kwao kupiga Mingo ilimradi tu nimuone.

Pamoja na movement zangu zote kea huyo binti sijawahi kumla huyu binti zaidi ya kumpiga mate na kumchezea tu ingawa nilikuwa na position nzuri siku moja ya kufanya nae mapenzi lakini niliogopa kufanya nae mapenzi ila now days huyo ma ameshaolewa

Ulikuwa kama mimi mkuu
Mapenz ya shule wachache waliowahi kusex
 
Daah! Shule sikuwahi kuwa na mpenzi japo ya kupendwa Sana Ila yooote ilikua ni kutunza uaminifu Kwa bint aliyenizidi miaka 2 ambaye alishamaliza shule Ila hata baada ya hapo nilimwacha kijinga Sana kisa wivu wangu mpaka Sasa sijawahi kuwa na mwanamke mwingine mapenzi yangu yote yapo kwenye coding daah hata tunda sikunusa mmmmmh
 
Back
Top Bottom