Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hii nchi hiiMimi nilikua litoto la hovyo sana, yani nilikua nawaza kucheza mpira tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hii nchi hiiMimi nilikua litoto la hovyo sana, yani nilikua nawaza kucheza mpira tu
Aisee [emoji39][emoji39] Japo sijaelewaAdvance hapo .. kwenye foleni ya msosi mistari miwili wakike na kiume ikielekea dirishani kwenye msosi huku tukishika sahani na bakuli zetu ilikuwa zamu yetu form5 aka form one wa kiangazi .
kuelekea dirishani pembeni yangu kwenye mstari namuona mtoto na Dimpoz zake anaongea na wa mbele yake kwenye line akitabasamu
So you see that's where the trouble began
That's smile ..that damned smile
Mpaka nikapigwa kibao cha kisogo nisogee kwenye foleni ya msosi na wa nyuma yangu " oyaaa vipi babu "maana nilisimama namcheki mtoto mpaka akagundua akacheka zikiambatana na sauti za kibao cha kisogo na sauti ya mpishi wetu mzee wa makamo "wewe mpumbavu sogea"
Niko kwenye mti nakula nawachorea wana ramani black beuty flani hivi ana Dimpoz macho flani hivi ya uchokozi " oyaa kunguru we unamsemea Dainess akanijibu mwanangu mmoja hivi yeye anajua ratiba za misosi,mademu ,na michezo ila ratiba za vipindi hajui ..
"Yuko pcm huyo ndio yule anaetukimbiza chem na phy..hao ndio wamekuja shule sio wewe karungeyeye"
Niseme tu she want me dead... she want me alive [emoji16] she is crazy, nasty, brilliant mtoto anajua O.J Smith conspiracy theories,sjui brexit exit , normal girlfriend wanasoma novel yeye anasoma schimidit sting pain index na ana appl ya betpawa kwenye simu yake .
Tunaacha tunarudiana...tunaachana.. tunarudiana and cycle continue [emoji16]. Maana tunapeana dating advice inshort tumekusamehe vichaa sometimes tunawasemea tunao date nao [emoji16]
Nitajie jina la mwl wa Bios form 4 nipate uhakikaMbona kama nimesemwa mimi apa[emoji2][emoji2], nina kisa cha kufanana na ichi kwa mdada wa kuitwa fm hahaaa
Sijawah ona mwanaume ana upendo vile mana ni hatari.Godfrey hili jina watu wake wapo[emoji91].
🤣🤣 Em toka hapaNaitwa afugwegwe ila Ofisini wananiita Godfrey nadhani nina quality kama zake ...Mchuchu
Si alikuwa headmistress[emoji2960][emoji2]Nitajie jina la mwl wa Bios form 4 nipate uhakika
🤣 Wala hataSi alikuwa headmistress[emoji2960][emoji2]
Form 2 watu washaanza kupelekeana moto bruhNikifikiria form 2 nilivyokuwa mdogo kiumbo na kiakili hii yako naona CHAI.
😀😀😀😀😀Mjukuu WA Mzee mwakamomola na bwana MBWANJI MBWAX
Kwa maelezo yao huwa wanakereka sana kwasababu utamu wa mtiano haukamiliki hadi watolewe maji kule chiniSasa vipi wakikutana na mwanaume asiejua kuyatoa sipati picha wanavo[emoji35][emoji35][emoji35] Hahaha!!
[emoji1][emoji1][emoji1] niliogopa sana kushikishwa vuzzzi limekomaa ova brush ya kusafishia viatuHahaha... Nimecheka kama chizi auntie mbalizi1 amejua kunichekesha eti kukuta vuzii mtu ndrukiiii [emoji1787][emoji2960]!
Kudadeq[emoji35][emoji35] Mkuu, Christina nani nivunje uchumba chap chapMtoto christina nilimla sana mpaka namuonea huruma aliyekuja kumuoa.