Unamkumbuka mpenzi wako wa sekondari? Alikufanyia nini cha kukumbukwa?

Unamkumbuka mpenzi wako wa sekondari? Alikufanyia nini cha kukumbukwa?

Wa kuitwa Godfrey, yule kaka alinipenda sana nikiri hadi ukubwani hakuna mwanaume alieonesha upendo kwangu kama yeye shida mimi sikumpenda kihivyo sijuagi ni utoto ama nini. Alikua ananisaidia sana kwenye kusoma mana kichwani alikua njema , namkumbuka sana kwa upendo wake na namna alivyokua ananijali.
Naitwa afugwegwe ila Ofisini wananiita Godfrey nadhani nina quality kama zake ...Mchuchu
 
Wa kuitwa Godfrey, yule kaka alinipenda sana nikiri hadi ukubwani hakuna mwanaume alieonesha upendo kwangu kama yeye shida mimi sikumpenda kihivyo sijuagi ni utoto ama nini. Alikua ananisaidia sana kwenye kusoma mana kichwani alikua njema , namkumbuka sana kwa upendo wake na namna alivyokua ananijali.
Godfrey hili jina watu wake wapo[emoji91].
 
La saba?
Mbona wamechelewa sana? Hayo mambo mara nyingi ni kuanzia miaka 12 na la saba wengi ni 13 na kuendelea hivyo hakuna cha ajabu hapo.

Siri za kiumeni hizi.
Mimi niko msingi Manzese uncle ananipigia pande mademu wakati huo yeye yuko sekondari nimeanza mapema sana
 
Wewe uliyenichukulia demu wangu niliyekuwa nampenda kabisa kipindi tupo sekondari kisa ulikuwa kiranja wa Chakula, maisha yanaendaje hapo GHALA LA VYAKULA LA TAIFA[emoji35][emoji35][emoji35]
,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tuliokuwa uboyizini tuko pembeni tunafatilia mazungumzo yenu wazee wa mixture.
 
Wa kuitwa Godfrey, yule kaka alinipenda sana nikiri hadi ukubwani hakuna mwanaume alieonesha upendo kwangu kama yeye shida mimi sikumpenda kihivyo sijuagi ni utoto ama nini. Alikua ananisaidia sana kwenye kusoma mana kichwani alikua njema , namkumbuka sana kwa upendo wake na namna alivyokua ananijali.
Mbona kama nimesemwa mimi apa[emoji2][emoji2], nina kisa cha kufanana na ichi kwa mdada wa kuitwa fm hahaaa
 
Mapenz ya shule wachache waliowahi kusex
Ukiachana na shule by the way nilichelewa kufanya sex 2018 ndio mwaka ambao ndio rasmi nimeanza kufanya sex na hii ni kwasababu ya attitude yangu ya kuwaogopa Sana Wanawake na kuwa mpole na bahati mbaya huyo mwanamke wangu wa kwanza alikuwa ni mke wa mtu nimedate nae bila hata kujua kuwa ni mke wa mtu nimekuja kujua baada ya siku Moja kumpigia tuzungumze akaja kupokea mumewe na akajitambulisha yeye ni Mume wa huyo mwanamke yaani nilichoka akili hadi mwili kwasababu nature yangu si mtu wa ugomvi na mihemuko, mtaratibu nikabidi tu nisioneshe kwamba mimi ni boyfriend wake wa mkewe ili kulinda ndoa yake ingawa kanikosea kwa kunificha muda wote wa mahusiano yetu.Baada yakugundua ni mke wa mtu message zake na calls sipokei alivyoona hivyo akawa ananitafuta kwa namba nyingine ndipo nikamchana live wewe ni mke wa mtu naomba kuanzia sasa tusitafutane na namba yangu futa mahusiano yangu na wewe ni over
 
Back
Top Bottom