squirtinator
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 2,765
- 4,182
Banza stone alikuwaga dansa? Hawa walikuwaga wanadansi miziki ya aina gani?Cadet bongoman, Bosco Cool J, Super Ngedere, Jesca Ongala, Banza Stone,Dogodogo Kadoda,Small Jobiso nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh kumbe na banza Nate no densa?Cadet bongoman, Bosco Cool J, Super Ngedere, Jesca Ongala, Banza Stone,Dogodogo Kadoda,Small Jobiso nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap walikua na kundi lao watoto wa Sinza walikua wanajiita Home boyz akiwemo na mtoto wa Remmy wa kike Jesca
Da so Sad Maneno gedere yeye yupo yupo tu anadalalia malaya pale Kaumba Morogoro...BlackMoses na Athumani Digadiga na kina Bosco CoolJ walitikisa jiji enzi zao.
Umemsahau Mtoto jobisoMkuu Digadiga wala hakuwahi kumsumbua marehemu black moses alikuwa mpinzani wa kawaida sana, watu ambao walikuwa wanampa shida kila mashindano ni super ngedere wa moro , Kelly John, Bosco cool, bob kassim, baucha hawa ndio watu walikuwa wanampa shida Black moses ilikuwa Black moses akisikia hawa niliokutajia wapo kwenye mashindano basi Black moses anajipanga kweli maana kazi iipo....digadiga alikuwa kama body flani hiv mara kibao baada ya matokeo anaanzisha fujo kaonewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wahenga tunajuanaMkuu Digadiga wala hakuwahi kumsumbua marehemu black moses alikuwa mpinzani wa kawaida sana, watu ambao walikuwa wanampa shida kila mashindano ni super ngedere wa moro , Kelly John, Bosco cool, bob kassim, baucha hawa ndio watu walikuwa wanampa shida Black moses ilikuwa Black moses akisikia hawa niliokutajia wapo kwenye mashindano basi Black moses anajipanga kweli maana kazi iipo....digadiga alikuwa kama body flani hiv mara kibao baada ya matokeo anaanzisha fujo kaonewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Miziki ya fanc....fankiBanza stone alikuwaga dansa? Hawa walikuwaga wanadansi miziki ya aina gani?
Nasikitika sana...kuna kizazi kimepita bila kupata records zao video....kama hawa jamaa.....sijui tutatoa wp ni hasara sanaMpinzani mkubwa wa Black mosea alikuwa ni bosco l coo j walikuwa wakikutana moto ulikuwa unawaka, enzi hizo kuna jamaa aliitwa maganga au michael jackson
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama una picha ya Saleh Jabir tafadhaliAnaitwa MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo... Enzi za muziki wa Disco Uko juu sana jamaa alikuwa maarufu sana kwa aina ya uchezaji mpaka disco linapotea kwenye ramani jamaa alikuwa Hana mpinzani
Jamaa baada ya kuwa maarufu kupitiliza aliamua kujiingiza kwenye madawa ya kulevya miaka hiyo na baada ya madawa kumtawala sana ulitokea ugomvi Kati yake na baba yake mzazi mzee SIMBA nyumbani kwao magomeni mapipa na MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES aliamua kujiua
R. I. P KING BLACK MOSES View attachment 851604
Sent using Jamii Forums mobile app
Enzi za Black moses hakuwepo mtoto jobiso wala baba yake King jobiso na jobiso alikuwa anachezea bolingo Black moses alikuwa anacheza ngoma za mbele upande wa bolingo enzi za Black moses kulikuwa na wakina Prince max, max huyu aliyekuwa muigizaji kaole, athuman mitikasi(r. I. P) 'aurus kabwe, ... Enzi za Black moses ilikuwa hatari unaomba usiku usiishe haaa haaaUm
Umemsahau Mtoto jobiso
yawezekana we mwenzangu mhengaa zaidiEnzi za Black moses hakuwepo mtoto jobiso wala baba yake King jobiso na jobiso alikuwa anachezea bolingo Black moses alikuwa anacheza ngoma za mbele upande wa bolingo enzi za Black moses kulikuwa na wakina Prince max, max huyu aliyekuwa muigizaji kaole, athuman mitikasi(r. I. P) 'aurus kabwe, ... Enzi za Black moses ilikuwa hatari unaomba usiku usiishe haaa haaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe na wewe ni mhenga kama mimi[emoji12] [emoji12] [emoji12]Digadiga aliitwa Double D