Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pop,yaani miziki ya kina Tina,Jackson's Family,Cool n the gang,2 to C music factory,Abba, na wengine wengiiiiiiBanza stone alikuwaga dansa? Hawa walikuwaga wanadansi miziki ya aina gani?
Ahahaaaaaaaaa kukata break dance ni hatariPia kulikuwa na MARSHA YAHAYA HUSEIN....jamaa alikuwa wanachuana sana BREAK DANCE....walikuwa wakikutana ni balaa,,,waliteleza zile style za akina BUGA LUU na SHABA DUU ,,,zamani ndy watu walikuwa wanacheza DANCE,,, siku hizi MWANAMKE,,MWANAUME wote wanacheza style MOJA ,,,kutingisha MABEGA kama MTU Kashikwa na DEGEDEGE..
Sent using Jamii Forums mobile app
tunawacheki akina black moses huku tunaokota makopo ya stella artois
Nyamwela ni dansa sio disco tech...
Kwa kifupi tunasema funkPop,yaani miziki ya kina Tina,Jackson's Family,Cool n the gang,2 to C music factory,Abba, na wengine wengiiiiii
Sent using Jamii Forums mobile app
jamaa katupa chai,hapo labda small jobiso,ingawa hao wote nadhani ukimwi nao haukuwapitia kando kutokana na umaarufu wao
yeah,hili ndiyo mimi nalifahamu,ilikua mwishoni miaka ya 90 au mwanzoni 2000,nilimuona siku chache kabla ya kifo chakeKwa ufahamu wangu Black Moses kifo chake kilisababishwa na ugonjwa wa kipindupindu sio kama tunavyofahamishwa kwamba alijiua
Huyo wa juzi tu,akina Moses walicheza na mama yake huyo dogo alikua anajiita Janet JacksonUm
Umemsahau Mtoto jobiso
Nilimjua Black moses baada ya kuja mtaani ambapo tulikuwa tunakaa karibu (Keko Machungwa) na marehemu Bosco Cool J enzi hizo mtaani palikuwa panachangamka siku wakiwa wajiandaa kwenda kwenye mashindano yaoBlackMoses na Athumani Digadiga na kina Bosco CoolJ walitikisa jiji enzi zao.
Wewe umemjulia Banza Twanga alafu unasema chai?unalijua kundi la home boys la Sinza?au bado ulikua unafukuzia ndege alafu unaleta ubishijamaa katupa chai,hapo labda small jobiso,ingawa hao wote nadhani ukimwi nao haukuwapitia kando kutokana na umaarufu wao
Bosco cool J ni marehemu sasa hivi amefariki mwaka huuMpinzani mkubwa wa Black mosea alikuwa ni bosco l coo j walikuwa wakikutana moto ulikuwa unawaka, enzi hizo kuna jamaa aliitwa maganga au michael jackson
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa alikua cool kama jina lake;very humbleBosco cool J ni marehemu sasa hivi amefariki mwaka huu
Nakumbuka enzi hizo miaka ya 90 alishinda akapewa kipikipiki flani scooter ya blue hivi keko machungwa pakawa na shangwe balaaa
Pia walikuwepo wakina super ngedere kutoka moroAnaitwa MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo... Enzi za muziki wa Disco Uko juu sana jamaa alikuwa maarufu sana kwa aina ya uchezaji mpaka disco linapotea kwenye ramani jamaa alikuwa Hana mpinzani
Jamaa baada ya kuwa maarufu kupitiliza aliamua kujiingiza kwenye madawa ya kulevya miaka hiyo na baada ya madawa kumtawala sana ulitokea ugomvi Kati yake na baba yake mzazi mzee SIMBA nyumbani kwao magomeni mapipa na MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES aliamua kujiua
R. I. P KING BLACK MOSES View attachment 851604
Sent using Jamii Forums mobile app
Sanaa very coòl. nilikuwa mdogo chini ya miaka 10 enzi zile lakini nilikuwa namjua vizuri sababu tuliishi nae pale kitaani keko machungwa
Dah ebhana umenikumbusha mbali hao jamaa..super ngedere alikuwa jirani yetu mji mpya pale morogoro..jina lake halisi maneno ngedereCadet bongoman, Bosco Cool J, Super Ngedere, Jesca Ongala, Banza Stone,Dogodogo Kadoda,Small Jobiso nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap ni wangoni wale nadhani ni HauleSanaa very coòl. nilikuwa mdogo chini ya miaka 10 enzi zile lakini nilikuwa namjua vizuri sababu tuliishi nae pale kitaani keko machungwa
Yap wangoni