Unamkumbuka Mussa Simba aka Black Moses: Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo

Unamkumbuka Mussa Simba aka Black Moses: Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo

Write your reply...sikuhizi nani aende disco wakati kila mtu ana subwoover ndani?kila zama na mambo yake.lakini maisha enzi hizo yzalikua tambalale
 
Pia kulikuwa na MARSHA YAHAYA HUSEIN....jamaa alikuwa wanachuana sana BREAK DANCE....walikuwa wakikutana ni balaa,,,waliteleza zile style za akina BUGA LUU na SHABA DUU ,,,zamani ndy watu walikuwa wanacheza DANCE,,, siku hizi MWANAMKE,,MWANAUME wote wanacheza style MOJA ,,,kutingisha MABEGA kama MTU Kashikwa na DEGEDEGE..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaaaaaaaaa kukata break dance ni hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nishacheki sana show zake kwa macheni

Sent using Jamii Forums mobile app
tunawacheki akina black moses huku tunaokota makopo ya stella artois
watu wanadhani waokota makopo wameanza leo😀😀😀
nimeumiss utoto
diga diga nilikuwa namkubali sana
black moses kwa pops za michael jackson alikuwa anatisha(enzi hizo tunayaita mabreka)
 
Kwa ufahamu wangu Black Moses kifo chake kilisababishwa na ugonjwa wa kipindupindu sio kama tunavyofahamishwa kwamba alijiua
yeah,hili ndiyo mimi nalifahamu,ilikua mwishoni miaka ya 90 au mwanzoni 2000,nilimuona siku chache kabla ya kifo chake
 
Mpinzani mkubwa wa Black mosea alikuwa ni bosco l coo j walikuwa wakikutana moto ulikuwa unawaka, enzi hizo kuna jamaa aliitwa maganga au michael jackson

Sent using Jamii Forums mobile app
Bosco cool J ni marehemu sasa hivi amefariki mwaka huu

Nakumbuka enzi hizo miaka ya 90 alishinda akapewa kipikipiki flani scooter ya blue hivi keko machungwa pakawa na shangwe balaaa
 
Anaitwa MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo... Enzi za muziki wa Disco Uko juu sana jamaa alikuwa maarufu sana kwa aina ya uchezaji mpaka disco linapotea kwenye ramani jamaa alikuwa Hana mpinzani

Jamaa baada ya kuwa maarufu kupitiliza aliamua kujiingiza kwenye madawa ya kulevya miaka hiyo na baada ya madawa kumtawala sana ulitokea ugomvi Kati yake na baba yake mzazi mzee SIMBA nyumbani kwao magomeni mapipa na MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES aliamua kujiua

R. I. P KING BLACK MOSES View attachment 851604

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia walikuwepo wakina super ngedere kutoka moro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom