Unamkumbuka Mussa Simba aka Black Moses: Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo

Unamkumbuka Mussa Simba aka Black Moses: Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo

Kuna mtu ameniambia ana mkanda wa VHS wa mashindano flani ya disco yalifanyika pale magomeni Kota(ccm ndugumbi) kulikuwa kuna ukumbi mkubwa sana wa Disco wale watu wa zamani kama mimi mtakumbuka SWEET CORNER DISCO TEQ ndani ya huo mkanda jamaa anakutana fainali na mtu mmoja anaitwa BOSCO COOL J noma sana nataka nikiupata nitaubadirisha kuja kwenye mp4 alafu nitaweka hapa muone huyo mtu alivyokuwa na kipaji cha aina yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii fainali ndo alishinda Bosco cool j wakampa pikipiki ndogo? (scooter)
Kuna mtu ameniambia ana mkanda wa VHS wa mashindano flani ya disco yalifanyika pale magomeni Kota(ccm ndugumbi) kulikuwa kuna ukumbi mkubwa sana wa Disco wale watu wa zamani kama mimi mtakumbuka SWEET CORNER DISCO TEQ ndani ya huo mkanda jamaa anakutana fainali na mtu mmoja anaitwa BOSCO COOL J noma sana nataka nikiupata nitaubadirisha kuja kwenye mp4 alafu nitaweka hapa muone huyo mtu alivyokuwa na kipaji cha aina yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia kulikuwa na MARSHA YAHAYA HUSEIN....jamaa alikuwa wanachuana sana BREAK DANCE....walikuwa wakikutana ni balaa,,,waliteleza zile style za akina BUGA LUU na SHABA DUU ,,,zamani ndy watu walikuwa wanacheza DANCE,,, siku hizi MWANAMKE,,MWANAUME wote wanacheza style MOJA ,,,kutingisha MABEGA kama MTU Kashikwa na DEGEDEGE..

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha Masha Yahya Hussein binti wa marehemu Shekhe Yahya Hussein? Huyu mama mwajiriwa wa Tantrade.
 
Kwa ufahamu wangu Black Moses kifo chake kilisababishwa na ugonjwa wa kipindupindu sio kama tunavyofahamishwa kwamba alijiua
Ni kweli Mussa Simba aka Black Moses alifariki kwa ugonjwa wa kipindupindu......hakujiua kama inavyopotoshwa na wajumbe wengine hummu
 
Kuna mtu ameniambia ana mkanda wa VHS wa mashindano flani ya disco yalifanyika pale magomeni Kota(ccm ndugumbi) kulikuwa kuna ukumbi mkubwa sana wa Disco wale watu wa zamani kama mimi mtakumbuka SWEET CORNER DISCO TEQ ndani ya huo mkanda jamaa anakutana fainali na mtu mmoja anaitwa BOSCO COOL J noma sana nataka nikiupata nitaubadirisha kuja kwenye mp4 alafu nitaweka hapa muone huyo mtu alivyokuwa na kipaji cha aina yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tafadhali naomba hata hela nipo tayari kukupa.... lkn pia nilikuwa nahitaji na video ya black moses... mwenye nayo pls anicheki
 
Anaitwa MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo... Enzi za muziki wa Disco Uko juu sana jamaa alikuwa maarufu sana kwa aina ya uchezaji mpaka disco linapotea kwenye ramani jamaa alikuwa Hana mpinzani

Jamaa baada ya kuwa maarufu kupitiliza aliamua kujiingiza kwenye madawa ya kulevya miaka hiyo na baada ya madawa kumtawala sana ulitokea ugomvi Kati yake na baba yake mzazi mzee SIMBA nyumbani kwao magomeni mapipa na MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES aliamua kujiua

R. I. P KING BLACK MOSES View attachment 851604

Sent using Jamii Forums mobile app
Akivaa mashati ya kung'aa na akiweka karikiti kwenye nywele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia kulikuwa na MARSHA YAHAYA HUSEIN....jamaa alikuwa wanachuana sana BREAK DANCE....walikuwa wakikutana ni balaa,,,waliteleza zile style za akina BUGA LUU na SHABA DUU ,,,zamani ndy watu walikuwa wanacheza DANCE,,, siku hizi MWANAMKE,,MWANAUME wote wanacheza style MOJA ,,,kutingisha MABEGA kama MTU Kashikwa na DEGEDEGE..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi bugs luu na shaba duu walikuwa wa nchi gani niliona video yao miaka yakati ya 1988 na 1990 sijaziona tena hizo video hata Niki google sizipati Kwa anayejua zinapatikana wapi atuambie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli nyerere alifungia nchi. Yaani miaka ya 90 na hamna hata mwenye kideo cha hawa jamaa angalau tuwaone? Ni kama huyu mwamuita lunyamila, broo wangu anadai jamaa alikuwa shida ktk soka ila hamna hata clip yake akicheza.
 
nami ni mmoja ya watu waliowahi kumshuhudia live marehemu black moses miaka ya 90 akifanya vitu vyake.

nakumbuka ilikuwa ni mwaka 1993 kwenye sherehe kubwa ya harusi ya marehemu uncle wangu pale katika ukumbi unaomilikiwa na jwtz msasani beach.

moses alipanda stejin kuufanyia blekidensi wimbo billie jean wa michael jackson.

nilikuwa mdogo kiumri na ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kuona mtz akifanya moonwalk style kwa ustadi mkubwa.

moses alikuwa fundi sana wa kuiga uchezaji wa michael jackson.
 
Back
Top Bottom