Natasha Ismail
JF-Expert Member
- Jul 14, 2008
- 748
- 650
Kwa ufahamu wangu Black Moses kifo chake kilisababishwa na ugonjwa wa kipindupindu sio kama tunavyofahamishwa kwamba alijiua
Nami naelewa hivyo KIPINDUPINDU ndio kilimuuua..Mwaka 1999 nilimkuta Mwanza kijiji fulani kinaitwa USAGARA akaenda kucheza shoo alikuwa kasachoka sana.Aliacha shule form two Mtwara baada ya ubingwa wa Taifa.RIP