Unamkumbuka Mussa Simba aka Black Moses: Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo

Unamkumbuka Mussa Simba aka Black Moses: Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo

Ahsante sana kwa mkuu kwa kutukumbusha wakati nchi ina adabu na heshima,vipaji hivi vya vijana hawa as a country we let them down,kulikuwa hakuna mfumo wa kuwaendeleza na kilichotokea watu wajanja wakawa wana make money out of them ,shame on them na mbaya zaidi mwisho wao wengi haukuwa mzuri,Black Moses (commit suicide)why hakuna aliyejishughulisha,hapo juu mkuu Fulani kutuambia Super Ngedere kawa mtu wa kuomba omba,na mbaya zaidi Bosco Cool JJ alifariki kifo cha mateso sana pale cape town(SA)na kama walivyo mabolozi wetu nje hawana mpango kabisa kinachotokea kwa raia wetu kwenye nchi wanazotuwakilisha na kesi yake imekuwa ni cold case;but anyway nimeishi maisha safi safi ndani ya nchi yangu kipindi hicho ila yanayotokea kwa sasa tuombeane heri tu.
Sijui hata mmoja yahao ulowataja sababu pengine nilkua sijafika mjini bado. Ila inaonekana unabusara sana mkuu
 
Enzi hizo kulikuwa na kumbi maarufu kama langata- kinondoni, DDC- kariakoo.

Tukiwa na nyege tunatembelea maeneo ya Magot, tuna kata kiu zetu.

Kulikuwa na kipindi cha mama na mwana - RTD kila jumamosi tulisikiliza.

Majumba ya sinema kama Avalon, Empress, New chox, Drive inn yalibamba sana.

Good old days,
 
Dah...Kitambo sana..wengi humu wanaowaheshimu sasa ..wakati huo walikuwa wanacheza "rede"😎
 
Uzi mzima bado sijaona aliyemkumbuka kokoliko na Maxi priest, ukumbi wao nadhani ilikuwa igongwe au third world nishazeeka niwekeni sawa juu ya wacheza kwasakwasa hawa na kanda bongoman wa bongo.
 
Enzi zetu hizo maneno super ngedere,athuman digadiga,black mozes yaan hadi leo mm napenda flashback hadi kesho
 
Uzi mzima bado sijaona aliyemkumbuka kokoliko na Maxi priest, ukumbi wao nadhani ilikuwa igongwe au third world nishazeeka niwekeni sawa juu ya wacheza kwasakwasa hawa na kanda bongoman wa bongo.
Kokoliko ilikuwa ni miziki ya Congo hapa na makwanja
 
Anaitwa MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo... Enzi za muziki wa Disco Uko juu sana jamaa alikuwa maarufu sana kwa aina ya uchezaji mpaka disco linapotea kwenye ramani jamaa alikuwa Hana mpinzani

Jamaa baada ya kuwa maarufu kupitiliza aliamua kujiingiza kwenye madawa ya kulevya miaka hiyo na baada ya madawa kumtawala sana ulitokea ugomvi Kati yake na baba yake mzazi mzee SIMBA nyumbani kwao magomeni mapipa na MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES aliamua kujiua

R. I. P KING BLACK MOSES View attachment 851604

Sent using Jamii Forums mobile app


Hakuwa mchezaji kivile ila ujinga tu wa wabongo walidhani jamaa anajua kucheza kumbe sivyo. Nilimshuhudia michezo yake na nikawa nawashangaa abongo wanampigia debe kwa misingi gani maana jamaa hakuwa anajuwa kucheza kivile, alikuwa wa kawaida sana.
 
Hakuwa mchezaji kivile ila ujinga tu wa wabongo walidhani jamaa anajua kucheza kumbe sivyo. Nilimshuhudia michezo yake na nikawa nawashangaa abongo wanampigia debe kwa misingi gani maana jamaa hakuwa anajuwa kucheza kivile, alikuwa wa kawaida sana.
We unamfahamu nani aliyekuwa mkali wa kuyarudi mangoma miaka hiyo?
 
Back
Top Bottom