Unamkumbuka Mussa Simba aka Black Moses: Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo

Unamkumbuka Mussa Simba aka Black Moses: Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo

Hakuwa mchezaji kivile ila ujinga tu wa wabongo walidhani jamaa anajua kucheza kumbe sivyo. Nilimshuhudia michezo yake na nikawa nawashangaa abongo wanampigia debe kwa misingi gani maana jamaa hakuwa anajuwa kucheza kivile, alikuwa wa kawaida sana.
HAKUNA, wote walikuwa ma alosto tu.
kwa maelezo yako haya nimebaini enzi za utoto/ujana wako ulikuwa unasumbuliwa na matatizo ya kisaikolojia. kama sio depression basi itakuwa social anxiety.

wataalam wa masuala ya afya ya binadamu watakufafanulia. watafute wakusaidie.

kuna kitu hawa akina "black moses" walikufanyia enzi za ujana wako, sio bure. ila huwezi kukisema kwa kuogopa aibu.
 
Enzi hizo kulikuwa na kumbi maarufu kama langata- kinondoni, DDC- kariakoo.

Tukiwa na nyege tunatembelea maeneo ya Magot, tuna kata kiu zetu.

Kulikuwa na kipindi cha mama na mwana - RTD kila jumamosi tulisikiliza.

Majumba ya sinema kama Avalon, Empress, New chox, Drive inn yalibamba sana.

Good old days,
umesahau na lile jumba tulikuwa tunaangalia film bila kusikia sauti ni mpaka uwe na gari enzi hizo PEUGEOT RENAUT LANDROVER 109 jumba linaitwa DRIVE INN
 
Enzi hizo alikuwepo Dada mmoja akiitwa Fatuma Zahoro au (DiscoDancer) R.I.P...huyu alijiua kwa kunywa vidonge vingi vya Cloroquine kisa kazuiwa kwenda kwenye Disco na wazazi wake..
Yote kwa yote Mussa Simba (R.I.P.) siku za mwisho za uhai wake alikuwa teja tena pwaku pwaku hatari..

Ndugu zake walikuwa wakimfungia ndani kwao Mwanza mitaa ya Rufiji..

Sina hakika kama alijiua lakini tatizo kubwa lilikuwa ni uteja..alikuwa amesha hathirika vibaya sana kwa madawa.
Mkuu alikua anakaa rufiji street
 
kwa maelezo yako haya nimebaini enzi za utoto/ujana wako ulikuwa unasumbuliwa na matatizo ya kisaikolojia. kama sio depression basi itakuwa social anxiety.

wataalam wa masuala ya afya ya binadamu watakufafanulia. watafute wakusaidie.

kuna kitu hawa akina "black moses" walikufanyia enzi za ujana wako, sio bure. ila huwezi kukisema kwa kuogopa aibu.


Yaani umedoda mpaka na akili, khaaa!
 
Anaitwa MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo... Enzi za muziki wa Disco Uko juu sana jamaa alikuwa maarufu sana kwa aina ya uchezaji mpaka disco linapotea kwenye ramani jamaa alikuwa Hana mpinzani

Jamaa baada ya kuwa maarufu kupitiliza aliamua kujiingiza kwenye madawa ya kulevya miaka hiyo na baada ya madawa kumtawala sana ulitokea ugomvi Kati yake na baba yake mzazi mzee SIMBA nyumbani kwao magomeni mapipa na MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES aliamua kujiua

R. I. P KING BLACK MOSES View attachment 851604

Sent using Jamii Forums mobile app
Alipewa nafasi ya kwenda kusoma na aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Ilala Jenerali Ulimwengu akakataa,kilimuondoa kipindupindu
 
Arusha tulikuwa tunawakilishwa na MC Bugaloo kwenye mashindano ya taifa ya disco...
 
....Enzi hizo disco lilikuwa juu sana,hivi Abrahamu Magomelo yupo hai?..
 
Anaitwa MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo... Enzi za muziki wa Disco Uko juu sana jamaa alikuwa maarufu sana kwa aina ya uchezaji mpaka disco linapotea kwenye ramani jamaa alikuwa Hana mpinzani

Jamaa baada ya kuwa maarufu kupitiliza aliamua kujiingiza kwenye madawa ya kulevya miaka hiyo na baada ya madawa kumtawala sana ulitokea ugomvi Kati yake na baba yake mzazi mzee SIMBA nyumbani kwao magomeni mapipa na MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES aliamua kujiua

R. I. P KING BLACK MOSES View attachment 851604

Sent using Jamii Forums mobile app
Anafanana na Diga Diga
 
Nafahamu Kim ndio alishafariki
Kim ndo mtu aliyekuwa anamiliki lebo inaitwa KIM & THE BOYZ... jamaa alishika sana enzi hizo kwa hawa wacheza disco alikuwa kama ruge na bongofleva sasa hiv... R. I. P Kim aka Kim & the boyz
 
Back
Top Bottom