T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,560
Pale juu nimesoma hata baba
King Jobiso
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale juu nimesoma hata baba
Hahaha, umenikumbusha mbali.Usimsahau nigger j enzi hizo,ambae ndio huyu masoud masoud,chini ya usimamizi wa the late choggo sly
Naaam, ndiye mwenyewe kabisaa.Masoud wa Tbc?
Alikuwa dansa[emoji23][emoji23]Naaam, ndiye mwenyewe kabisaa.
Hakuwa dancer, alikuwa Deejay. Samahani hiko kicheko ni cha nini?Alikuwa dansa[emoji23][emoji23]
Nilijua alikua dansa nikawaza namna watu wanavyopita maisha mbalimbaliHakuwa dancer, alikuwa Deejay. Samahani hiko kicheko ni cha nini?
Umesomeka Mdau.Nilijua alikua dansa nikawaza namna watu wanavyopita maisha mbalimbali
Pia kulikuwa na MARSHA YAHAYA HUSEIN....jamaa alikuwa wanachuana sana BREAK DANCE....walikuwa wakikutana ni balaa,,,waliteleza zile style za akina BUGA LUU na SHABA DUU ,,,zamani ndy watu walikuwa wanacheza DANCE,,, siku hizi MWANAMKE,,MWANAUME wote wanacheza style MOJA ,,,kutingisha MABEGA kama MTU Kashikwa na DEGEDEGE..
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Fatuma siyo yule dada aliyekuwa mwanafunzi wa sekondari fulani mwaka 1985 au 1986 na akashinda shindano moja kubwa la kucheza break dance? Kama ndiyo yeye nakumbuka baba yake alikuwa ni baharia na baada ya kupata ushindi wa kucheza break dance na kusakamwa shuleni na mtaani kwao aliamua kujiua na kuacha simanzi kubwa. Miaka hiyo kwa Dar nilizoea kuwaona akina Black Moses na wengineo waliokwishatajwa. Pia nikienda zangu Mwanza nilikuwa nikiwaona wacheza break dance kama Bob Sado (si riziki?), Matongo (kama nimepatia jina), vijana fulani watoto wa mzee Jumbe (mmoja wa wazee maarufu pale Mwanza kwa miaka hiyo) akiishi mtaa wa aidha Rufiji au Uhuru. Enzi hizo ma Dj maarufu kwa Mwanza walikuwa ni Dj Yusuph na Bush Doctor ambao wote kwa sasa ni marehemu.Enzi hizo alikuwepo Dada mmoja akiitwa Fatuma Zahoro au (DiscoDancer) R.I.P...huyu alijiua kwa kunywa vidonge vingi vya Cloroquine kisa kazuiwa kwenda kwenye Disco na wazazi wake..
Yote kwa yote Mussa Simba (R.I.P.) siku za mwisho za uhai wake alikuwa teja tena pwaku pwaku hatari..
Ndugu zake walikuwa wakimfungia ndani kwao Mwanza mitaa ya Rufiji..
Sina hakika kama alijiua lakini tatizo kubwa lilikuwa ni uteja..alikuwa amesha hathirika vibaya sana kwa madawa.
Alimshinda black moses ila black moses akamaind kuwa jamaa hajui kucheza bali anaigiza kama kilema tubila kusahau nyanda za juu kusini kulikuwa na jamaa mkali balaa wa kudance aliitwa mc chunusi ilikuwa raha sana songea
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuwa wa kwanzaBila kusahau bingwa wa Kwanza wa disco tz kutoka mkoani.MC CHUNUSI Toka songea
Dah, kujiua enzi hizo ilikuwa kama fashion...issue ndogo tu vijana walikuwa wanameza chloroquineAnaitwa MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo... Enzi za muziki wa Disco Uko juu sana jamaa alikuwa maarufu sana kwa aina ya uchezaji mpaka disco linapotea kwenye ramani jamaa alikuwa Hana mpinzani
Jamaa baada ya kuwa maarufu kupitiliza aliamua kujiingiza kwenye madawa ya kulevya miaka hiyo na baada ya madawa kumtawala sana ulitokea ugomvi Kati yake na baba yake mzazi mzee SIMBA nyumbani kwao magomeni mapipa na MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES aliamua kujiua
R. I. P KING BLACK MOSES View attachment 851604
Sent using Jamii Forums mobile app
BlackMoses na Athumani Digadiga na kina Bosco CoolJ walitikisa jiji enzi zao.
Dah, noma. Wale walikuwa ma legend enzi zao.Athuman diga diga nilimuona mbeya kipindi fulani alikuwa dereva taxi taxi mbovu kinoma
Walikuwa na uwezo kujinyonga kama nyoka. Hata mazoezi yao hayakuwa ya kitoto. Leo huwapati wa jinsi hiyo.Anaitwa MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo... Enzi za muziki wa Disco Uko juu sana jamaa alikuwa maarufu sana kwa aina ya uchezaji mpaka disco linapotea kwenye ramani jamaa alikuwa Hana mpinzani
Jamaa baada ya kuwa maarufu kupitiliza aliamua kujiingiza kwenye madawa ya kulevya miaka hiyo na baada ya madawa kumtawala sana ulitokea ugomvi Kati yake na baba yake mzazi mzee SIMBA nyumbani kwao magomeni mapipa na MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES aliamua kujiua
R. I. P KING BLACK MOSES View attachment 851604
Sent using Jamii Forums mobile app