Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Mimi namkumbuka Mwl. Minja.
Yule mama Mungu ampe maisha marefu, kuna siku moja nilitaka kujisaidia haja ndogo ila zipu ya mkaputura wangu ukagoma kushuka chini!
Yule mama aliponiona nalia kwa kuhofia nitajikojolea akaja akanituliza kwanza. Akaniuliza shida nini, nikamwambia zipu imegoma kushuka chini hivyo muda wowote nalimwaga kojo.
Hakunisema wala kunipiga, ila alifungua zipu yangu na kuishusha chini kisha akakishika kibamia changu akakielekezea kwenye shimo moja ndani ya Darasa la kwanza pale Makurumla Primary School mwaka 1995, sitamsahau kwa hilo.
Popote ulipo mama Mungu akubariki.
Yule mama Mungu ampe maisha marefu, kuna siku moja nilitaka kujisaidia haja ndogo ila zipu ya mkaputura wangu ukagoma kushuka chini!
Yule mama aliponiona nalia kwa kuhofia nitajikojolea akaja akanituliza kwanza. Akaniuliza shida nini, nikamwambia zipu imegoma kushuka chini hivyo muda wowote nalimwaga kojo.
Hakunisema wala kunipiga, ila alifungua zipu yangu na kuishusha chini kisha akakishika kibamia changu akakielekezea kwenye shimo moja ndani ya Darasa la kwanza pale Makurumla Primary School mwaka 1995, sitamsahau kwa hilo.
Popote ulipo mama Mungu akubariki.