Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
- Thread starter
- #41
Mkuu shule Gani hiyo na mwaka Gani huo!?Andengenye alinanuswe mwaisyolo ... Mungu awe nawe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu shule Gani hiyo na mwaka Gani huo!?Andengenye alinanuswe mwaisyolo ... Mungu awe nawe.
Ulikuwa kichwa sanaBahati nzuri Au mbaya sikusoma awali niliandikishwa la kwanza mojakwamoja ndani ya miez 3 najua kusoma na kuandika
Watoto wa siku hizi wanadeka sana. Ni wasumbufu na wanapenda wapelekwe shule za awali wakabugie uji, maziwa na peremende. Sikuwahi kwenda shule ya awali.Mimi namkumbuka Mwl. Minja.
Yule mama Mungu ampe maisha marefu, kuna siku moja nilitaka kujisaidia haja ndogo ila zipu ya mkaputura wangu ukagoma kushuka chini!
Yule mama aliponiona nalia kwa kuhofia nitajikojolea akaja akanituliza kwanza. Akaniuliza shida nini, nikamwambia zipu imegoma kushuka chini hivyo muda wowote nalimwaga kojo.
Hakunisema wala kunipiga, ila alifungua zipu yangu na kuishusha chini kisha akakishika kibamia changu akakielekezea kwenye shimo moja ndani ya Darasa la kwanza pale Makurumla Primary School mwaka 1995, sitamsahau kwa hilo.
Popote ulipo mama Mungu akubariki.
View attachment 2574955View attachment 2574956
AaaahahahaVidudu miaka hiyo ya 80's nilisoma shule ya awali inaitwa Morden Nursery School. Ilikuwa samora kwenye moja magorofa ya msajili mkabala na JM mall ya sasa.
Kulikuwa na mama mmoja muhindi Goa anaitwa Maria Gonzalves. Mungu amrehemu yule bibi alikuwa na upendo wa kipekee.
Primary kuna puuzi moja lilikuwa linaitwa Mkude, alikuwa Olympio ambayo sasa imegawanywa na kuwepo Diamond hapo hapo. Lile kuda lilinipiga fimbo moja ya mgongo mpaka leo nina alama.
Hahaaaaaa, ni yule wa kiponzero au? Namfahamu huyo mama. Alistaafu huyo Senyenza.Nimemkumbuka mwalimu Nyenza chekechea Iringa shule ya Muungano,miaka mingi sana imepita sijui bado yupo pale shuleni Muungano?
Huna zawadi ya kumpa zaidi ya kisamvu .Mwl Njogopa, popote ulipo Madame, ubarikiwe sanaa, sitasahau nilikua naumwa ulitandika khanga yako nilale chini.
Ulikua unanambia nna kichwa chepesii, nna kariri vitu kwa haraka, afu sisahau, ulinitabiria nitafika mbali, ile taaluma yako ulitakaga niwe nayo, niliitoa nilipofika 4m 3. niko na taaluma nyingine.
Ulihama nikiwa std 3, sijawahi kukuona tenaa. Natamani nikuone nikupe zawadi, ule msingi uliojenga kwangu ni mkubwa mnoo.
[emoji120][emoji120][emoji120]
HapanaAsante.
Alikufundisha pia?
Mwalimu amkumbuka mwalimu🤣Mimi namkumbuka Mwl. Minja.
Yule mama Mungu ampe maisha marefu, kuna siku moja nilitaka kujisaidia haja ndogo ila zipu ya mkaputura wangu ukagoma kushuka chini!
Yule mama aliponiona nalia kwa kuhofia nitajikojolea akaja akanituliza kwanza. Akaniuliza shida nini, nikamwambia zipu imegoma kushuka chini hivyo muda wowote nalimwaga kojo.
Hakunisema wala kunipiga, ila alifungua zipu yangu na kuishusha chini kisha akakishika kibamia changu akakielekezea kwenye shimo moja ndani ya Darasa la kwanza pale Makurumla Primary School mwaka 1995, sitamsahau kwa hilo.
Popote ulipo mama Mungu akubariki.
View attachment 2574955View attachment 2574956
AaahaajajaWatoto wa siku hizi wanadeka sana.Ni wasumbufu na wanapenda wapelekwe shule za awali wakabugie uji,maziwa na peremende.Sikuwahi kwenda shule ya awali.Ni moja kwa moja darasa la kwanza nikiwa nimebeba adidas mgongoni.Hamna kulialia.Utabamizwa makofi au kufinywa mashavu hadi uimbe haleluya.
AaahaajajaMwalimu amkumbuka mwalimu🤣
Mungu hawezi kidili na ticha Mkude kihivyo kwa kumtoa wenge kijana.Si unaona anajua hadi kusoma,kuhesabu na kuandika?😜Aaaahahaha
Pole mkuu
Mungu wampe maisha marefu huyo Maria Gonzalves!!
Na huyo Mkude Mungu adili nae Perpendicukary
AahahahaahMungu hawezi kidili na ticha Mkude kihivyo kwa kumtoa wenge kijana.Si unaona anajua hadi kusoma,kuhesabu na kuandika?😜
Shilingi hamsini?Unacheza wewe!Ada shilingi tano halafu uwe na hamsini?Madaftari na penseli bure.Niliwahi kununua sufuria la kapile(mihogo imepikwa na kuungwa nyanya mchuzi kwa wingi)kwa shilingi 20(tuliita mbao)tukafurahi na "magangwe" wenzangu hadi basi!A
Aaahaajaja
Hiyo miaka upo na Sports Yako na shilingi hamsin ya kulia mapupu na sambusa
Nisamehe mkuuShilingi hamsini?Unacheza wewe!Ada shilingi tano halafu uwe na hamsini?Madaftari na penseli bure.Niliwahi kununua sufuria la kapile(mihogo imepikwa na kuungwa nyanya mchuzi kwa wingi)tukafurahi na "magangwe" wenzangu hadi basi!
Mimi namkumbuka Mwl. Minja.
Yule mama Mungu ampe maisha marefu, kuna siku moja nilitaka kujisaidia haja ndogo ila zipu ya mkaputura wangu ukagoma kushuka chini!
Yule mama aliponiona nalia kwa kuhofia nitajikojolea akaja akanituliza kwanza. Akaniuliza shida nini, nikamwambia zipu imegoma kushuka chini hivyo muda wowote nalimwaga kojo.
Hakunisema wala kunipiga, ila alifungua zipu yangu na kuishusha chini kisha akakishika kibamia changu akakielekezea kwenye shimo moja ndani ya Darasa la kwanza pale Makurumla Primary School mwaka 1995, sitamsahau kwa hilo.
Popote ulipo mama Mungu akubariki.
View attachment 2574955View attachment 2574956
Ulikuwa kipanga nini!?ELIMU YA AWALI SIKUSOMAGA🤣
AahaaajajKuna huyo mama jina nimemsahau alikua anafinya na kudunda balaa
Chekechea ndio ulikuwa mwanzo na mwisho wa chimbo nilichokipata najua mwenyewe na pacha wangu