Unamkumbuka Mwalimu wako aliyekufundisha Elimu ya Awali?

Unamkumbuka Mwalimu wako aliyekufundisha Elimu ya Awali?

Mimi namkumbuka Mwl. Minja.

Yule mama Mungu ampe maisha marefu, kuna siku moja nilitaka kujisaidia haja ndogo ila zipu ya mkaputura wangu ukagoma kushuka chini!

Yule mama aliponiona nalia kwa kuhofia nitajikojolea akaja akanituliza kwanza. Akaniuliza shida nini, nikamwambia zipu imegoma kushuka chini hivyo muda wowote nalimwaga kojo.

Hakunisema wala kunipiga, ila alifungua zipu yangu na kuishusha chini kisha akakishika kibamia changu akakielekezea kwenye shimo moja ndani ya Darasa la kwanza pale Makurumla Primary School mwaka 1995, sitamsahau kwa hilo.

Popote ulipo mama Mungu akubariki.

View attachment 2574955View attachment 2574956
Watoto wa siku hizi wanadeka sana. Ni wasumbufu na wanapenda wapelekwe shule za awali wakabugie uji, maziwa na peremende. Sikuwahi kwenda shule ya awali.

Ni moja kwa moja darasa la kwanza nikiwa nimebeba adidas mgongoni. Hamna kulialia.Utabamizwa makofi au kufinywa mashavu hadi uimbe haleluya.
 
Vidudu miaka hiyo ya 80's nilisoma shule ya awali inaitwa Morden Nursery School. Ilikuwa samora kwenye moja magorofa ya msajili mkabala na JM mall ya sasa.
Kulikuwa na mama mmoja muhindi Goa anaitwa Maria Gonzalves. Mungu amrehemu yule bibi alikuwa na upendo wa kipekee.

Primary kuna puuzi moja lilikuwa linaitwa Mkude, alikuwa Olympio ambayo sasa imegawanywa na kuwepo Diamond hapo hapo. Lile kuda lilinipiga fimbo moja ya mgongo mpaka leo nina alama.
Aaaahahaha

Pole mkuu
Mungu wampe maisha marefu huyo Maria Gonzalves!!

Na huyo Mkude Mungu adili nae Perpendicukary
 
Mwl Njogopa, popote ulipo Madame, ubarikiwe sanaa, sitasahau nilikua naumwa ulitandika khanga yako nilale chini.

Ulikua unanambia nna kichwa chepesii, nna kariri vitu kwa haraka, afu sisahau, ulinitabiria nitafika mbali, ile taaluma yako ulitakaga niwe nayo, niliitoa nilipofika 4m 3. niko na taaluma nyingine.

Ulihama nikiwa std 3, sijawahi kukuona tenaa. Natamani nikuone nikupe zawadi, ule msingi uliojenga kwangu ni mkubwa mnoo.

[emoji120][emoji120][emoji120]
Huna zawadi ya kumpa zaidi ya kisamvu .

Bahati nzuri Mwl hatumii hiyo kitu.

Akikuona lazima atasikitika sanaa
 
Mimi namkumbuka Mwl. Minja.

Yule mama Mungu ampe maisha marefu, kuna siku moja nilitaka kujisaidia haja ndogo ila zipu ya mkaputura wangu ukagoma kushuka chini!

Yule mama aliponiona nalia kwa kuhofia nitajikojolea akaja akanituliza kwanza. Akaniuliza shida nini, nikamwambia zipu imegoma kushuka chini hivyo muda wowote nalimwaga kojo.

Hakunisema wala kunipiga, ila alifungua zipu yangu na kuishusha chini kisha akakishika kibamia changu akakielekezea kwenye shimo moja ndani ya Darasa la kwanza pale Makurumla Primary School mwaka 1995, sitamsahau kwa hilo.

Popote ulipo mama Mungu akubariki.

View attachment 2574955View attachment 2574956
Mwalimu amkumbuka mwalimu🤣
 
A
Watoto wa siku hizi wanadeka sana.Ni wasumbufu na wanapenda wapelekwe shule za awali wakabugie uji,maziwa na peremende.Sikuwahi kwenda shule ya awali.Ni moja kwa moja darasa la kwanza nikiwa nimebeba adidas mgongoni.Hamna kulialia.Utabamizwa makofi au kufinywa mashavu hadi uimbe haleluya.
Aaahaajaja

Hiyo miaka upo na Sports Yako na shilingi hamsin ya kulia mapupu na sambusa
 
A

Aaahaajaja

Hiyo miaka upo na Sports Yako na shilingi hamsin ya kulia mapupu na sambusa
Shilingi hamsini?Unacheza wewe!Ada shilingi tano halafu uwe na hamsini?Madaftari na penseli bure.Niliwahi kununua sufuria la kapile(mihogo imepikwa na kuungwa nyanya mchuzi kwa wingi)kwa shilingi 20(tuliita mbao)tukafurahi na "magangwe" wenzangu hadi basi!
 
Shilingi hamsini?Unacheza wewe!Ada shilingi tano halafu uwe na hamsini?Madaftari na penseli bure.Niliwahi kununua sufuria la kapile(mihogo imepikwa na kuungwa nyanya mchuzi kwa wingi)tukafurahi na "magangwe" wenzangu hadi basi!
Nisamehe mkuu

Shilingi Tano Ile inayofanan na elfu kumi ya sasa

Nikupitiwa tu
 
Mimi namkumbuka Mwl. Minja.

Yule mama Mungu ampe maisha marefu, kuna siku moja nilitaka kujisaidia haja ndogo ila zipu ya mkaputura wangu ukagoma kushuka chini!

Yule mama aliponiona nalia kwa kuhofia nitajikojolea akaja akanituliza kwanza. Akaniuliza shida nini, nikamwambia zipu imegoma kushuka chini hivyo muda wowote nalimwaga kojo.

Hakunisema wala kunipiga, ila alifungua zipu yangu na kuishusha chini kisha akakishika kibamia changu akakielekezea kwenye shimo moja ndani ya Darasa la kwanza pale Makurumla Primary School mwaka 1995, sitamsahau kwa hilo.

Popote ulipo mama Mungu akubariki.

View attachment 2574955View attachment 2574956

ELIMU YA AWALI SIKUSOMAGA🤣
 
Back
Top Bottom