Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Tupo hai na wote ni wakubwa sasaHongera mkuu
Wote mpo hai!?
Miye wote wakike
Kama mimi na kibaridi hiki nazunguushana tu na toto la mtu πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo hai na wote ni wakubwa sasaHongera mkuu
Wote mpo hai!?
Miye wote wakike
Mungu ampe maisha marefu Kwa kumpika jembe Kama weweMimi mwalimu wangu ninaemkumbuka sana sio wa elimu ya awali bali ni high school alinifundisha Chemistry anaitwa Mr. White a.k.a Heisenberg.
AahajajajajTupo hai na wote ni wakubwa sasa
Kama mimi na kibaridi hiki nazunguushana tu na toto la mtu πππ
Kembe tenaππ€£Mungu ampe maisha marefu Kwa kumpika kembe Kama wewe
Hongera zake
AdidasπππππππWatoto wa siku hizi wanadeka sana.Ni wasumbufu na wanapenda wapelekwe shule za awali wakabugie uji,maziwa na peremende.Sikuwahi kwenda shule ya awali.Ni moja kwa moja darasa la kwanza nikiwa nimebeba adidas mgongoni.Hamna kulialia.Utabamizwa makofi au kufinywa mashavu hadi uimbe haleluya.
Soma umri wangu kwenye ProfileAahajajajaj
Umefannikiwa kuwazaa mapacha ma wewe!?
JembeKembe tenaππ€£
Ni kweli.Kama sijasahau mwaka '85/'86 ulikuwa mibaya sana kwa chakula.Ingawa si hoja.Kwani haukupima mkono wa kulia kama unashika sikio la kushoto kupitia juu ya kichwa chako?Ila,wengi wa zamani walimaliza "vikongwe"!Mama yangu alinihadithia kwamba,alivyoanza ualimu alifundisha wanafunzi wanamzidi zaidi ya miaka mitano.Na ni wengi tu.Tulipokuwa pamoja njiani na kukutana nao nikawa nacheka kwa kugugumia wanavyomuamkia mama.πππππNilikuwa mwembamba
Si unajua wale walozaliwa the mid 80s na early 90s tulizaliwa kipindi Cha njaa
Miye nilizaliwa Singida
So you get the full picture there
Kula kwanza maishaSoma umri wangu kwenye Profile
Panapo majaliwa 08/06 nitatimiza 19years
Sio mkubwa hivyooo
ππ Nikiwa vizuri tuKula kwanza maisha
Mambo ya kukimbizana na pampasi yasubiri kwanza
AahahahaNi kweli.Kama sijasahau mwaka '85/'86 ulikuwa mibaya sana kwa chakula.Ingawa si hoja.Kwani haukupima mkono wa kulia kama unashika sikio la kushoto kupitia juu ya kichwa chako?Ila,wengi wa zamani walimaliza "vikongwe"!Mama yangu alinihadithia kwamba,alivyoanza ualimu alifundisha wanafunzi wanamzidi zaidi ya miaka mitano.Na ni wengi tu.Tulipokuwa pamoja njiani na kukutana nao nikawa nacheka kwa kugugumia wanavyomuamkia mama.πππππ
Aahaaaaππ Nikiwa vizuri tu
Navyatua maswala ya marehemu aliacha jinzi mbili na kandambili hapana
Me tooAahaaajaj
Mkuu mlikuwa mapacha!?
Na Mimi ninao Doi na Kulwa
Ukipata muda mtafute umpe Asante mkuuuMwalimu kasela pale Mwananyamala B P/S, sijui yupo wapi huyu mama
Na ukichakaa huo ni mwendo wa kubeba "Rambo","Marlboro" au mingine ilikuwa inaandikwa "Kariakoo Bazaar"!Kumbuka ni ya nailon hiyo.Au gangwe nikichelewa kurudi nyumbani naweka madaftari nyuma mgongoni ndani ya shati.Hapo napita koridoni kwa machale ili mama asishtukie movie!ππππAdidasπππππππ
Hongera mkuuMe too
Uwiiiiπππππππ kuweka mgongoni nimekumbuka mbaliiiNa ukichakaa huo ni mwendo wa kubeba "Rambo","Marlboro" au mingine ilikuwa inaandikwa "Kariakoo Bazaar"!Kumbuka ni ya nailon hiyo.Au gangwe nikichelewa kurudi nyumbani naweka madaftari nyuma mgongoni ndani ya shati.Hapo napita koridoni kwa machale ili mama asishtukie movie!ππππ
AaahahajjNa ukichakaa huo ni mwendo wa kubeba "Rambo","Marlboro" au mingine ilikuwa inaandikwa "Kariakoo Bazaar"!Kumbuka ni ya nailon hiyo.Au gangwe nikichelewa kurudi nyumbani naweka madaftari nyuma mgongoni ndani ya shati.Hapo napita koridoni kwa machale ili mama asishtukie movie!ππππ